Sakata la bandari ni fursa kubwa kwa Watanzania kusonga hatua nyingine mbele, tuitumie

fazili

JF-Expert Member
Jun 10, 2011
13,824
18,568
Ukitaka unufaike na matatizo yako basi yageuze upande wa pili.

Sakata la bandari limeibua mengi na sasa linaonekana kutaka kuigawa nchi. Niwaambie kitu? Nchi yetu itakuwa imara zaidi baada ya sakata hili.

Kwani tutawajua viongozi wetu vizuri zaidi, tutajua sheria zetu vizuri zaidi, viongozi wa hovyo wataondoka, watanzania watakuwa na uwezo mkubwa zaidi wa kusimamia mambo yao, mikataba mingi mibovu itafikiriwa upya, viongozi wetu watakuwa na adabu zaidi, sheria zetu zitakuwa nzuri zaidi na nchi itaimarika zaidi.

Tutumie nafasi hii kuwapima na kuwawajibisha viongozi wetu. Ni wakati mzuri wa kuondokana na utawala mbovu.

Watanzania tusimame imara kwani viongozi siku zote huwa makini zaidi kama wananchi ni makini kufuatilia mambo yao.

Hakuna nchi au mtu aliyeendelea bila changamoto.

Mungu ibariki Tanzania.
 
Watanganyika wamegoma kulala, wale wote waliojiaminisha tutalala wameaibika, tunajielewa na tunayajua mahitaji yetu, na zaidi tunazilinda rasilimali zetu usiku na mchana.
 
Ukitaka unufaike na matatizo yako basi yageuze upande wa pili!

Sakata la bandari limeibua mengi na sasa linaonekana kutaka kuigawa nchi. Niwaambie kitu? Nchi yetu itakuwa imara zaidi baada ya sakata hili!

Kwani tutawajua viongozi wetu vizuri zaidi, tutajua sheria zetu vizuri zaidi, viongozi wa hovyo wataondoka, watanzania watakuwa na uwezo mkubwa zaidi wa kusimamia mambo yao, mikataba mingi mibovu itafikiriwa upya, viongozi wetu watakuwa na adabu zaidi, sheria zetu zitakuwa nzuri zaidi na nchi itaimarika zaidi.

Tutumie nafasi hii kuwapina na kuwawajibisha viongozi wetu. Ni wakati mzuri wa kuondokana na utawala mbovu.

Watanzania tusimame imara kwani viongozi siku zote huwa makini zaidi kama wananchi ni makini kufuatilia mambo yao!

Hakuna nchi au mtu aliyeendelea bila changamoto!

Mungu ibariki Tanzania.
Nchi gani inagawiwa nyie watu??

Hivi mbona mnaj8danganya sana? Watu wanaendelea na maisha yao hawawazi hata huo ujinga mnaowaza hapa. Eti linaenda kuigawa nchi!! How?
 
Ukitaka unufaike na matatizo yako basi yageuze upande wa pili!

Sakata la bandari limeibua mengi na sasa linaonekana kutaka kuigawa nchi. Niwaambie kitu? Nchi yetu itakuwa imara zaidi baada ya sakata hili!

Kwani tutawajua viongozi wetu vizuri zaidi, tutajua sheria zetu vizuri zaidi, viongozi wa hovyo wataondoka, watanzania watakuwa na uwezo mkubwa zaidi wa kusimamia mambo yao, mikataba mingi mibovu itafikiriwa upya, viongozi wetu watakuwa na adabu zaidi, sheria zetu zitakuwa nzuri zaidi na nchi itaimarika zaidi.

Tutumie nafasi hii kuwapina na kuwawajibisha viongozi wetu. Ni wakati mzuri wa kuondokana na utawala mbovu.

Watanzania tusimame imara kwani viongozi siku zote huwa makini zaidi kama wananchi ni makini kufuatilia mambo yao!

Hakuna nchi au mtu aliyeendelea bila changamoto!

Mungu ibariki Tanzania.
Nchi gani inagawiwa nyie watu??

Hivi mbona mnaj8danganya sana? Watu wanaendelea na maisha yao hawawazi hata huo ujinga mnaowaza hapa. Eti linaenda kuigawa nchi!! How?
 
Ukitaka unufaike na matatizo yako basi yageuze upande wa pili!

Sakata la bandari limeibua mengi na sasa linaonekana kutaka kuigawa nchi. Niwaambie kitu? Nchi yetu itakuwa imara zaidi baada ya sakata hili!

Kwani tutawajua viongozi wetu vizuri zaidi, tutajua sheria zetu vizuri zaidi, viongozi wa hovyo wataondoka, watanzania watakuwa na uwezo mkubwa zaidi wa kusimamia mambo yao, mikataba mingi mibovu itafikiriwa upya, viongozi wetu watakuwa na adabu zaidi, sheria zetu zitakuwa nzuri zaidi na nchi itaimarika zaidi.

Tutumie nafasi hii kuwapima na kuwawajibisha viongozi wetu. Ni wakati mzuri wa kuondokana na utawala mbovu.

Watanzania tusimame imara kwani viongozi siku zote huwa makini zaidi kama wananchi ni makini kufuatilia mambo yao!

Hakuna nchi au mtu aliyeendelea bila changamoto!

Mungu ibariki Tanzania.
Naunga mkono hoja, hii IGA ya DPW imetusaidia sana kwa mengi, changamoto za hii IGA tuzitumie kama fursa Watanzania tufaidike.
Mifano ni hii
Tuchangamkie dili ya kulipwa mahari ya maana binti yetu aolewe.
P
 
Nchi gani inagawiwa nyie watu??

Hivi mbona mnaj8danganya sana? Watu wanaendelea na maisha yao hawawazi hata huo ujinga mnaowaza hapa. Eti linaenda kuigawa nchi!! How?
Hujaona nchi ikigawanyika kwa maoni wengine wakitetea mkataba wa bandari na wengine wakiupinga? Au hujaona watu wakisema sisi watanganyika na nyie wazanzibari? Wewe hujaona waislamu wakiunga mkono zaidi mkataba kuliko wakristo? Hujaona mashekhe kushoto na wachungaji kulia?
 
Hujaona nchi ikigawanyika kwa maoni wengine wakitetea mkataba wa bandari na wengine wakiupinga? Au hujaona watu wakisema sisi watanganyika na nyie wazanzibari? Wewe hujaona waislamu wakiunga mkono zaidi mkataba kuliko wakristo? Hujaona mashekhe kushoto na wachungaji kulia?
Hao watu wanaosema hayo ni wangapi kwenye nchi hii?

Nipo Ilala hapa hakuna hata mwenzake anayemwambia mwenzake wewe mzanzibar mimi mtanganyika. Na huku ndo kwenye wananchi
 
Hao watu wanaosema hayo ni wangapi kwenye nchi hii?

Nipo Ilala hapa hakuna hata mwenzake anayemwambia mwenzake wewe mzanzibar mimi mtanganyika. Na huku ndo kwenye wananchi
Panua wigo wako Lord acha kujifungia hapo Ilala.
 
Back
Top Bottom