Utabiri wangu kulingana na Uhalisia: Namba mbili au namba tatu mmoja lazima apumzishwe

Mkuu ipi ni gharama kubwa, kuwa na mtendaji asiyetimiza majukumu yake umlinde na kazi ziendelee kulala ili mradi tu usiongeze number ya wastaafu ama !!
Serikali nzima haitimizi majukumu yake.

Nitajie mtu mmoja kwenye serikali anayetimiza majukumu yake.
 
Mimi sikubezi, kwasababu, hakuna aliyedhani No. 1 angeweza kuchomoka, hivyo everything is posible, and anyhing can happen to anyone, at anytime, hata Namba 1 , hivyo usilazimishe kusema ni lazima iwe hivyo unless kama mpangaji ni wewe, lakini kama mpangaji ni YEYE, hao wenyewe wako, wanaweza kutangulia, kabla ya hao unaotaka waondoke!.

P
Ukweli dhuluma huwa haidumu milele
Awamu ya tano iliwahusu wa Zanzibar kuweka Rais baada ya Kikwete

Mungu atujibu kwa kumleta Samia toka Zenji
Hivyo na hayo Mzee Pasco yanawezekana
 
Inabidi tubadili desturi zetu za maisha na siyo kuishi haya maisha ya ramuli. Inasikitisha sana kuona tunakuja na fikra za ajabu namna hii. HAPANA HII SI SAWA HATA KIDOGO. TUBADILIKE NA TUELEWE MUNGU NDIYO MUWEZA WA SOTE NA SIYO RAMULI
 
Inabidi tubadili desturi zetu za maisha na siyo kuishi haya maisha ya ramuli. Inasikitisha sana kuona tunakuja na fikra za ajabu namna hii. HAPANA HII SI SAWA HATA KIDOGO. TUBADILIKE NA TUELEWE MUNGU NDIYO MUWEZA WA SOTE NA SIYO RAMULI
Kasome kule aisee kumbe Katelephone ni chatu
 
Halafu tangia mwendazake aondoke sijasikia habari za matamko ya covid au alikuwa nayo mwenyewe wameona kawapisha? Mambo mazito haya!
Kuanzia January na February watu humu mitaani walipuputika na kubanwa kifua, ilikuwa upepo mubaya, so na jiwe huo upepo ulimpitia pia
 
Kuna kuchomoka kwa aina mbili kwa mpango wa binadamu na mpango wa mungu.
Mimi sikubezi, kwasababu, hakuna aliyedhani No. 1 angeweza kuchomoka, hivyo everything is posible, and anyhing can happen to anyone, at anytime, hata Namba 1 , hivyo usilazimishe kusema ni lazima iwe hivyo unless kama mpangaji ni wewe, lakini kama mpangaji ni YEYE, hao wenyewe wako, wanaweza kutangulia, kabla ya hao unaotaka waondoke!.

P
 
Serikali nzima haitimizi majukumu yake.

Nitajie mtu mmoja kwenye serikali anayetimiza majukumu yake.
Majukum yote yanatekelezwa ikiwa ni kuhakikisha nchi ipo salama, kutoa huduma za kijamii, kukusanya mapato na kusimamia Rasilimali . Labda utaje wewe kipi hakifanyiki

Sent from my CPH1937 using JamiiForums mobile app
 
Wana JF

Nawasalimu wote

Nianze kwa kusema mimi sio Mganga wala Nabii ila ninenayo ndiyo ukweli unaotokana na uhalali wa hatimiliki kwa mujibu wa maagano.

Hizo namba tajwa hapo juu yaani 2 na 3 zina wenyewe ila bahati mbaya tu kipindi hiki kifupi wenyewe wamezikosa bila kutarajia na zinatumiwa na wengineo kwa bahati mbaya tu!

Hata hivyo kwa kuwa wenye namba zao wapo na huwa hawashindwi basi lazima substitution ifanywe ili mmojawapo hususani namba tatu akae pembeni asubiri muda muafaka arejee dimbani.

Substitution kwa nambari tatu haitokani na yeye kukosa uwezo! Hoja ni kuwa kwa sasa anacheza namba isiyo yake kulingana na desturi ya upangaji wa timu!

Wenye hatimiliki hawakujua kama haya yangalitokea hata hivyo maadamu yameshatokea basi lazima yajipange kuanzia sasa ili wamiliki wanachostahili.

Ni namba zao kwa mujibu wa maagano & mazingira halisi ya sasa!

Ni lazima iwe hivyo na ni suala la muda tu na wala usipoteze nguvu kunibeza.

Muda utaongea

Wasalaam
Acha kuharibu mfungo wa watu wewe
 
Kuanzia January na February watu humu mitaani walipuputika na kubanwa kifua, ilikuwa upepo mubaya, so na jiwe huo upepo ulimpitia pia
Hiyo sikatai baada ya jiwe kupitiwa vipi matamko kutoka kwa mabeberu siyasikii tena hapo ndipo najiuliza au mie ndiyo nina tatizo lakutofuatilia labda.
 
Majukum yote yanatekelezwa ikiwa ni kuhakikisha nchi ipo salama, kutoa huduma za kijamii, kukusanya mapato na kusimamia Rasilimali . Labda utaje wewe kipi hakifanyiki

Sent from my CPH1937 using JamiiForums mobile app
Nchi ipo salama watu wanakufa kwa Covid 19 rais kakataza chanjo, watu hawapimwi, hakuna isolation, hata barakoa ni mgogoro.

Hapo kuna usalama au maigizo ya usalama tu?

Watu wanakufa kwa kipindupindu mpakanm leo, ugonjwa wa uchafu wa kula mavi.

Hapo kuna usalama?

Watu wameibiwa hela zao zikiwa benki, wameibiwa na serikali, mpaka rais mpya kaona aibu kasema wasiibiwe hela zao benki, hapo kuna usalama?

Wewe una confuse watu kuishi kwa ubishiubishi na usalama naona.

Nimekwambia nitajie mtu mmoja serikalini anayetimiza wajibu wake, umeshindwa kutaja jina la mtu yeyote.

Nitajie jina la mtu mmoja na kazi yake ni nini tumchambue hapa kama anatimiza wajibu wake serikalini.
 
Back
Top Bottom