Usitoe vyote.... atacheat tu! Jifunze uchoyo

Usitoe vyote.... atacheat tu! Jifunze uchoyo

Na inawezekana pia kutokutoa yote popote… sisi wabinafsi namna tulivyoumbwa kuenjoy kwetu hakuhusiani na kukunjua nafsi.

If you know you know.

Na hata mtu akienda we good… we didn’t give it all anyways 😂

Imagine mtu anatoa yote halafu anashuhudia mtu wake yuleeeee anapepea, ndio maana people are bitter out here…. Ungeweza kupima tu kukakuepusha na jakamoyo.
Hii kutoa yote pia ni pana naona😁😁Nahisi mda mwingine ni kama dozi ya dawa tu. Kila aina ya ugonjwa,dawa na dozi ni tofauti. Yawezekana kwa ubinafsi wako unahisi jamaa unalipimia nusu kumbe lenyewe linaona umetoa vyote sababu kwenye moja ya kitu ambacho huwa anaenjoy basi umempatia😅😅😅Hujawahi kutana na jamaa linakuganda hafu wewe unaona huyu mbona namfanyia kawaida kuliko yule hafu bado linakung'ang'ania,ujue hapo moja ya siraha ulizotoa basi ipo jamaa umemtandika nayo ya ubongo kabla hata hujafungua ghala zima.
 
Hii kutoa yote pia ni pana naona😁😁Nahisi mda mwingine ni kama dozi ya dawa tu. Kila aina ya ugonjwa,dawa na dozi ni tofauti. Yawezekana kwa ubinafsi wako unahisi jamaa unalipimia nusu kumbe lenyewe linaona umetoa vyote sababu kwenye moja ya kitu ambacho huwa anaenjoy basi umempatia😅😅😅Hujawahi kutana na jamaa linakuganda hafu wewe unaona huyu mbona namfanyia kawaida kuliko yule hafu bado linakung'ang'ania,ujue hapo moja ya siraha ulizotoa basi ipo jamaa umemtandika nayo ya ubongo kabla hata hujafungua ghala zima.
Kwaheri……

Unajua definition halisi ya kutokutoa yote ni kutoa kile tu unachoridhika kukitoa… Kwahiyo akitokea akaridhika basi mashallah!

Mfano halisi wa kiumeni… Mwanaume uko nae ameingiza million 20… we hujui ila unajua ameingiza hela fulani, so akikupa laki 9 unaona umepewa nyingi na unaridhika… Laiti ungejua!!!! Wakati huo na huyo ME anajua kabisa amekupimia kipimo ambacho hakimuumizi……
 
Ukiwa mbinafsi hata mapenzi hayawezi kukuendesha..!!

Wabinafsi siku zote tuko upande wa “I love you too” ukiaga tunasafisha room tunapulizia na rungu kuua chawa ulizoacha..!! 😹😹

Sema kuna kitu Patel alipandikiza Fore mbona wadada tumekuwa majeuri sana..!! 😹

Ujeuri mtandao 🤪
 
Daah huu udhaifu nilio nao si mzuri kwa kweli.. sometimes najifungia mahali nalia kujutia hiko kitendo, ila ukipita mda nikiona makalio mazuri ya mdada, baadae akili yangu na tamaa vinarudi huko Seran
Najua unafurahia sana! nilikuona kule fantasy unavyojiachia tu mafirauni wenzio! Itafika mahala hutotamani hata kujiangalia! Hilo ni pepo nenda likang’olewe!
 
Unatufundisha uchoyo et
We ukiamua kumpa mtu mpe tu

Mimi kila kitu nachofanya kwenye sex asilimia 100 ni kwa ajili ya furaha yangu mwenyewe ukijitia bazazi sana hata huwezi kui enjoy sex

Ukijilegeza utalegea
Ukisikilizia utamu utausikia lazima

Huu msemo oooh siwezi kuhangaika kwa ajili ya mwanaume ataenda kwingine lol kwani unafanya ili asiende au ni kwa ajili ya enjoyment

NB : hakikisha unalala na mtu kwa ajili ya ku enjoy tu sio target nyingine

Embu agiza kinywaji hapo, Ntalipa.

Haya mapenzi yapo ili kupunguza ukakasi wa maisha.
 
Back
Top Bottom