Boss la DP World

JF-Expert Member
Dec 12, 2021
1,997
7,551
Habari za Leo ndugu zangu, poleni na majukumu ya siku ya leo.

Leo nimeona niwajulishe kile ninacho kiona mwaka 2025 na uzi huu uwe shahidi itakapofika wakati huo.

1. Mpaka mchakato wa ndani wa kupata majina ya wagombea CCM unaanza, chaguo la wengi kwa nje litakuwa Mwanamke.

2. Form yakwanza itachukuliwa na mwanamke na mpaka hapo watu wataamini mgombea ni mmoja.

3. Mwanaume mmoja atachukua form kimya kimya.

4. Siku ya mwisho ya kurejesha form jumla ya majina yatakuwa zaidi ya mawili, yatakayokuwa na vigezo ni mawili.

5. Jina la pili litapata nguvu ghafla na halita zuilika na litaleta mshtuko kwa wapinzani.

6. Wabunge wengi waliopo sasa watumie vyema fedha zao kuwekeza na wasichukue form za kugombea tena maana watakatwa.

7. Sura mpya kabisa zitapokea kijiti kuongoza nchi na wapinzani watapata baadhi ya majimbo maana mtu kama Dr Msukuma atahama chama na kushinda kwenye chama chake kipya.

Asanteni
 
Habari za Leo ndugu zangu, poleni na majukumu ya siku ya leo.
Leo nimeona niwajulishe kile ninacho kiona mwaka 2025 na uzi huu uwe shahidi itakapofika wakati huo.

1. Mpaka mchakato wa ndani wa kupata majina ya wagombea CCM unaanza, chaguo la wengi kwa nje litakuwa Mwanamke.

2. Form yakwanza itachukuliwa na mwanamke na mpaka hapo watu wataamini mgombea ni mmoja.

3. Mwanaume mmoja atachukua form kimya kimya.

4. Siku ya mwisho ya kurejesha form jumla ya majina yatakuwa zaidi ya mawili, yatakayokuwa na vigezo ni mawili.

5. Jina la pili litapata nguvu ghafla na halita zuilika na litaleta mshtuko kwa wapinzani.

6. Wabunge wengi waliopo sasa watumie vyema fedha zao kuwekeza na wasichukue form za kugombea tena maana watakatwa.

7. Sura mpya kabisa zitapokea kijiti kuongoza nchi na wapinzani watapata baadhi ya majimbo maana mtu kama Dr Msukuma atahama chama na kushinda kwenye chama chake kipya.

Asanteni
Na huyo Mwanaume atakuwa huyu aliyeanza kujizoesha MISAFARA ya Mapikipiki
JamiiForums1856381968.jpg


Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Habari za Leo ndugu zangu, poleni na majukumu ya siku ya leo.
Leo nimeona niwajulishe kile ninacho kiona mwaka 2025 na uzi huu uwe shahidi itakapofika wakati huo.

1. Mpaka mchakato wa ndani wa kupata majina ya wagombea CCM unaanza, chaguo la wengi kwa nje litakuwa Mwanamke.

2. Form yakwanza itachukuliwa na mwanamke na mpaka hapo watu wataamini mgombea ni mmoja.

3. Mwanaume mmoja atachukua form kimya kimya.

4. Siku ya mwisho ya kurejesha form jumla ya majina yatakuwa zaidi ya mawili, yatakayokuwa na vigezo ni mawili.

5. Jina la pili litapata nguvu ghafla na halita zuilika na litaleta mshtuko kwa wapinzani.

6. Wabunge wengi waliopo sasa watumie vyema fedha zao kuwekeza na wasichukue form za kugombea tena maana watakatwa.

7. Sura mpya kabisa zitapokea kijiti kuongoza nchi na wapinzani watapata baadhi ya majimbo maana mtu kama Dr Msukuma atahama chama na kushinda kwenye chama chake kipya.

Asanteni
Me nimeiona hapatakuwa na UCHAGUZI 2025.

Tutakuwa ktk mchakato wa kupatikana KATIBA mpya ktk hatua za mwisho itakayokamilika 2026.

Pia Kuna CHAMA kipya kitazaliwa baada ya Katiba mpya kitakuwa mbadala wa chama dola.

Na Mzee WARIOBA atakuwepo kuizindua Katiba mpya.2026. Amen
 
Habari za Leo ndugu zangu, poleni na majukumu ya siku ya leo.
Leo nimeona niwajulishe kile ninacho kiona mwaka 2025 na uzi huu uwe shahidi itakapofika wakati huo.

1. Mpaka mchakato wa ndani wa kupata majina ya wagombea CCM unaanza, chaguo la wengi kwa nje litakuwa Mwanamke.

2. Form yakwanza itachukuliwa na mwanamke na mpaka hapo watu wataamini mgombea ni mmoja.

3. Mwanaume mmoja atachukua form kimya kimya.

4. Siku ya mwisho ya kurejesha form jumla ya majina yatakuwa zaidi ya mawili, yatakayokuwa na vigezo ni mawili.

5. Jina la pili litapata nguvu ghafla na halita zuilika na litaleta mshtuko kwa wapinzani.

6. Wabunge wengi waliopo sasa watumie vyema fedha zao kuwekeza na wasichukue form za kugombea tena maana watakatwa.

7. Sura mpya kabisa zitapokea kijiti kuongoza nchi na wapinzani watapata baadhi ya majimbo maana mtu kama Dr Msukuma atahama chama na kushinda kwenye chama chake kipya.

Asanteni
Endelea kutabiri shehe
 
Lililo dhahiri ni hili;

1. Mwanamke Rais Samia Suluhu Hassan hawezi kuchukua form ya kugombea u - Rais aidha kwa hiari yake au kwa kukataliwa na chama chake iwapo tu ataendelea kupata neema ya kufika hadi hiyo 2025...

## Kwa hili uko sahihi, Tanzania haikuwa tayari na haitakuwa tayari kuongozwa na mwanamke tena labda mpaka baadaye miaka ya usoni..

2. Haijalishi huko CCM nani atachukua au hatachukua fomu za ugombezi wa u - Rais.

Ila, this is undisputed fact, kwamba, uwezekano wa CCM kuendelea kuongoza nchi unafikia ukingoni kama siyo kesho basi si zaidi ya 2025...!

Kwa hiyo, tunapojadili hatima ya uongozi wa taifa la Tanzania, tuna kila sababu ya kuanza kuiondoa CCM ktk hatima ya nchi hii...
 
Back
Top Bottom