Utajiri wa Dr. Dau unashtua

Utajiri wa Dr. Dau unashtua

JK pia ni shabiki mkubwa wa Newcastle.Hii habari sio bure kutakuwa na chembe chembwe za ukweli.

Unajua niliskia skia kuwa hata Mh Lowasa na Mh Mbowe nao ni washabiki wakubwa sana wa Newcastle...!hebu tuunganishe Dots unajua kunawezakana kuna kamchezo tunachezewa hapaa...

Teh teh teh...
 
Teh teh teh..

Mkuu hawa ni wapiga ramli tuuh..

Wewe umesahau hapa juz juz mwananchi walikuja na uozo uozo wao wa kutaka kumchafua Dr Dau kwa kutumia fake CAG Reports hadi CAG akakanusha kuhusu Reports hizoo...

Guess what happened...Wakaanza kusemaa oooh CAG Assad nae ni mjahidina mwenzake tuh anamtetea...teh teh teh..

Alaaah kumbe tatizo ni Ujahidina siyo?sasa kama wanaupenda si waje tuh huku?ruksa kusilimu na kuwa mjahidina shida nayo nin...
Dau kawa maarufu sana JF wanasaidia kwahili,ajiandae tu kugombea urais,kura tutampigia,,ha ha ha ha
 
View attachment 339776

Copy: TAKUKURU
Cc: Usalama wa Taifa
Bsc: Ikulu



Dangote na utajiri wake bado anahangaika kupata hisa Arsenal vp huyu Dau jamani tumuogope Mungu uongo ni dhambi kubwa sana sikuwah kuingilia mada za Dau lakini saiv naona imezid sana hata kama ni chuki imepitiliza


halafu billion mia uwe mmiliki wa newcastle? hivi aliyendika haya mambo anaichukulia poa sana newcastle? angalieni mishahara ya hao wachezaji wa hiyo club.
 
Ivi hili gazeti la Dira halinaga habari zaidi ya Dr. DAU?

Hehehe!!! Mimi namshauri Dr atoke hadharani aombe uthibitisho wa habari hizi kama hawana awafilisi maana wamezidi sasa
 
Duh Hili Daraja la Dau kufunguliwa limewaletea shida kubwa sana wasiompenda Dr.

Eti mmiliki wa New castle, Sasa anafanya nini uchwarani, si angeenda zake akale samaki kwa ice cream
Unaweza kuwa mmiliki wa kampuni kwa kununua Hisa za hiyo kampuni.
 
Ana miaka mingapi katika ajira....!?sishangai wangapi wamekuwa matajiri katika kipindi cha mkapa Na kikwete? Na yeye awe mtu pekee....!?
Ni ajabu kwa sababu ana sijda.
 
Dau kawa maarufu sana jf wanasaidia kwahili,ajiandae tu kugombea urais,kura tutampigia,,ha ha ha ha

Teh teh teh

Unajua Dr Dau nowdays JF kawa Celebrity Mkubwa sana...!

JF week kupita bila Threads za kumchafua Dr Dau na kuwatukana waislam inakuwa haina radha...wala burdan...

JF ni uwanja wa kumwagia chuki na hasira zao...

Hawatupi taabu sisi...tuko makin sana na watu hiviyo na wazandiki...hawa wawe elfu moja au JF Nzima..sisi hawatupi shida..na wanatujua vizur sana...
 
Wonders of the world.....na bado watu wanamtetea....huo ndio uzuri WA kuwa Mwafrica.........waafrica wamezoea kuibiwa...kwahiyo watakushangaa Sana unapochukia mtu anapoiba mali za imma ambazo kimsingi Ni Mali zao.....Sorry no offense intended
Watu hawajui uhalisia wa maisha, kwani yeye naniiiiiiiiiiiiiiii.... ni maskini kiasi gani? Wakianza kumchambua hapa utashangaa. Kaulizie Pale mitaa ya Africa sana wanamjua, hasa kupitia dada mmoja mabaye anamiliki shule ya Urembo.
 
Mtu yeyote anaweza kuwa mmiliki wa kampuni au tasisi kama ana miliki kuanzia hisa moja ya kampuni.Mwanahisa ni mmiliki wa kampuni kutokana na hisa zake ana nafasi ya kufaidika na faida inayopatikana au hata hasara.
 
Gharama za daraja lenu zinakaribiana kabisa na lile daraja la china la km 42
Kwani gharama za lile la china ni ngapi vile? Na la kwetu ni ngapi vile? Hebu nikumbushe!!
State-run CCTV said the 110-foot-wide bridge cost more than 10 billion yuan ($1.5 billion). However, the Xinhua news agency put the cost at $2.3 billion and Britain's Telegraph newspaper reported its price tag totalled more than $8.8 billion.
 
Ni ajabu kwa sababu ana sijda.

You know inashangaza sana...

Most of waimba kwaya wanaichukia sana Sijdaa zetuu...shida iko wapi?

Mbona sisi hatuna hofu na hiyo misalaba yao na hata ile sanamu wanayovaa shingoni mwao?

Mimi inanishangaza sana hata Jesus alisujudu kumsujudia mola wake...kama wanazipenda si wasujudu tuh na wao mkuu?
 
Huwa nashangaa watu wanavyosoma habari na kuichukulia jinsi ilivyo bila hata kujiuliza! Team ya Newcastle inamilikiwa na mtu mmoja tuu Mike Ashley! Sasa kusema Dau ni mmoja wa wamiliki wa Newcastle FC ni uongo wa mchana mweupe, hata kama una ukweli wa baadhi ya maneno yako siwezi amini kwa kuwa ushasema uongo!
 
Nasikia daraja la Dr Dau linawaka taa usiku ...
 
Billion 100.utamiliki timu UK? Jamani tuwe wa kweli jamani!
Uwe unapenda kusoma kwa umakini ndio u comment,hizo ni sentensi mbili tofauti,anamiliki 100 bil lakini pia ni mmoja wa wamiliki wa timu,hawajamaanisha kwamba ametumia 100bil kumiliki hio timu
 
Kama ni kwa njia halali poa tu,lakini kama ni kwa njia mbofumbofu basi naye aitwe fisadi mkuu.
Mbona tuliaminishwa na awamu iliyopita kuwa fisadi ni lowassa pekee?na mradi tata ni wa richmond pekee?
kweli hii nchi inatakiwa ifumuliwe na kuundwa upya.
Mkuu, hili sakata la Dau wangelishughulikia haraka liwe closed. Maneno yamekuwa mengi sana
 
Back
Top Bottom