Usitoe vyote.... atacheat tu! Jifunze uchoyo

Usitoe vyote.... atacheat tu! Jifunze uchoyo

Hii ni kwa wote lakini haswa kwa wanawake usijimalize sana...akiamua kufanya yake anafanya tu
haijalishi level ya mahusiano yenu hata mume na mke

Mara nyingi uaminifu wa mtu umetenganishwa na vitu akiamua kuwa mwamifu kwako atakua tu

Jifunze tu uchoyo ndugu yangu
usitoe kila kitu
Kitu gani hicho asitoe?
 
Vyote!! Au yote na kama ukishampa umempa au kuna namna kipimo cha kumpea, nusu robo au nusu na robo, hiyo vyote ni mlango wa uani!! Ego yangu iko level za juu sana imenisaidia kuishi ktk mahusiano na ndoa, mwanaume anaishi vile navyotaka mimi, fambastick
 
Kwa ufupi kabisa ni kwamba mwanetu kaolewa 🤭
Hayo ni mawazo yako lakini huwa sihangahili na kutetemekea mwanaume eti ili asiende kwingine, hii namba nyingine babu we tomba kila tundu ila na mimi nikianza kucheat hata serikali haiwezi kunizuia, maana code zote za cheating nazimanya, mpaka utatoa kamasi
 
Vyote!! Au yote na kama ukishampa umempa au kuna namna kipimo cha kumpea, nusu robo au nusu na robo, hiyo vyote ni mlango wa uani!! Ego yangu iko level za juu sana imenisaidia kuishi ktk mahusiano na ndoa, mwanaume anaishi vile navyotaka mimi, fambastick
Wewe una weza piga mtu flying kick ya kwenye kengele
 
Akiamua kufanya yake anafanya tu
haijalishi level ya mahusiano yenu hata mume na mke
Afanye tu tena akitaka aende mazima.
Kukaa unamlilia mtu anakuona kiazi tena kiazi cherema wa mapenzi atakunyanyasa nakukutesa sana hasa ukiwa namoyo mdogo. Jifunze kuchukulia kawaida kwamba unaweza ishi vizuri tu bila yeye

Sikuzote Kunguru hafugiki


Cc Smart911
 
Afanye tu tena akitaka aende mazima.
Kukaa unamlilia mtu anakuona kiazi tena kiazi cherema wa mapenzi atakunyanyasa nakukutesa sana hasa ukiwa namoyo mdogo. Jifunze kuchukulia kawaida kwamba unaweza ishi vizuri tu bila yeye au ukipata wa kumpigia wee tumia fursa uwezavo kabla muda wako haujaexpire kwani majority cheat in one way or the other lols!!

Sikuzote Kunguru hafugiki


Cc Smart911
Sema haki na Mungu...
Wewe unaweza kupotezea... 😂
 
Back
Top Bottom