DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 31,635
- 81,535
AI Ina respond kutokana na akili yako Mwambie Lucas Mashambwa atumie AI uone itakuaje.Wewe story kaandika na CHAT GPT hiyo yote kama mtaalamu wa AI utajua tu....
AI Ina respond kutokana na akili yako Mwambie Lucas Mashambwa atumie AI uone itakuaje.Wewe story kaandika na CHAT GPT hiyo yote kama mtaalamu wa AI utajua tu....
NDani ya miaka 10 hiviTangu nilipoondoka mjini na kukimbilia huku kijijini, nimekuwa na maisha ya amani na utulivu mkubwa sana.
Nilifanikiwa kupata shamba la ekari nne, ambapo nilijenga kibanda changu cha kujipumzikia pamoja na mama chanja wangu, pia nikachimba na kisima.
Nikaweka uzio wa mimea kuzunguka hilo eneo lote la shamba, ili mifugo yangu isiweze kutoroka hapa na pale.
Nililigawa eneo kwa makundi (A,B,C,D,E) ili kuweka mifugo mabali mbali.
A. niliweka banda la ng’ombe 5 kwa ajili ya kunipa maziwa kila siku
B. niliweka banda la mbuzi 50 kwa ajili ya kubadilisha mboga
C. niliweka banda la kuku wa kienyeji 200 kwa jili ya mayai na nyama
D. nimeweka banda la kitimoto 50 kwa ajili ya nyama
E. bustani ya mboga mboga, nyanya, vitunguu, mchicha n.k
Pia nikaotesha miti ya matunda kama michungwa, papai, parachichi, migomba, miwa n.k
Mabaki/uchafu unaotoka kwenye mifugo, unakuwa unaenda maeneo ya shambani/bustanini na kuboresha uoto wa mimea.
Kwa ujumla, mazingira haya yameniwezesha kuwa na utulivu wa akili, uchumi, na afya bora; magonjwa ya akaili hayatanipata.
Rafiki yangu mmoja, alikuja kunitembelea huku kijijini kwangu; alipofika tu na kusikia miluzi mbalimbali ya ndege ikipiga pambio, akaniambia, ‘’Equation x na mimi sirudi tena mjini.’’
Nikamuuliza kwa nini? akanijibu, ‘’tangu nimekuja huku, akili yangu imetulia kabisa, naokota matunda nakula, mayai nakula nitakavyo, kachumbari najitengenezea, nyama nachoma nitakavyo, Napata hewa safi, ndege wanakuja na kuniimbia nyimbo mbalimbali; kusema kweli naenda kuuza mali zangu zote mjini na mimi nakuja kuhamia huku kijijini.’’
Nikabaki nacheka tu.
Je, wewe, utahamia lini mjini?
View attachment 3416701
Dada usipanick jamii forum kuna majinga yanapanikishq watu kwa mavitu ya kutunga katumia chatgpt kuandika hii habari katunga tu....yawekana ni matanio yake kwenda kijijini ila story nzima CHAT GPT. Naongea kama mtu ninae jua how chatgpt behave ukiandikiaSijapata wakuhamia nae
KUna mazingira ukiishi unapata utulivu sana
Lucas pengine anatumia seman anaitumia kaka kisaidizi tu ....tofauti nan huyu katunga listory lake na CHAT gptAI Ina respond kutokana na akili yako Mwambie Lucas Mashambwa atumie AI uone itakuaje.
CHAI YA BARIDI,
IMEKARIBIA KUGANDA.
Chap chapa nipe consumption ya pumba na maji per day.
Ukiemda chat GBT ukaleta takwim za kupika ntakukamata ambapo hujaeleza kuwa na kibanda cha wafanyakazi, ila umesema ypo wewe na mkeo... wewe na mkeo hamuwez kuhudumia hao wanyama abadan + bustani.
Sasa bosi hao mbuzi, kuku, nguluwe , na ng'ombe ulihitaji kuwa na vijana watatu kama ungefuga kwa mtaji wa vifaa na machine. ... kwakukosa vijana na maelezo thabiti .... Basi hapo umenipa chai.
ni chai tu.
