Utajiri wa Dr. Dau unashtua

Utajiri wa Dr. Dau unashtua

Billion 100.utamiliki timu UK? Jamani tuwe wa kweli jamani!

Ha ha ha..

Unajua hata kama wanataka kumchafua wanabug step kwa kuwa ukiangalia tuh hiyo habari ya kuwa na utajir wa billion mia moja na kisha kumiliki club kubwa kama Newcastle utajia kabisa. Ni usanii na uongo ule ule ambao tumeuzoeaa...

Jaman huyu mtu mbona anawanyima usingiz sana
 
Watanzania tupunguze MAJUNGU tuchape kazi, kama utajiri wake ni wa kifisadi au wa kihalali nchi yetu inavyombo vya uchunguzi vitabaini ukweli!

Kuwa tajiri sio tatizo, tatizo umeupataje huo utajiri, huenda amekopa Bank, analima mazao ya biashara nk, au
kwa mshahara ule wa laki nane hawezi,labda kama alikopa akainvest
 
Kuna wakati mwingine kuna magazeti yapo kwasababu ya kuchafua wengine. Hivi Una bilioni mia moja unaweza kuwa mmiliki wa Timu Inayoshiriki EPL? Hiyo pesa utaweza kununua wachezaji kama Yohane cabaye au CHEIKH TIOTE ambao wote thamani Zao ni Zaidi Pesa hizo? kwa
Kumiliki kampuni haiitaji uwe na mapesa mengi unaweza kununua hisa tu na,tayari unakuwa mmiliki wa hiyo kampun au hiyo biashara.
 
Kulaleki kama yana ukweli haya hii nchi watu wana matatizo sana
 
Billion 100.utamiliki timu UK? Jamani tuwe wa kweli jamani!

Kuwa mmiliki siyo lazima uwe na hela nyingi. Yeye atakuwa amenunua shares kiasi fulani ambazo zinamfanya kuwa mmiliki wa timu kwa kiasi alichoweka. Mwenye shares nyingi ambaye ni Mike Ashley ndiye mmiliki mkuu na mtoa maamuzi. Kwa ufupi Dau ni mmoja wa wamiliki wengi.
 
Ha ha ha ha

Eti anamiliki Club ya Newcastle uingereza...!

Wewe unadhan kumiliki club inashiriki Premiership ni jambo la mchezo mchezo kama kumiliki Total African Iliyomchapa Simba wa matopen Fc jana?

Teh teh teh...

Fitna kwa Dr Dau zimewashinda na sasa wamebakia kujivua nguo wenyewe.
 
Kuwa mmiliki siyo lazima uwe na hela nyingi. Yeye atakuwa amenunua shares kiasi fulani ambazo zinamfanya kuwa mmiliki wa timu kwa kiasi alichoweka. Mwenye shares nyingi ambaye ni Mike Ashley ndiye mmiliki mkuu na mtoa maamuzi. Kwa ufupi Dau ni mmoja wa wamiliki wengi.


Eti Eeeh...

Unaonekana una taarifa nyingi sana katika hilo...sasa kwann umezikalia mkuu?

Why usizipeleke Takukuru?

Teh teh teh...

Watu nuksi sana nyinyi...
 
Mwishowe tutaskia hata lile daraja la kigambon ni mali ya Dr Dau lile...

Teh teh teh..

Nchi hii inaongoza dunian kwa majungu...
 
kuna watu wawili tunawapoteza kwa majungu bila sababu wa kwanza ni Idrisa Rashid na sasa Dau hawa jamaa ni watendaji wazuri wakipata watu wazuri hivi mnategemea mngekuwa ninyi kwa system iliyopita ungefanyaje? lakini mnapo muhukumu MTU mwangalie na background huyu jamaa hakuja na NSSF maskini alitokea bandari lakini bado anafanya Kazi zake binafsi billion mia chache ukilinganisha na wengine na Mara nyingi alitumika tu na wakubwa mwacheni acheni sheria ifuate mkondo wake
si kwamba namtetea kwa wizi lakini wote humu ndani ni wezi tu fursa hatukuipata tu!
aliyesafi aandamane TRA apeleke anachodaiwa haki haidaiwi bila wajibu timiza pia wajibu wako
acheni serikali ifanye Kazi atafikiwa tu
 
Billion 100.utamiliki timu UK? Jamani tuwe wa kweli jamani!
Hivi kama una hisa 0.01 au hisa 4 ujui kwamba wewe ni mmiliki wa kampuni tayari nenda pale DSE wakueleze umiliki wa kampuni unakuwaje ukinunua hisa.
 
Nilisomaga na mtoto wake pale Mzizima miaka ya 2003, alikuwa anaipenda kweli timu ya Newcastle kiasi ikabidi aende uingereza kuishabikia vizuri, sasa ndio nimeelewa
JK pia ni shabiki mkubwa wa Newcastle.Hii habari sio bure kutakuwa na chembe chembe za ukweli.
 
weka majina unamwogopa nani hapa,?who is mlimani tower?

Teh teh teh..

Mkuu hawa ni wapiga ramli tuuh..

Wewe umesahau hapa juz juz mwananchi walikuja na uozo uozo wao wa kutaka kumchafua Dr Dau kwa kutumia fake CAG Reports hadi CAG akakanusha kuhusu Reports hizoo...

Guess what happened...Wakaanza kusemaa oooh CAG Assad nae ni mjahidina mwenzake tuh anamtetea...teh teh teh..

Alaaah kumbe tatizo ni Ujahidina siyo?sasa kama wanaupenda si waje tuh huku?ruksa kusilimu na kuwa mjahidina shida nayo nin...
 
Back
Top Bottom