masai dada
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 17,378
- 19,267
Hii ni kwa wote lakini haswa kwa wanawake usijimalize sana...akiamua kufanya yake anafanya tu
haijalishi level ya mahusiano yenu hata mume na mke
Mara nyingi uaminifu wa mtu umetenganishwa na vitu akiamua kuwa mwamifu kwako atakua tu
Jifunze tu uchoyo ndugu yangu
usitoe kila kitu
haijalishi level ya mahusiano yenu hata mume na mke
Mara nyingi uaminifu wa mtu umetenganishwa na vitu akiamua kuwa mwamifu kwako atakua tu
Jifunze tu uchoyo ndugu yangu
usitoe kila kitu