kiss ov love
JF-Expert Member
- Jan 21, 2025
- 9,363
- 16,092
Mkuu naomba kuona picha ya Garden zako na hayo mabanda ya nguruwe na ng'ombe ili nihamasike zaidi
Kwahiyo kwa akili yako unaona hii story yake ni uhalisia.Umefanya kitu inaitwa manifestation
Yaani unatangulia mbele then ndo unaanza mwanzo .
Wakati nafundisha , nilikuwa nikiitumia Sana hiyo mbinu
Unamwambia Mwanafunzi aandike marks anazotaka azipate kila baada ya session then ukiwapa test or exam inatokea the same au kukaribiana na kile alichokuwa anaandika kila siku
Yaani mvivu sana story kaandika kwa chat gpt kisha picha kagoogle tu kabandika ni mjinga sana huyu jamaaStory ya kutunga na haina uhalisia, picha yenyewe uliyoweka ya mazingira kama England.
Na hizo harakati huzijui kabisa, mtu anayejua angedanganya kiasi isiwe rahisi kugundua uongo wake.
Ukute hapo uko Tandale kwa Tumbo.
Kwahiyo kwa akili yako unaona hii story yake ni uhalisia.
Maisha matamu yanapatikana kijijiniStory ya kutunga na haina uhalisia, picha yenyewe uliyoweka ya mazingira kama England.
Na hizo harakati huzijui kabisa, mtu anayejua angedanganya kiasi isiwe rahisi kugundua uongo wake.
Ukute hapo uko Tandale kwa Tumbo.
Mtakuja mniibie, naogopa kukaribisha wanyang'anyi 😀Mkuu naomba kuona picha ya Garden zako na hayo mabanda ya nguruwe na ng'ombe ili nihamasike zaidi
Nipo hapa napata maziwa mtindi kutoka kwa ng'ombe wangu ninaofuga.Ungetuma picha ya ng'ombe wako wa hapo kijijini na si kuchukua picha za mtandaoni..
😂😂😂ooooh! Endelea kula kukuMtakuja mniibie, naogopa kukaribisha wanyang'anyi 😀
Baadaye nataka niingie bandani niokote mayai, nitafute na mtetea aliyenona nichome.😂😂😂ooooh! Endelea kula kuku
Ndio mazingira yetu ya huku kijijini, utafikiri ni Switzerland 😀Ukamalizia na picha ya Switzerland kwa raha zako.
Hongera Mkuu upo kijijini kitajiri sana..Nipo hapa napata maziwa mtindi kutoka kwa ng'ombe wangu ninaofuga.
Unakula kuku na mayai yake, hongeraBaadaye nataka niingie bandani niokote mayai, nitafute na mtetea aliyenona nichome.
Kila kitu kinaandaliwa, unaweza ukaenda pale mlandizi ukanunua ekari moja kwa laki 5, ukaanza kuwekeza taratibu.Hongera Mkuu upo kijijini kitajiri sana..
Ulitaka kumaanisha nini 😀Unakula kuku na mayai yake
Umesema unachoma mtetea na kula mayaiUlitaka kumaanisha nini 😀
Karibu uje ule ata papai, yote yameivia mtini; huku huwa hatuvundiki matunda, yote yanajiivia yenyewe mtini.Umesema unachoma mtetea na kula mayai
Umefaulu sana kuwafanya watu wajadili ubuyu wako wasahau kidogo mipasho ya kula tunda kimasiharaKaribu uje ule ata papai, yote yameivia mtini; huku huwa hatuvundiki matunda, yote yanajiivia yenyewe mtini.
Hakuna uhalisi. Uhalisi gani wa kufuga mbuzi, nguruwe, kuku, ng'ombe idadi yote hiyo kwa ajili ya kitoweo, mayai na maziwa kwa mke na mume?Nafikiri wewe ndo haujaelewa .
Story ametunga.
Ila ni kama mwandishi alikuwa aki-meditate kuhusu future yake
Anafanya manifest kuelekea manifestation .
Hamna uhalisia Ila kuna uhalisi .
Ameanzia Mwisho kuja mwanzo .