TATIANA
JF-Expert Member
- Dec 8, 2010
- 4,695
- 2,449
Kama kwenye hiyo site wanakupa karata then kabla hujadeal wanakwambia focus ndio uclick.. Mmh kuna connection hapo aiseeChallenging question. ...ukiisoma sana tarrot unaona kama kuna connection kati ya wewe na yenyewe kupitia kidole chako lakini pia ni kama ushetani fulani hivi au katika hali ya kawaida ni basic assumptions tuu