Utajiri wa Dr. Dau unashtua

Utajiri wa Dr. Dau unashtua

Huwa nashangaa watu wanavyosoma habari na kuichukulia jinsi ilivyo bila hata kujiuliza! Team ya Newcastle inamilikiwa na mtu mmoja tuu Mike Ashley! Sasa kusema dau ni mmoja wa wamiliki wa Newcastle fc ni uongo wa mchana mweupe, hata kama una ukweli wa baadhi ya maneno yako siwezi amini kwa kuwa ushasema uongo!


Mkuu kwan wabongo bado hujatuzoea?

Si ni kina sisi tulisema hapa kuwa Lowasa ni Fisadi papa pale uwanja wa mwembeyanga na kusema anastahili kunyongwa na baadae tukaja kusema Lowasa anafaa tumpe nchi afanye mabadilikoooo...na sisi sisi pia tukampigia Kura za kishindo hapa majuz october?.

Teh teh teh...bila kuibiwa kura zile huenda sasa angekuwa Prezoo yule?...

Teh teh teh...
 
Brother, these guys are too selfish. Walikuwa wanaamishwa kuwa hakuna muslim msomi, na hakuna muslim tajiri. Madarasan tunawaburuza, tukija mtaani tunawaburuza pia. Hata hivyo bado hawataki kukubali.
Wanawivu sana, wanaiba sana, wanshitakiwa sana bado na wenyewe hawataki kubadilika. Ama kweli wao ni majuha.

Kabisa kabisa...

Unajua nchi hii imekuwa victimized na mfumo kristo kwa miaka miiingi sana..hata kama wenyewe waimba kwaya hawataki kuskia neno hili ila tutawaambia tuh...na ndivyo Haqqi ilivyoo...inachoma choma ila lazima tuwaambie...

Tokea nchi hii ipate uhuru mfumo huu ambao umerithiwa kutoka kwa wakolon .automatically ulitokea kuwafavour sana wao..huku jamii hii yetu ikibaikia nje kwa sababu mbali mbali lkn kubwa ni udinii...

Ya kwamba ilifikia hatua kama mtu unataka hiyo secular education lazima kwanza uikane iman yako kisha ndipo upate hizo benefits...

Kwa style hiyo tukaona kanisa likazalisha wasomii weengi ambao baadae ndiyo hawa hawa wanaonekana kujaaa huko kwenye ofis mbali mbali za umma huku kikubwa wanachokifanya ni wizi na ufisadi na kushiriki katika kusign mikataba ya hovyoo na kulididimiza taifa hili kwenye lundo la umaskin...

Kwaiyo sasa wakajisahau na kujiona kwamba wenye hati miliki ya kukaa huko maofisin ni wao tuuuh...na pale wanapoonekana watu wa madrasa au hijaab tuu huko maofisn believe me huonekana kama ni Intruders...na watu ambao ni kama wamepotea njia na ambao hawastahiki kuwepo humo maofisin

Na kama wakiwepo basi kaz zao ziwe ni kudek vyooo...kupika chai..ulinziii...au usekretary au umessenger...lakn siyo vyeo vya maana...

Kinawachowaumiza kwa watu kama Dr Dau au Profesa Assad ni uislam wao na kujitambua kwao katika majukum yao...

Wamesahau kabisa kuwa nchi hii ni yetu soteee...chuki hzooo sijui wanapandikizwa huko makanisanii au namna gan...inashangaza sana
 
Derm Towers na Mlimani Towers zote hizi ni mali za mashemeji zake ambae wote wamepewa kazi za umeme na consultancy katika miradi mingi ya NSSF..
Wakuu
Hao ni shemeji zake ambao amewapa tend a ya consultancy na kazi za umeme.

1. Je kama ungekuwa wewe kwenye portion hiyo ungempa mzungu so mtu baki wakati ndugu yako anauwezo wa kufanya kazi hiyo?.
Definitely nitampa ndugu yangu hiyo ni "nepotism " na siyo favouritism.
Favour ni pale unampa mtu kazi kwabupendeleo hali hana uwezo nayo.

2. Sasa labda niulize hao shemeji zake wamefanya kazi nzuri? (Do they quality ), au wamebeba tu. Also yao inadosali yoyote?.
Otherwise hata mungekuwa ninyi kwenye postion hizo ningefanya hivyo.
Angekuwa ameipa kampuni yake binafsi tungesema kuna conflict of interest.

