Limekuwa la kinazi vipi mkuu mbona hii habari ilivyokuja humu JF ukusema hayo.Jukwaa lishakuwa la kinazi sana hili
Dah pole zake.
Halafu kuna mlinzi mmoja wa getini huko Kigamboni alinukuliwa humu humu jf kuwa huyo Mtanzania fedha za kununua New Castle ni za mradi huo alioajiriwa huyo mlinzi kulinda getini.
Majanga.
du, pole zake Dr Dau. ama kweli what comes around goes around. aliwaibia watanzania fedha zao na kuwekeza uingireza na Mungu ameamua kumuadhibu kwa namna hiyo bila huruma ili liwe fundisho kwa majizi mengine ya CCM yanayokwapua rasilimali za umma na kuzihamishia ughaibuni. kumbuka orodha ya majizi ya PANAMA papers imesheheni maCCM watupu akina abood, manji, chenge na majizi mengine lukuki. haya maCCM yataifilisi nchi hii ikiwa tutaendelea kuyachekea pasipo kuyachukulia hatua.
Majini au Masheikhtwani?Hivi bado anamiliki viumbe wasioonekana ila waliumbwa kwa moto
Tehteh! Wameufyata!Wanaukumbi.
Sisi kama Watanzania ni watu tunaopendana na kuhurumiana pamoja na kufarijiana, kama tulivyofahamiswa humu JF kuwa kuna Mtazania mwenzetu ndiyo mmiliki wa timu ya mpira huko Uingereza jana imeshuka daraja daah!!.
Tumpe pole Mtazania mwezetu asikate tamaa wapambeni huko daraja la pili na watarudi daraja la kwanza kinachotakiwa ni kujituma tu.
Tupo pamoja na Mtazania mwezetu kwenye hii hali tunakufariji ndugu yetu siyo jambo dogo kumiliki timu ya mpira huko Uingereza.
Nakala; FaizaFoxy Mzito Kabwela
View attachment 346784
Ningeshangaa sana kwenye inshu inayomhusu"ramadhani" usijitokeze MkuuuKuna watu wana viwanda vya uongo - Kikwete
unaruhusiwa ila kwa njia halali na ulipe kodi stahiki!Kwani haturuhusiwi kuwa matajiri?
TANZANIAN President Jakaya Kikwete will receive an honorary Doctor of Laws from the University of Newcastle on Wednesday...Hapa mkwere lazima anahusika kwa issue ya Newcastle maana siku moja nilisikia akijidai timu ya damu eti Newcastle..." nikashangaa kumbe wanalao jambo.
Wanaukumbi.
Sisi kama Watanzania ni watu tunaopendana na kuhurumiana pamoja na kufarijiana, kama tulivyofahamiswa humu JF kuwa kuna Mtazania mwenzetu ndiyo mmiliki wa timu ya mpira huko Uingereza jana imeshuka daraja daah!!.
Tumpe pole Mtazania mwezetu asikate tamaa wapambeni huko daraja la pili na watarudi daraja la kwanza kinachotakiwa ni kujituma tu.
Tupo pamoja na Mtazania mwezetu kwenye hii hali tunakufariji ndugu yetu siyo jambo dogo kumiliki timu ya mpira huko Uingereza.
Nakala; FaizaFoxy Mzito Kabwela
View attachment 346784
Hapa ndiyo tutajua kama mzee wa majipu yupo serious au anafanya usanii, kama atamuacha huyu jamaa nitajua ni usanii
Huyu Adobe ni mfanyakazi au mfuasi wa mfanyakazi wa mtu NSSF! Yaani anamchukia Dau hadi basi! Juzi tumejadili ya UDom akaishia kwa Dau!Dau ameiba hela nyingi sana Nssf,thamani ya Mali zake hailingani na kipato alivyokuwa anapata asilani,aandae tu ndoo