Monetary doctor
JF-Expert Member
- Oct 20, 2022
- 12,897
- 24,295
nachoka nttandika uzi mwezi wa kumiWachungaji wana mbinu zao..
nachoka nttandika uzi mwezi wa kumiWachungaji wana mbinu zao..
Love exists for happiness, intimacy, and building a family
Sasa chagua upande na ishi humo👆
Ukiweza kuchagua nafasi zote it's ok
Unampangia maisha au unamshauriSeran unaonaje ukaachana na utumishi, ukafocus na mapenzi 😁
Tufanye wa 11nachoka nttandika uzi mwezi wa kumi
haina shida sisTufanye wa 11
Hapana mimi ni mbeba maono, mpakwa mafuta wa bwana.. nimeitwa🤗
Unampangia maisha au unamshauri
Anyway 🏃♀️🏃♀️🏃♀️
Hafi mtu hapa😁Mpaka watakapo kuuua, kudadeki 😁
Hilo halitawezekana! Sijayapa nafasi hayo mapenzi😅Namsagia kunguni ateswe na mapenzi pamoja na utumishi 😁
Akose pa kupumulia, amrudie bwana Mungu.
Bado kidogo utapaa na ungoNamsagia kunguni ateswe na mapenzi pamoja na utumishi 😁
Akose pa kupumulia, amrudie bwana Mungu.
Kuwa na kiburi cha uzimaNaomba chabo basi ya hiyo ego, shida angu mwepesi kusahau 😭
Vyote kwa pamojaIkifikia hatua hii itakua ni kwasababu unamkomoa mwanetu au just for your own pleasure?
Mpaka umeandika hapa ushatishika na hapo unesoma muandiko imagine live ingekuwaje,!!!Mwanaume atishiwi nyau😆
TawireeeIgweeeeeeeee 😹
Yes dadiiiSafi sana mwanangu , nimeipenda hii😁
Ukitaka kutumia akili kwenye mapenzi UTAFELI.Hii ni kwa wote lakini haswa kwa wanawake usijimalize sana...akiamua kufanya yake anafanya tu
haijalishi level ya mahusiano yenu hata mume na mke
Mara nyingi uaminifu wa mtu umetenganishwa na vitu akiamua kuwa mwamifu kwako atakua tu
Jifunze tu uchoyo ndugu yangu
usitoe kila kitu