Hayo ni mawazo na mtizamo wangu binafsi.
 
uzi una speed ya supersonic! Kumbe alitengeneze mazingira ya kujustify ukwasi kabla! Faiza Foxy hakikisha mnatunza vizuri hizo nyaraka za mali. vinginevyo naona upepo unavuma hisivyo
 
Utajiri wa aliyekuwa Mkurugenzi wa NSSF, Dr. Ramadhani Dau unafika zaidi ya Tsh 100Bilioni.

Ni mmoja wa wamiliki wa timu ya Newcastle ya Uingereza.

Kampuni zake pekee ndizo zinazopewa tenda ya kufanya kazi NSSF.

Source: Dira ya Mtanzania- 18 April 2016


Duuh, sisi wabongo bhana! Hata utafatiti kidogo huwa hatufanyi kabla ya kuandika habari? Makanjanja!!


HEBU SOMA KIDOGO HII:
In 2007, businessman Mike Ashley purchased the combined stakes of both Douglas and John Hall, 41% share in the club, through a holding company St James Holdings, with a view to buy the rest. Upon purchasing this share, he appointed Chris Mort as chairman, while gaining more shares, owning 93.19% of the club by 29 June 2007. This figure reached 95% on 11 July 2007, forcing the remaining shareholders to sell their shares.
 
Rais Mstaafu hakukosea aliposema "KUNA WATU WA VIWANDA VYA UONGO" !

NA hizi Khabari za Dr. Dau sasa zimeshachuja! Khabari sasa hivi ni DARAJA LA KIGAMBONI! masifa kem kem kwa Balozi Dr Dau!

Khabari nyingine ya mujini ni LUGUMI! hii ndio inavuma sana! nyingine KUU KUU! ZIMECHUJA TUMZICHOKA!
 
Afghanistan nasikia

Hata ikiwa vatican poa tuh..

Kaen mkijua kabisa kuwa hii nchi siyo mali ya kanisa...

We are telling you guys mambo ya kuendekeza mfumo kristo kama mlivyozoea tokea enz ya nyerere hayawez kuwa kama mnavyofikiria...

Hii nchi ni yetu sote na hzo fitna..udini wenu na chuki zenu peleken mnakojua...

Tunafaham kila kinachoendelea...makosa ambayo may be wazee wetu waliyafanya sisi hatutakuja kuruhusu yakijirudia...ndo iko hivyo.
 
View attachment 339776

Copy: TAKUKURU
Cc: Usalama wa Taifa
Bsc: Ikulu
baada ya MAGAZEZI YOTE KUSHINDWA KUMHUJUMU DAU;
KISA KUCHANGIA UJENZI WA MISIKITI KWA PESA ZAKE NA NA PROPAGANDA ZA UDINI KUBAUNSI UDINI; NAONA WAMEKODI BALILE .

KAZI KWELI; KIVULI CHA UDINI KINAWASUMBUA.

NA HILI , JPM NENDA NALO POLE POLE; USIINGIZWE KWENYE MGOGORO WA KIDINI ; HII NI MOSHI ........
 
Wakuu
Hao ni shemeji zake ambao amewapa tend a ya consultancy na kazi za umeme.
1. Je kama ungekuwa wewe kwenye portion hiyo ungempa mzungu so mtu baki wakati ndugu yako anauwezo wa kufanya kazi hiyo?.
Definitely nitampa ndugu yangu hiyo ni "nepotism " na siyo favouritism.
Favour ni pale unampa mtu kazi kwabupendeleo hali hana uwezo nayo.
2. Sasa labda niulize hao shemeji zake wamefanya kazi nzuri? (Do they quality ), au wamebeba tu. Also yao inadosali yoyote?.
Otherwise hata mungekuwa ninyi kwenye postion hizo ningefanya hivyo.
Angekuwa ameipa kampuni yake binafsi tungesema kuna conflict of interest.
Hayo ni mawazo na mtizamo wangu binafsi.
Unazijua taratibu za manunuzi ya uma? Mimi nipo kwenye construction industry kwa muda sasa, na kama hujui kazi nyingi za ujenzi za NSSF hata zikitangazwa watu hawaombi kwa vile wanajua hawatapata, lakini mimi simuhukumu, kama walizipata kwa haki ukweli utajulikana with time.
 
Back
Top Bottom