Utajiri wa Dr. Dau unashtua

Utajiri wa Dr. Dau unashtua

Duh kweli Kikwete aliigeuza nchi hii shamba la bibi. Jamaa aliingia NSSF hajiwezi hata kumalizia nyumba yake ya kuishi halafu anatoka anamiliki timu ya Newcastle United na Mike Ashley!!!!! (Kama ni kweli)

Basi nchi imetafunwa kwa kiwango Kikubwa, kama tuhuma hizi ni za kweli kumpeleka mahakamani peke yake na kumfunga haitoshi, inatakiwa afilisiwe na waana wa Tanganyika warudishiwe mali zao. Zile Derm Tower hata zikiwa Hostel za wanafunzi wa IFM itasaidia kurudisha machungu. Na ile ya pale opposite na Mlimani City Derm Tower tuigeuze hostel ya Ardhi University
Cc:lizaboni
Cc:MOTOCHINI
Cc:mcubic
Cc: Phillipo Bukililo
 
Mimi nasema hivi tuendelee kuwaombea walio matajili kwani walibebwa na mfumo na sisi tulio masikin tumuombe mungu atupe mfumo wetu utubebe.hata tulipig kelele haitusaidii kitu.cha msingi wawakumbuke masikini na ombaomva wote tanzania.hakuna mtu alipenda kuzaliwa masikin.waachen wale bata na sis tule vumbi.pesa siyo msingi wa maendeleo bana.
 
Kama una pumua.shukuru sana mungu.hakuna utajili mkubwa kama afya.pesa ni matokeo
 
Duh kweli Kikwete aliigeuza nchi hii shamba la bibi. Jamaa aliingia NSSF hajiwezi hata kumalizia nyumba yake ya kuishi halafu anatoka anamiliki timu ya Newcastle United na Mike Ashley!!!!! (Kama ni kweli)

Basi nchi imetafunwa kwa kiwango Kikubwa, kama tuhuma hizi ni za kweli kumpeleka mahakamani peke yake na kumfunga haitoshi, inatakiwa afilisiwe na waana wa Tanganyika warudishiwe mali zao. Zile Derm Tower hata zikiwa Hostel za wanafunzi wa IFM itasaidia kurudisha machungu. Na ile ya pale opposite na Mlimani City Derm Tower tuigeuze hostel ya Ardhi University
Hile pale opossite na mlimani city sio jengo la NSSF wao wamekodi tu me namjua mmiliki wa lile jengo na ndugu yake ni kigogo NSSF ndio alimsaidia ktk kupata wapangaji
 
kwani mtu kuwa tajiri ni dhambi?

nashangaa kuna watu watamnanga dr dau kuwa tajiri wakisema kuwa alikuwa mtumishi wa umma so hakupaswa kuwa tajiri and the funny thing kuwa watu hao hao miezi mitano iliyopita walitaka kumwingiza madarakani RAIS ambaye utajiri wake ulikuwa una mashaka walikuwa hawahoji jamaa kapataje utajiri
Mshahara na marupurupu yake yanalingana na utajiri huo
 
Hata ikiwa vatican poa tuh..

Kaen mkijua kabisa kuwa hii nchi siyo mali ya kanisa...

We are telling you guys mambo ya kuendekeza mfumo kristo kama mlivyozoea tokea enz ya nyerere hayawez kuwa kama mnavyofikiria...

Hii nchi ni yetu sote na hzo fitna..udini wenu na chuki zenu peleken mnakojua...

Tunafaham kila kinachoendelea...makosa ambayo may be wazee wetu waliyafanya sisi hatutakuja kuruhusu yakijirudia...ndo iko hivyo.
mukulu asalam aleikum!; wewe ni muumin au kafir? unapo shahadia kwamba mfumo Kristo umefuzu, jee allah wako amelala au yuko likizoa?¿ kasome kunnuti, muhalila, al badri...si ndio allah amekufaridhia hizo silaha? umesoma hivyo visomo? kwa mini unatupigia kelele za fitna humu?! kwa taarifa wanaotesa/kuteseka humu ni Wakristo, waislam, na wapagani...njoo huku uswazi nikuonyeshe Mkristo anaeteseka kwa kushindwa cha kuvaa, pakulala, na kushindwa kupata raqaa moja ya Siku chozi litakuto hata ukiwa na roho ya ibilisi, na utakoma mbweraa zako! njoo uone huku shule za kata watoto wa kisilamu, kikristo, kipagani wanao kalia mawe darasani na kulishwa unga na nyinyi ili wawe mateja!; hao mmoja wao anapo nunua kachori ima kalanga wanavyo shirikiana mateso yao kuawana kwa upendo bila kujali huyu deen gani! leo yule muislam anaeishi oster bay serena hotel na kutesa unadai eti Mkristo anakudhulumu! hahahahaaa...wee unatumia kiungo gani kutafakari dogo? kweli ashki majunini..kwa fitna yako hiyo na ghilba unayoifanya kwa kujua IMA kutojua..laanatulah...
 
Mimi nasema hivi tuendelee kuwaombea walio matajili kwani walibebwa na mfumo na sisi tulio masikin tumuombe mungu atupe mfumo wetu utubebe.hata tulipig kelele haitusaidii kitu.cha msingi wawakumbuke masikini na ombaomva wote tanzania.hakuna mtu alipenda kuzaliwa masikin.waachen wale bata na sis tule vumbi.pesa siyo msingi wa maendeleo bana.
Hayo mawazo yako ni sawa na usemi wa wahenga wa ALIYE JUU MGOJE CHINI,unajua atashuka lini?
 
Mike-Ashley_2600893b.jpg



Mmiliki wa Newcastle United ni mtu mmoja tu 'Mike Ashley' mwenye hisa 100%

Huo sasa ndio uandishi kanjanja inabidi watu wachukuliwe hatua za kisheria sujui yapi mengine ya kutunga katika habari nzima kampuni ya kichina iliyojenga daraja la Kigamboni pia ni ya Dr.Dau kama tender zote alijipa mwenyewe?
 
Back
Top Bottom