Utajiri wa Dr. Dau unashtua

Utajiri wa Dr. Dau unashtua

Duh kweli Kikwete aliigeuza nchi hii shamba la bibi. Jamaa aliingia NSSF hajiwezi hata kumalizia nyumba yake ya kuishi halafu anatoka anamiliki timu ya Newcastle United na Mike Ashley!!!!! (Kama ni kweli)

Basi nchi imetafunwa kwa kiwango Kikubwa, kama tuhuma hizi ni za kweli kumpeleka mahakamani peke yake na kumfunga haitoshi, inatakiwa afilisiwe na waana wa Tanganyika warudishiwe mali zao. Zile Derm Tower hata zikiwa Hostel za wanafunzi wa IFM itasaidia kurudisha machungu. Na ile ya pale opposite na Mlimani City Derm Tower tuigeuze hostel ya Ardhi University
Ni sawa kabisa Mkuu, na lile daraja livunjwe maana hatuwezi kutumia vitu vya kifisadi
 
Ivi kweli watanzania tuna uwezo wa kufikili au tuna matatizo ya akili maana tunajadili gazeti bila hata kuchunguza habari ni sahihi au imetengenezwa kumiliki timu ulaya mnafikili ni kuuza nyanya sokoni kwa mtindo huu ccm watatuongoza mpaka kiama kwanza watu wameshagawanyika kiimani ukiwa dini flani utamchukua wa dini falani na ndicho nakiona hicho kinacho mponza da so ufisadi hakuna taalifa ya mkaguzi wa wa mahebu aliye toa taalifa ya dau kama kuna mtu ana kumbukumbu hiyo atukumbushe

Kufikili [sic] inaweza kuwa taabu. Ila kufikiri, Watanzania tuna uwezo wa kufikiri.

Swali: Ukinunua 3% ya hisa za Kampuni A, je utakuwa miongoni mwa wa wamiliki wa Kampuni A au la? [Ps. Kampuni A haifanyi biashara ya nyanya. Mfano, Kampuni A = New Castle United.]
 
Eti Eeeh...

Unaonekana una taarifa nyingi sana katika hilo...sasa kwann umezikalia mkuu?

Why usizipeleke Takukuru?

Teh teh teh...

Watu nuksi sana nyinyi...


WEWE INAONEKANA NI MGUMU SANA KUELEWA. JAMAA #AlagasmVeda HAJAHAKIKISHA KUWA DK DAU KANUNUA HISA, BALI KAKUPA MAANA HALISI YA UMILIKI. SASA TAKUKURU AENDE KUFANYA NINI?

KIUFUPI HATA MWENYE HISA MOJA KATIKA KAMPUNI, NI MMILIKI WA KAMPUNI HIYO.

BILA KUINGILIA HOJA YA MSINGI, HAIHITAJI UWE NA TRILLIONS OF SHILLINGS KUWA KATI YA WAMILIKI WA KAMPUNI KUBWA. KINACHOTAKIWA NI WEWE KUNUNUA HISA TU KWA THAMANI NA IDADI INAYOTAKIWA, AMBAYO KIMSINGI HUWA SI PESA NYINGI SANA ZA KUTISHA.

MFANO TAREHE 15/04/2016 SHARE MOJA YA MANCHESTER UNITED PLC ILIKUWA NI $14.12 (http://www.hl.co.uk/shares/shares-search-results/m/manchester-united-plc-usd0.0005-a) SAWA NA TAKRIBANI TSH 30,000/=. SO KAMA WATASEMA UWE NA ANGALAU HISA 1,000,000 (kwa kadirio la juu nililofanya) UTAWEKEZA TSHS 30,000,000,000 (BILIONI 30 ZA KITANZANIA).

KWA HIYO BILA KUWA NA USHABIKI WA UPANDE WOWOTE, TUJIELIMISHE JUU YA UMILIKI WA MAKAMPUNI MAKUBWA, KUWA HAIHITAJI UWE NA FEDHA ZA AJABU ZISIZO TAMKIKA.

UKIINGIA MTANDAO WA FORBES (http://www.forbes.com/teams/newcastle-united/ ) UNAONA HADI MAY 2015 THAMANI YA NEWCASTLE UNITED ILIKUWA $ 349M (TAKRIBANI SHILINGI BILIONI 630 ZA KITANZANIA) SO UNAWEZA PATA PICHA YA MTU ANAYEWEKEZA HATA BILIONI 3 TU. KUMBUKA KUWA ANAYEJULIKANA KUWA NI MMILIKI MICHAEL ASHLEY, ATAKUWA NA ZAIDI NUSU YA IDADI YA HISA. SO HAO WENGINE WANANYANG'ANYANA HIYO NUSU.

SO NENO UMILIKI LINAWEZA TUMIKA KISIASA PIA, IJAPOKUWA ANAWEZA KUWA ANAMILIKI KWA FEDHA HALALI KABISA.

HOJA YANGU NI KUWA TUSIONE KAMA KUMILIKI NI KITU KISHICHOWEZEKANA, NI SUALA LINALOWEZEKANA KABISA KWA WATANZANIA WENGI TU KUWEKEZA HUKO.

JUU YA USAFI AU UFISADI WA DAU, TUNA VYOMBO VYA ULINZI NA USALAMA VITALICHUNGUZA HILO
 
Mbona unapunic? Usichoelewa ni nini? Kiingereza hujui, unasingizia lugha ya kigeni kumbe na kiswahili hujui? BAsi ngoja nikuandikie kimatumbi maana halisi ya unachohoji:-

Sosipae kupepa, abamchwewa simmatini kumbaliwane, isikisi 100%? Tobeanti sikiati 80%? 60%? 40%? nadi 20%? Billioni 100 sangasawela palimbwe?

