gabjhn
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 461
- 800
3 ni Mkulu wa Zenj 4 ndo WMNijuavyo mimi namba;
1. Rais wa JMT
2. Makamu wa Rais wa JMT
3. Waziri Mkuu
Je nimepatia??😆😆😆
3 ni Mkulu wa Zenj 4 ndo WMNijuavyo mimi namba;
1. Rais wa JMT
2. Makamu wa Rais wa JMT
3. Waziri Mkuu
Je nimepatia??😆😆😆
Serikali nzima haitimizi majukumu yake.Mkuu ipi ni gharama kubwa, kuwa na mtendaji asiyetimiza majukumu yake umlinde na kazi ziendelee kulala ili mradi tu usiongeze number ya wastaafu ama !!
Ukweli dhuluma huwa haidumu mileleMimi sikubezi, kwasababu, hakuna aliyedhani No. 1 angeweza kuchomoka, hivyo everything is posible, and anyhing can happen to anyone, at anytime, hata Namba 1 , hivyo usilazimishe kusema ni lazima iwe hivyo unless kama mpangaji ni wewe, lakini kama mpangaji ni YEYE, hao wenyewe wako, wanaweza kutangulia, kabla ya hao unaotaka waondoke!.
P
Hapa Ni Wapi Vile? ChatoUhuru wa habari umesharudi mbona unataka kuturudisha misri?
Kasome kule aisee kumbe Katelephone ni chatuInabidi tubadili desturi zetu za maisha na siyo kuishi haya maisha ya ramuli. Inasikitisha sana kuona tunakuja na fikra za ajabu namna hii. HAPANA HII SI SAWA HATA KIDOGO. TUBADILIKE NA TUELEWE MUNGU NDIYO MUWEZA WA SOTE NA SIYO RAMULI
Kama hivi Mkuu?View attachment 1756449
Kuanzia January na February watu humu mitaani walipuputika na kubanwa kifua, ilikuwa upepo mubaya, so na jiwe huo upepo ulimpitia piaHalafu tangia mwendazake aondoke sijasikia habari za matamko ya covid au alikuwa nayo mwenyewe wameona kawapisha? Mambo mazito haya!
Hivi huu upepo umepita au upo bado?Kuanzia January na February watu humu mitaani walipuputika na kubanwa kifua, ilikuwa upepo mubaya, so na jiwe huo upepo ulimpitia pia
Mimi sikubezi, kwasababu, hakuna aliyedhani No. 1 angeweza kuchomoka, hivyo everything is posible, and anyhing can happen to anyone, at anytime, hata Namba 1 , hivyo usilazimishe kusema ni lazima iwe hivyo unless kama mpangaji ni wewe, lakini kama mpangaji ni YEYE, hao wenyewe wako, wanaweza kutangulia, kabla ya hao unaotaka waondoke!.
P
Majukum yote yanatekelezwa ikiwa ni kuhakikisha nchi ipo salama, kutoa huduma za kijamii, kukusanya mapato na kusimamia Rasilimali . Labda utaje wewe kipi hakifanyikiSerikali nzima haitimizi majukumu yake.
Nitajie mtu mmoja kwenye serikali anayetimiza majukumu yake.
Acha kuharibu mfungo wa watu weweWana JF
Nawasalimu wote
Nianze kwa kusema mimi sio Mganga wala Nabii ila ninenayo ndiyo ukweli unaotokana na uhalali wa hatimiliki kwa mujibu wa maagano.
Hizo namba tajwa hapo juu yaani 2 na 3 zina wenyewe ila bahati mbaya tu kipindi hiki kifupi wenyewe wamezikosa bila kutarajia na zinatumiwa na wengineo kwa bahati mbaya tu!
Hata hivyo kwa kuwa wenye namba zao wapo na huwa hawashindwi basi lazima substitution ifanywe ili mmojawapo hususani namba tatu akae pembeni asubiri muda muafaka arejee dimbani.
Substitution kwa nambari tatu haitokani na yeye kukosa uwezo! Hoja ni kuwa kwa sasa anacheza namba isiyo yake kulingana na desturi ya upangaji wa timu!
Wenye hatimiliki hawakujua kama haya yangalitokea hata hivyo maadamu yameshatokea basi lazima yajipange kuanzia sasa ili wamiliki wanachostahili.
Ni namba zao kwa mujibu wa maagano & mazingira halisi ya sasa!
Ni lazima iwe hivyo na ni suala la muda tu na wala usipoteze nguvu kunibeza.
Muda utaongea
Wasalaam
Umepungua kiasi ila huku kitaa inasumbua watu wazima kuondoka ghafla, mkeo nilipo Hali haikuwa nzuri aiseeHivi huu upepo umepita au upo bado?
Hiyo sikatai baada ya jiwe kupitiwa vipi matamko kutoka kwa mabeberu siyasikii tena hapo ndipo najiuliza au mie ndiyo nina tatizo lakutofuatilia labda.Kuanzia January na February watu humu mitaani walipuputika na kubanwa kifua, ilikuwa upepo mubaya, so na jiwe huo upepo ulimpitia pia
Nchi ipo salama watu wanakufa kwa Covid 19 rais kakataza chanjo, watu hawapimwi, hakuna isolation, hata barakoa ni mgogoro.Majukum yote yanatekelezwa ikiwa ni kuhakikisha nchi ipo salama, kutoa huduma za kijamii, kukusanya mapato na kusimamia Rasilimali . Labda utaje wewe kipi hakifanyiki
Sent from my CPH1937 using JamiiForums mobile app
Pole sana. Tutapita tu.Umepungua kiasi ila huku kitaa inasumbua watu wazima kuondoka ghafla, mkeo nilipo Hali haikuwa nzuri aisee
Ukijichanganya unapeperushwa vile vileHivi huu upepo umepita au upo bado?