- Thread starter
- #41
my point here ni kusisitiza matendo memaHakika.Hukumu ni hapa hapa duniani.
my point here ni kusisitiza matendo memaHakika.Hukumu ni hapa hapa duniani.
Huu nao mnauita utabiri? Angalau basi kama angesema kuwa litatokea mwaka huu
Naam, wawe wanatoa timeframeHuu nao mnauita utabiri? Angalau basi kama angesema kuwa litatokea mwaka huu
Mzee? Sema alikuwa mgonjwa halafu anafanya Mambo ambayo ya kipumbavu kuumiza wengineUtabiri wa kifala! Kila mtu atakufa, tena alikuwa mzee na mgonjwa!
Uko sawa lakini kama watu mnavuruga sheria kwa maslahi yenu na familia zenu na jamii zenu manafikiri wengine tutasemaje?Tutaimba nyimbo za kumsifu Mungu kwa kutupunguzia mizigo isiyofaa.my point here ni kusisitiza matendo mema
I second you Dr.Huu sio utabiri mkuu wanasiasa wengi wanaumwa magonjwa Makubwa kisukari ,ukimwi n.k
Mzee wa kuunganisha story, hapo ametabiri nn kwa ndugai
na hao mnaowapokea walitabiriwa kifo kwa unyama wao?Wanadamu wengi tu wanakufa , sisi watu wa hospital , hasa kitengo cha mortuary tunapokea kila mtu akiwemo mimi na wewe bwashee
Kifo ni njia ya kila mtu mwema na mbayamjifunze kuwa na matendo mema
Kama mtabiri bado yupo hai ...huo utabiri ni valid MwashambwaKama wote tutakufa, mtu akisema flani atakufa na huyo flani akaja kufa siku moja, huo nao ni utabiri?
Ndo yale mambo ya Pasko ya voices from within 🤣.
Ujuha mtupu!
Huyo Kama moto upo unamuhusuMzee? Sema alikuwa mgonjwa halafu anafanya Mambo ambayo ya kipumbavu kuumiza wengine
Akachomwe Moto milele na milele
Tuseme ameen!!😀😀
Aliota JPM kafa kunawatu wana utabili mzaziUtabiri wa kifala! Kila mtu atakufa, tena alikuwa mzee na mgonjwa!
Lissu atakufa miaka ya kibiblia ikifika miaka kuanzia 70+Natabiri, mbowe na Lissu watakufa 😎
Unaweza anza wewe nawao wakafata Utakua umetupigaNatabiri, mbowe na Lissu watakufa 😎
whatever, utakumbukwa kwa matendo mema na mabaya. Mema yanadumu na heriKifo ni njia ya kila mtu mwema na mbaya
Kifo wala hakihusishi mambo yenu ya siasa uchwara , wewe hauna uwezo wa kumzidi mtu ambae ameshakufa kwa chochote , labda mimi ndio nina huo uwezo bila kupepesa macho, na wala siwazi wala kuogopa kufa kama wewe bwasheena hao mnaowapokea walitabiriwa kifo kwa unyama wao?