😂😂😂😂😂😂😂😂😂 we jamaa ni muongo banaTangu nilipoondoka mjini na kukimbilia huku kijijini, nimekuwa na maisha ya amani na utulivu mkubwa sana.
Nilifanikiwa kupata shamba la ekari nne, ambapo nilijenga kibanda changu cha kujipumzikia pamoja na mama chanja wangu, pia nikachimba na kisima.
Nikaweka uzio wa mimea kuzunguka hilo eneo lote la shamba, ili mifugo yangu isiweze kutoroka hapa na pale.
Nililigawa eneo kwa makundi (A,B,C,D,E) ili kuweka mifugo mabali mbali.
A. niliweka banda la ng’ombe 5 kwa ajili ya kunipa maziwa kila siku
B. niliweka banda la mbuzi 50 kwa ajili ya kubadilisha mboga
C. niliweka banda la kuku wa kienyeji 200 kwa jili ya mayai na nyama
D. nimeweka banda la kitimoto 50 kwa ajili ya nyama
E. bustani ya mboga mboga, nyanya, vitunguu, mchicha n.k
Pia nikaotesha miti ya matunda kama michungwa, papai, parachichi, migomba, miwa n.k
Mabaki/uchafu unaotoka kwenye mifugo, unakuwa unaenda maeneo ya shambani/bustanini na kuboresha uoto wa mimea.
Kwa ujumla, mazingira haya yameniwezesha kuwa na utulivu wa akili, uchumi, na afya bora; magonjwa ya akaili hayatanipata.
Rafiki yangu mmoja, alikuja kunitembelea huku kijijini kwangu; alipofika tu na kusikia miluzi mbalimbali ya ndege ikipiga pambio, akaniambia, ‘’Equation x na mimi sirudi tena mjini.’’
Nikamuuliza kwa nini? akanijibu, ‘’tangu nimekuja huku, akili yangu imetulia kabisa, naokota matunda nakula, mayai nakula nitakavyo, kachumbari najitengenezea, nyama nachoma nitakavyo, Napata hewa safi, ndege wanakuja na kuniimbia nyimbo mbalimbali; kusema kweli naenda kuuza mali zangu zote mjini na mimi nakuja kuhamia huku kijijini.’’
Nikabaki nacheka tu.
Je, wewe, utahamia lini mjini?
View attachment 3416701
Asante kwa kugundua nikuongeze imeandikwa na Chat gpt listory hili la kutunga
Sio kuota tu anaota akimka kaingia chatgpt kaandika li story lake akajua hatutajuakuota mchana kula raha yake
Sio kuota tu anaota akimka kaingia chatgpt kaandika li story lake akajua hatukuota mchana kula raha yake
Utahamia lini kijijini?Katumia chatgpt kuandika hii story ya kutunga na ushauri wa kutunga
Member wa JEIEF JAU SANAAsante kwa kugundua nikuongeze imeandikwa na Chat gpt listory hili la kutunga
Mbali sana, kwa nini isiwe baada ya miaka miwili?NDani ya miaka 10 hivi
Huku kijijini tunailima kwa wingi
Mali inapatikana shambaniView attachment 3416718
Baada ya watu kumcheka Nape na Robot lake, Bw Equation x akaamua kuliasili (adopt) na kulitumia shambani kwake.
Njooni kijijini😂😂😂😂😂😂😂😂😂 we jamaa ni muongo bana
Miaka kumi ya kuandika prompt chat gpt eti nguruwe 50😄😄 bro get a job ....acha kudanganya watu na chatgpt ngoja nipitie uzi zako zingine labda ndo tabia ykoMbali sana, kwa nini isiwe baada ya miaka miwili?
JEIEF KILA MEMBER NI MFUGAJIHuku kijijini tunailima kwa wingi
Kijijini ni kwenye app ya chat gpt karibuni wadau unaandika prompt unapata shamba kama hiloNjooni kijijini
Lucas pengine anatumia seman anaitumia kaka kisaidizi tu ....tofauti nan huyu katunga listory lake na CHAT gpt