minyoo
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 21,640
- 20,366
Mahakamaccm ikiamua kwa nguvu za mungu lazima haki itapatikana lakini mahakamaccm ikiamua kufanya kazi kwa mujibu wa zidumu fikra zisizo sahihi za mtukufu mwenyekiti wa CCM lakini uonevu utawale kupita kiasiUmeshamuuliza mbowe kama hakupanga hiyo njama na kuifadhili?
Kama unahisi anaonewa basi subili mahakama iamue.