Utafiti: vijana wengi wanaogopa kununua condom madukani kisa eti wanaona aibu.

Kyambamasimbi

JF-Expert Member
Feb 7, 2022
570
1,229
Habari wanajf. Utafiti umefanywa na taasisi fulani umebaini kuwa, vijana wengi hasa wa kiume wanogopa kununua mipira ya kujikinga na maambukizi ya magonjwa mbalimbali na mimba zisotarajiwa kwa kigezo kuwa pindi wanapoenda kununua bidhaaa hiyo wanaona aibu na hasa wanapokuta wahudumu watu wazima au wa jinsia tofauti. Aidha watoto wa kike wanaogopa kununua bidhaaa hiyo kwa kigezo kuwa wataonekana Malaya. Je wewe unapoenda duka unafanye kupata bidhaa hiyo??? Tuwashauri vijana wasiogope na kuona aibu??
 
Unaonaje aibu sasa, yaani pesa yako ikutese aiseee, mimi sioni aibu.
 
Ni ujinga mno
kulinganisha thamani ya uhai na aibu
Binafs ndom nanunua live bila kupepesa
 
Tena mimi napenda niikute pisi kali naiambia naomba kondomu tunaenda kufanyia experiment ya kujaza ndoo za maji tujue zinaingia ngapi akicheka tu kaliwa ki rikiboy
 
Fursa hii,Sijui nifungue kabiashara kadogo kakufanya derivery ya condom hadi magetoni.Mteja ananitumia sms tu mimi nampekelea mzigo kwa siri.Sema naweka kahela karefu kaderivery
 
Habari wanajf. Utafiti umefanywa na taasisi fulani umebaini kuwa, vijana wengi hasa wa kiume wanogopa kununua mipira ya kujikinga na maambukizi ya magonjwa mbalimbali na mimba zisotarajiwa kwa kigezo kuwa pindi wanapoenda kununua bidhaaa hiyo wanaona aibu na hasa wanapokuta wahudumu watu wazima au wa jinsia tofauti. Aidha watoto wa kike wanaogopa kununua bidhaaa hiyo kwa kigezo kuwa wataonekana Malaya. Je wewe unapoenda duka unafanye kupata bidhaa hiyo??? Tuwashauri vijana wasiogope na kuona aibu??
Sasa si anapaswa aende akanunulie mtaa wa mbali,
 
Sasa condom zilitengenezwa za nn km ni jambo la aibu?? Kwahiyo aibu na kuhatarisha afya zao bora nn??
 
Unaenda kununua duka jirani mtu anakuambia siuzagi utajisikiaje hizo kondom huwa tunanunua mbali kuepusha hilo
 
Back
Top Bottom