Adobe hamchukii dau ila anachukua matendo yake ya dharau kwa dini nyingine na wizi,Nssf wana hali mbaya sana sana hela wamegawana na waarabu na familia yake,lazma achukiwe na wapenda utu wote,hana utu wala staha huyu bwanaHuyu Adobe ni mfanyakazi au mfuasi wa mfanyakazi wa mtu NSSF! Yaani anamchukia Dau hadi basi! Juzi tumejadili ya UDom akaishia kwa Dau!
Haya bwana, jamaa sijui kakuudhi nini?