and 998 others
JF-Expert Member
- Jun 27, 2012
- 28,226
- 39,713
Acheni kutisha wazalendo
Acheni kutisha wazalendo
Nyie endeleeni kupiga domo. Sisi tunapeleka umeme vijijin, barabara mijin na vijijini na kujenga hospitaliYa karagwe umeyasikia? Au kubwabwaja bwabwaja kwa sababu nawe una domo?
Maisha mangapi yangeokolewa kwa kutambua tu kuwa huu ugonjwa upo na unauwa?
Acheni kutumia mwamvuli wa kutojua kwa watu kuwahadaa ili kulinda maslahi yenu.
Leo hii mnakereka na taarifa za vifo badala ya kukereka na vifo.
Kwa hakika Mumiani utawajua kwa kauli zao, kwa maana kwao kila kifo ni nyama zaidi mezani tayari kwa matumbo yao.
Nyie endeleeni kupiga domo. Sisi tunapeleka umeme vijijin, barabara mijin na vijijini na kujenga hospitali
Naona mabeberu wanajambo la lao hadi kieleweke! Walikuja na utabiri waaafrika watakufa kama kuku vitisho vikakwama,wamekuja na jambo lao tena ety kuuna aina nyingine ya kirusi imeingia lakni cjasikia wanatafuta chanjo mpya chanjo ni ileile.
Ugonjwa upo Sana tu huku Zanzibar miez hii miwili iliyopita ilikuwa balaa dalili kama mafua, joto la mwili kuwa juu Sana, viungo kuuma, kukohoa Na kifua kubana , maumivu makali YA kichwa Ila uzur Ni kwamba watu Wana recover fresh Na hakuna vifo ukilinganisha Na wimbi la mwaka janaAsee, huu ugonjwa unarudi bana?, Haya mafua siyaelewi elewi[emoji26]
Asee, huu ugonjwa unarudi bana?, Haya mafua siyaelewi elewi😥
Covid-19 haijaondoka isipokuwa rate ya maambukizi ndio imepungua
Inabidi kuchanja tu sasaCovid-19 haijaondoka isipokuwa rate ya maambukizi ndio imepungua
Inabidi kuchanja tu sasa
Aliye tabiri na familia yake ndio watakwenda total lockdown
Sisi huku kazi iendelee tu walahi [emoji2959]
Aliye tabiri na familia yake ndio watakwenda total lockdown
Sisi huku kazi iendelee tu walahi [emoji2959]