Utabiri: Tanzania kwenda total lockdown mwezi April

Utabiri: Tanzania kwenda total lockdown mwezi April

"Cha kusikitisha tu ni kuwa katika hii subiri subiri kuna watu itawagharimu maisha pia gharama zitakuwa kubwa zaidi", anasema Cyril Ramaphosa Rais wa Afrika kusini.
 
Mbn mkali Sana? Hakna lock down mbn kunanchi wanacheza mpak mpira wanacheza

Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu wala! Kuna jamaa moja lilikuwa linaleta utani wa kijinga jinga kwenye mambo serious kama haya.

Mijitu kama hiyo si ya kuvumilia indefinitely at times muhimu kuyafahamisha wazi kuwa yanafahamika yenyewe na rangi zao halisi.
 
kujifungia ndani ni solution ndio ila sio solution pekee, kwani ukimwi ulivyoingia bongo watu waliacha kufanya mapenzi? Cha muhimu ni kuchukua tu precautions, lockdown tutakula nini sio kila mtu ana uwezo wa kuweka stock kubwa ya nusu mwaka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu ni huo utabiri wangu. Kwanini usitoe wako kama unadhani ni 2021?

Ama kweli akili ni nywele. Na nywele hizo TWAWEZA aliziainisha vilivyo.
Mbona kama hutaki watu wachangie thread
Ukianzisha uzi kaa ukijua kuna watakao kuunga mkono au kuwa against
 
Kwani hizo hatua walizo chukua Rwanda ambao wewe unawasifia ,je wamemaliza kutatua hilo tatizo?

Ulisoma kilichoandikwa kuhusu Rwanda? Kasi ya maambukizi imepungua. Hiyo ndiyo dalili muhimu ya kwanza kuwa wanakwenda vizuri.

Achaneni taarifa za kupikwa kuwa mko vizuri.

Mnaposikia figures zimepikwa mnauliza mlitaka ziwe ngapi? Ajabu na kweli sijui wao walitaka zisiwe ngapi?

Ikumbukwe kuwa kinachohitajika ni figures halisi (period).
 
kujifungia ndani ni solution ndio ila sio solution pekee, kwani ukimwi ulivyoingia bongo watu waliacha kufanya mapenzi? Cha muhimu ni kuchukua tu precautions, lockdown tutakula nini sio kila mtu ana uwezo wa kuweka stock kubwa ya nusu mwaka

Sent using Jamii Forums mobile app

Watanzania kwenye ubora wetu. Kusoma mada zero.

Anaibuka mtu na issue iliyoshakuwa addressed over ten times kana kwamba ndiyo kwanza kawasili tokea sayari nyingine.
 
Mbona kama hutaki watu wachangie thread
Ukianzisha uzi kaa ukijua kuna watakao kuunga mkono au kuwa against

Mkuu utabiri ni quotable kama ulivyo. 2020 ikibadirishwa na kibwetere kuwa 2021 huo ni mwingine. In the case inahitaji mtabiri mwingine.

Mtabiri mwingine si mtoa mada tena Ila labda kama ni mtoa bandiko sasa.

Huoni hivyo mkuu?
 
Mkuu unafahamu tofauti ya 'kasi ya maambukizi' (infection rate) na 'ukubwa maambukizi' number of the (confirmed infections)?

Ulielewa nilichoandika kuwa kimepungua?

Hizi source zako zinatoa figure zipi baina ya hizi mbili.

Please revisit your sources for the veracity of the argument.
Number ya maambukizi mampya 5, namba ya wagonjwa ambao wapo mpaka hivi sasa 75.
 
Number ya maambukizi mampya 5, namba ya wagonjwa ambao wapo mpaka hivi sasa 75.

Katika 5 za maambukizi mapya ngapi ni za ndani na ngapi ni moja kwa moja toka nje?
 
Katika 5 za maambukizi mapya ngapi ni za ndani na ngapi ni moja kwa moja toka nje?
"• Four (4) travellers who had arrived from Dubai and who have been isolated
• One (1) contact of a previously confirmed positive case,and who has been isolated"
 
Utabiri wako upotelee mbali. Mungu ibariki Tanzania and atuepushe na adha hii, na sijui wewe upo katika kipato cha aina gani? Hata haufikiri juu ya the majority ambao mlo ni lazima watoke[emoji57] brazaj,

Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu miye ni mtu hohehahe tu labda kama wewe. Tofauti yetu yaweza kuwa katika kuelewa tu kasi ambayo huu ugonjwa unayo sambaa nayo. Angalia hapa ulaya na marekani ndani ya kipindi cha mwezi 1:

Angalia hizi takwimu uone jinsi ndani ya mwezi mmoja hali inavyoweza kuwa mbaya.

Yaani ndani ya mwezi au wiki chache hali inaweza kutoka kwenye makumi hadi makumi elfu


🇮🇹 Italy
February 21 2020 - 21 cases
March 27 2020 - 86,498 cases

🇺🇸 United States
February 21 2020 - 16 cases
March 27 2020 - 100,037 cases

🇫🇷 France
February 26 2020 - 18 cases
March 27 2020 - 32,964 cases

🇩🇪 Germany
February 25 2020 - 18 cases
March 27 2020 - 50,178 cases

🇪🇸 Spain
February 27 2020 - 25 cases
March 27, 2020 - 64,059 cases

🇮🇷 Iran
February 19 2020 - 5 cases
March 27 2020 - 32,332 cases

South Africa 🇿🇦
March 1 2020 - 1 case
March 27 2020 - 1,170 cases

.

Mkuu kama bado huelewi haipo namna ya kukusaidia uelewe. Tusiwe wavivu kusoma nyuzi za wengine hata kama hatuzipendi.

Ukweli kwa kawaida ni mchungu.

Hali yetu ni mbaya mkuu.
 
Utabiri wa Nyumbu huu, aijuaye kesho ni Mungu,

Wenzako hutabiri angalau kwa kuzingatia statistics,

Mungu ameshatuepushia hiki kikombe waafrika.

Tukumbushane come May 1.

Kuwa tayari kuruka nyumbu kama tukubaliana utabiri haukuwa wa nyumbu.
 
Back
Top Bottom