Original post ya mleta mada inasema, usitoe vyote, maana hata ukitoa vyote atacheat….
Fikiria hilo, halafu fikiria nilichojibu utagundua niko sahihi 💯
Men math: Kila anachofanya analenga yeye kuenjoy wa kwanza, sisi wanawake “wabinafsi “ tumeadapt hii “crucial “ character ya kiume…… We good!
Hili wazo la mleta mada halijatokea from no where… limetokea kwenye mafundisho “tunayofundishwa wanawake “ juu ya mahusiano na ndoa kuwa we have to give our all ili tumbakishe kiumbe wa kiume asiende… Watu wamevunja viuno huko wakaja kugundua yote ni ubatili na kujilisha upepo huyu kiumbe wa kiume ataenda tu….. Hence wakaja na hili “usimpe vyote sababu hata ukimpa bado atacheat”
Sasa sisi wengine tuliokua tukiobserve jinsi jamii ilivyo na inavyotoa rewards …. tukaamua kuwa Rebellious people “wabinafsi”
I hope this helps x, kama unabinti mfundishe hili litamsaidia sana katika hii dunia ya mzungu 😂