Utajiri wa Dr. Dau unashtua

Utajiri wa Dr. Dau unashtua

Tufahamishe basi hizo hisa ngapi anamiliki.

Halafu unajua mwanahisa na mmiliki tofauti yao?
Muulize aliyeleta uzi na kusema hayo, mimi nimesema KAMA, na nilichoweka hapo ni maana ya share, hisa.
 
Mkuu inaelekea umejiunga ili uwahi kupost bandiko la kusifia ufunguliwaji wa daraja la Kigamboni? Hongera sana
INAWEZEKANA IKAWA KWELI AMA ISIWE KWELI, DARAJA LA KIGAMBONI NI MOJA WAPO YA KAZI BORA KABISA KUTOKA KWA KIONGOZI BORA KABISA KATIKA UKANDA HUU WA AFRKA NA NAJIVUNIA KAZI HIYO KAMA MZALIWA WA KIGAMBONI, MWANA BANDARI SALAMA, NA MTANZANIA
 
Kama ni kweli Dr Dau ni mumiliki wa timu hiyo,ndiyo maana mwaka huu itashuka daraja.Kilio cha ufisadi waliofanyiwa na serikali ya CCM lazima kiishushe daraja timu hiyo.Lakini kati ya maagazeti nisiyoyaamini ni hilo na Jamhuri
 
Hata ikiwa vatican poa tuh..

Kaen mkijua kabisa kuwa hii nchi siyo mali ya kanisa...

We are telling you guys mambo ya kuendekeza mfumo kristo kama mlivyozoea tokea enz ya nyerere hayawez kuwa kama mnavyofikiria...

Hii nchi ni yetu sote na hzo fitna..udini wenu na chuki zenu peleken mnakojua...

Tunafaham kila kinachoendelea...makosa ambayo may be wazee wetu waliyafanya sisi hatutakuja kuruhusu yakijirudia...ndo iko hivyo.


Mkuu ume fume ila wakati huo huo mnasoma shule zetu
Vyuo vyetu
Mnatibiwa hospital zetu
Wacheni chuki sisi tumefundishwa kugeuza shavu la kushoto ukitandikwa kulia hatuna malipizi
 
Utajiri wa aliyekuwa Mkurugenzi wa NSSF, Dr. Ramadhani Dau unafika zaidi ya Tsh 100 Bilioni.

- Ni mmoja wa wamiliki wa timu ya Newcastle ya Uingereza.

- Kampuni zake pekee ndizo zinazopewa tenda ya kufanya kazi NSSF.

Chanzo: Dira ya Mtanzania - 18 Aprili 2016
Tupe ushahidi
 
Mkuu huyo mwanawe alikua anaitwa Rajab nini? Maana kuna mmoja tulisoma nae Tosamaganga alikua na mashauzi sana. Alikua na jezi ya Man U namba 7 nyuma kaiandika DAU. Kumbuka namba 7 alkua anavaa Beckham na ilikua jezi ghali sana, alisema kaiprint huko huko England.

Atakuwa pia anaimiliki Manchester United, Ushahidi mzito kama huo peleka kwenye magazeti yetu wauchapishe wakielezea "Utajiri wa Dau"
 
Najua wengi tumehamisha mijadala yetu toka kwa LUGUMI na Dr Dau kwenda kwa Pole Pole. Huyu mzinza anaweza akawa amefanya makusudi kuhamisha attention ya watu maana mjadala wa swahiba wake Kitwanga ulikuwa umemkalia kooni.

Naomba kuwakumbusha kwamba huko nyuma si mara moja Kikwete alikiri kushabikia timu ya Newcastle ya Uingereza. Akasema alianza kuipenda timu hiyo ikiwa na nyota wake Allan Shearer. Kumbukumbu zangu zinaonyesha miaka ya karibuni alihudhuria hata mechi moja yao moja

Maswali yanayofuata hapo ni je aliipenda kweli timu hiyo au aliwekeza kwa kumtumia rafiki yake Dau? Kama hakuwekeza alifahamu kwamba rafiki yake amewekeza kwa timu anayopenda? Kwa nini hakumshauri rafiki yake awekeze African Sport, Toto au Prison ili kuinua michezo ya hapa maana fedha zilikwenda kuwekezwa Uingereza zilikwapuliwa hap?

Mmemsaidia Rais kujua Mtazamo wenu dhidi ya watu fulani huenda akawa makini zaid siku zijazo
 
ACHENI ROHO MBAYA NA NYIE PIGANENI MFANIKIWE KWENYE MAISHA.TATIZO KILA MTU AKIWA NA PESA MNAMCHUKIA NA KUMUONA FISADI
 
Kilichoandikwa na Dira ni ujinga na uzushi mtupu! Hilo gazeti mmiliki wake bwana Msama ni tape li mkubwa wa viwanja na anawadhulumu sana waimbaji wa injili
 
Wanaukumbi.

Sisi kama Watanzania ni watu tunaopendana na kuhurumiana pamoja na kufarijiana, kama tulivyofahamiswa humu JF kuwa kuna Mtazania mwenzetu ndiyo mmiliki wa timu ya mpira huko Uingereza jana imeshuka daraja daah!!.

Tumpe pole Mtazania mwezetu asikate tamaa wapambeni huko daraja la pili na watarudi daraja la kwanza kinachotakiwa ni kujituma tu.

Tupo pamoja na Mtazania mwezetu kwenye hii hali tunakufariji ndugu yetu siyo jambo dogo kumiliki timu ya mpira huko Uingereza.

Nakala; FaizaFoxy Mzito Kabwela

2016-05-12-07-48-02--1708143328.jpeg
 
Dah pole zake.

Halafu kuna mlinzi mmoja wa getini huko Kigamboni alinukuliwa humu humu jf kuwa huyo Mtanzania fedha za kununua New Castle ni za mradi huo alioajiriwa huyo mlinzi kulinda getini.

Majanga.
 
Ngoja tumsubiri Mzito Kabwela bingwa wa habari za kiitelijensia pangine kaamua kuinunua Leceister city na kuachana na walioshuka!
 
Ni Mshabiki wa Yanga na Arsenal ila kwny umiliki anaimiliki Newcastle


Ok vizuri lakini biashara kama hizi zina risk sasa mtaji kubwa utaisha maana timu ikishuka daraja mapato yanapungua na wadhamini pia.

Mimi ngoja nijaribu bingo kwenye viwanda nione itakuwa vipi.
 
Back
Top Bottom