Najua sasa umeelewa!.
Kwi kwi kwi,..... Amekuelewa vizuri sana mkuu
 
Utajiri wa aliyekuwa Mkurugenzi wa NSSF, Dr. Ramadhani Dau unafika zaidi ya Tsh 100 Bilioni.

- Ni mmoja wa wamiliki wa timu ya Newcastle ya Uingereza.

- Kampuni zake pekee ndizo zinazopewa tenda ya kufanya kazi NSSF.

Chanzo: Dira ya Mtanzania - 18 Aprili 2016
Cc:zzk ujitathmini tena kwa kauli zako za kumtetea huyo dau
 
Mkuu kabisa kabisa...

Na hawa walikuwa hawana shauku ya kupigania huo uhuru kwa kuwa walikuwa wananufaika na mfumo huoo..

Even though wazee wetu hawakupigania uhuru ili kuifanya nchi iwe ya kiislam...ila sasa naona imegeuka kabisa kabisa...

Jamaa wamedhamiria kabisa kutaka kujenga classes za haves na haves not ndan ya nchi hii...

Haifai kabisa
Hawajui kuwa ukombozi wa Nchi hii kwa kiasi kikubwa ulifanywa na waislamu.
Mfano ni Vita ya Majimaji( SONGEA..>>>...IRINGA...>>>...TABORA...>>>...)
Waanzilishi wa vuguvugu kuwaondoa wakoloni wengi wao walikuw waislamu
Mfano Tanga...>>>....DSM...>>>....Tabora...>>>....Kigoma...>>>
Waswahili wangi ndio mabao walijitoa kupigania haki ya Mtanganyika
Mfano Bibi Titi, ...>>>...Sykes...>>>... Abdul Wahid...>>>....Tambaza...>>>....nk

Ila bado wabishi kutukubali. Nchi hii iliuzwa na Jesuit yuleeeeeeeeeeeeeeeeee wa wakati ule
 
Mkuu nimeisikia hiyo habari kwenye magazeti nikashtuka sana. Sina hakika zina ukweli gani ndani yake. Kama ni kweli basi kuna balaa kubwa. Nawe umeniongezea mshituko tena baada ya kuihusisha hii habari na huyu Dr. wangu wa mambo ya Masoko (Marketing) na Derm towers!!!
Anyway kwa sasa tuendelee ku speculate hadi hapo ukweli utakapowekwa wazi. Ila ni uhakika kuwa kampuni ya Derm imefanya kazi ya uhandisi wa umeme katika miradi yote ya NSSF na pia inadaiwa kuwa ushemeji humo ndani...

Ili kumtendea haki Dr Dau inahitajika Objective investigation ili asafishwe au kupelekwa mahakamani
 
Ivi hili gazeti la Dira halinaga habari zaidi ya Dr. DAU?
8704df29dedb822e4b2d23d4446792d2.jpg
 
baada ya MAGAZEZI YOTE KUSHINDWA KUMHUJUMU DAU;
KISA KUCHANGIA UJENZI WA MISIKITI KWA PESA ZAKE NA NA PROPAGANDA ZA UDINI KUBAUNSI UDINI; NAONA WAMEKODI BALILE .

KAZI KWELI; KIVULI CHA UDINI KINAWASUMBUA.

NA HILI , JPM NENDA NALO POLE POLE; USIINGIZWE KWENYE MGOGORO WA KIDINI ; HII NI MOSHI ........
Na hiz choko choko wanaanza wao
 
Duh kweli Kikwete aliigeuza nchi hii shamba la bibi. Jamaa aliingia NSSF hajiwezi hata kumalizia nyumba yake ya kuishi halafu anatoka anamiliki timu ya Newcastle United na Mike Ashley!!!!! (Kama ni kweli)

Basi nchi imetafunwa kwa kiwango Kikubwa, kama tuhuma hizi ni za kweli kumpeleka mahakamani peke yake na kumfunga haitoshi, inatakiwa afilisiwe na waana wa Tanganyika warudishiwe mali zao. Zile Derm Tower hata zikiwa Hostel za wanafunzi wa IFM itasaidia kurudisha machungu. Na ile ya pale opposite na Mlimani City Derm Tower tuigeuze hostel ya Ardhi University
Mimi naomba katiba yetu ifanyiwe marekebisho haraka sana kifungu cha rais aweze kushitakiwa na huu wa kikwete na wateule wake ni mfano halisi
 
Ni sawa kabisa Mkuu, na lile daraja livunjwe maana hatuwezi kutumia vitu vya kifisadi
Daraja ni letu limejengwa kwa fedha zetu, yeye tulimtuma tu kusimamia shirika lililojenga daraja na kama kuna hela imepigwa lazima abebe dhamana ya kufungwa jela. Kama hajapiga hela na hana makandokando apongezwe na jina lake litatukuzwa na vizazi vingi vijavyo
 
Anamiliki timu Uingereza! Kwa kifupi ni kwamba ni muwekezaji nchini Uingereza. Ngoja niwasiliane na Rais New Castle Tanzania, bwana Nateppe nimsikie.
Jamani hii tanzania tumenyonywa na kuibiwa rasilimali zetu na hawa viongozi wa ccm
 
Back
Top Bottom