Utabiri kwa kutumia karata za tarot

Utabiri kwa kutumia karata za tarot

Rafiki Mimi najua sana kuitumia hii kitu lakini imani yangu hainiruhusu, japo huwa nakatiza labda Mara moja kwa miezi miwili, bday yangu ya 2006 nilitumiwa kama zawadi nikaambiwa chagua halafu tuma rafiki sitosahau ktk maisha yangu. Nitasahau mwaka mzima inapofika bday yangu lazima nikumbuke
Nini kilitokea kwani...
 
Rafiki Mimi najua sana kuitumia hii kitu lakini imani yangu hainiruhusu, japo huwa nakatiza labda Mara moja kwa miezi miwili, bday yangu ya 2006 nilitumiwa kama zawadi nikaambiwa chagua halafu tuma rafiki sitosahau ktk maisha yangu. Nitasahau mwaka mzima inapofika bday yangu lazima nikumbuke
Jitahidi isikuzoee unaweza kuanguka kiimani ina temptation mbaya sana...kila asubuhi utataka kujua tarot inasemaje
 
Walinitabiria kwa mwaka mzima yaani kuanzia hiyo tarehe nilianza kupata matokea siku ya pili tena nilikwisha sahau, maana walianiambia kabla ya siku saba nitapoteza kazi na nitakuwa na wakati ngumu sana kwa kipindi cha robo tatu ya mwaka ilikuwa hiyo
Ungeingia mtandaoni ukasoma karata zote sita na ushauri wake labda mengi yasingetokea
 
Jitahidi isikuzoee unaweza kuanguka kiimani ina temptation mbaya sana...kila asubuhi utataka kujua tarot inasemaje
Ilikuwa hivyo na nilikuwa sijui kama ni vibaya baada ya kuambiwa ni mbaya kwa kweli nimeacha
 
Rafiki Mimi najua sana kuitumia hii kitu lakini imani yangu hainiruhusu, japo huwa nakatiza labda Mara moja kwa miezi miwili, bday yangu ya 2006 nilitumiwa kama zawadi nikaambiwa chagua halafu tuma rafiki sitosahau ktk maisha yangu. Nitasahau mwaka mzima inapofika bday yangu lazima nikumbuke
Owkey nimekusoma hapo juu, thanks
 
Sasa na mi natoa ushauri si kila unachoambiwa ukiamini kwa sababu kuamini tu hicho ulichoambiwa na ukaweka hofu kinakupata kweli hata kama ni uongo
Sema shetani ashindweeeeee na atokomee mbali nawe
 
Watu wanaotafuta bahati wanaweza kushauriwa vibaya na mganga ukajikuta unapata ulemavu kwa kukatwa kiungo au hata kupoteza maisha
LAKINI pia imani za kishetani na freemason wakikugundua watafanya kila jitihada wakuvutie kwako
Hapa ni balaa kwahiyo jamaa ni malighafi tosha kabisa.
 
Sasa na mi natoa ushauri si kila unachoambiwa ukiamini kwa sababu kuamini tu hicho ulichoambiwa na ukaweka hofu kinakupata kweli hata kama ni uongo
Sema shetani ashindweeeeee na atokomee mbali nawe
Yeah sure your perception creates your reality lakini kuna wakati kuna nguvu zinafanya kazi beyond our abilities
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom