Kirikou Wa Kwanza
JF-Expert Member
- May 24, 2013
- 3,564
- 1,992
Hapa ndiyo tutajua kama mzee wa majipu yupo serious au anafanya usanii, kama atamuacha huyu jamaa nitajua ni usanii
Unataka amfanye nini? Unadhani watu wanachukuliwa hatua kwa hizi habari za magazetini za kuunga-unga tu ambazo hazina ushahidi, ukimuuliza mwandishi wa habari hii atakwambia, hata mimi nimesikia tu sina uhakika.