wakuja town
JF-Expert Member
- Oct 26, 2020
- 898
- 1,342
Hapo anaongelewa aliejaliwa na ******
Upite, kwenda wapi!Hivi huu upepo umepita au upo bado?
Mabeberu wanapambana na Corona Yao na hawajawahigi kushinikiza Corona kwa tanzaniaHiyo sikatai baada ya jiwe kupitiwa vipi matamko kutoka kwa mabeberu siyasikii tena hapo ndipo najiuliza au mie ndiyo nina tatizo lakutofuatilia labda.
Mungu ndio muumba wa vitu vyote ukiwemo uhai, na ni Mungu tuu ndio huuchukua uhai, hivyo haitegemei umechomoka vipi, mtu akichomoka ni kazi ya Mungu. Binadamu hata akipanga vipi kukuchomoa kama shambulio la Lissu, kama Mungu hajapanga mtu hachomoki.Kuna kuchomoka kwa aina mbili kwa mpango wa binadamu na mpango wa mungu.