Usitoe vyote.... atacheat tu! Jifunze uchoyo

Usitoe vyote.... atacheat tu! Jifunze uchoyo

Unatufundisha uchoyo et
We ukiamua kumpa mtu mpe tu

Mimi kila kitu nachofanya kwenye sex asilimia 100 ni kwa ajili ya furaha yangu mwenyewe ukijitia bazazi sana hata huwezi kui enjoy sex

Ukijilegeza utalegea
Ukisikilizia utamu utausikia lazima

Huu msemo oooh siwezi kuhangaika kwa ajili ya mwanaume ataenda kwingine lol kwani unafanya ili asiende au ni kwa ajili ya enjoyment

NB : hakikisha unalala na mtu kwa ajili ya ku enjoy tu sio target nyingine
 
Sio malaya…. Sema ni ubinafsi…. Watu wabinafsi TUNAendeshwa na logic. Na ili uwe mbinafsi ni lazima uwe unajipenda sana, na ili ujipende ni lazima uwe umelelewa na watu wenye upendo.

Malaya wanatoa vyote, kila kitu mezani.
Watu watoa vyote au hawatoi vyote kwa malengo maalum.Mda mwingine malaya anakupa vyote mezani kwa lengo la kupata pesa kwako na wala hana hisia na wewe.Yeye, pia anatumia ubinafsi wa kihisia kupata pesa zako maana yake mkimaliza kila mtu na lake na hata ukinogewa anaweza akakunyima akaenda kumpa mwenye pesa zaidi au hata ukimkuta na njemba nyingine inatakiwa ukaushe so hayo ni mateso kihisia maana yeye hakupi isia zake. Sasa malaya wa hivyo usimpe hela uone kama atakupa vyote mezani.Malaya pia ni wabinafsi kwa mtindo mwingine😁😁
 
Watu watoa vyote au hawatoi vyote kwa malengo maalum.Mda mwingine malaya anakupa vyote mezani kwa lengo la kupata pesa kwako na wala hana hisia na wewe.Yeye, pia anatumia ubinafsi wa kihisia kupata pesa zako maana yake mkimaliza kila mtu na lake na hata ukinogewa anaweza akakunyima akaenda kumpa mwenye pesa zaidi au hata ukimkuta na njemba nyingine inatakiwa ukaushe so hayo ni mateso kihisia maana yeye hakupi isia zake. Sasa malaya wa hivyo usimpe hela uone kama atakupa vyote mezani.Malaya pia ni wabinafsi kwa mtindo mwingine😁😁
Original post ya mleta mada inasema, usitoe vyote, maana hata ukitoa vyote atacheat….

Fikiria hilo, halafu fikiria nilichojibu utagundua niko sahihi 💯

Men math: Kila anachofanya analenga yeye kuenjoy wa kwanza, sisi wanawake “wabinafsi “ tumeadapt hii “crucial “ character ya kiume…… We good!

Hili wazo la mleta mada halijatokea from no where… limetokea kwenye mafundisho “tunayofundishwa wanawake “ juu ya mahusiano na ndoa kuwa we have to give our all ili tumbakishe kiumbe wa kiume asiende… Watu wamevunja viuno huko wakaja kugundua yote ni ubatili na kujilisha upepo huyu kiumbe wa kiume ataenda tu….. Hence wakaja na hili “usimpe vyote sababu hata ukimpa bado atacheat”

Sasa sisi wengine tuliokua tukiobserve jinsi jamii ilivyo na inavyotoa rewards …. tukaamua kuwa Rebellious people “wabinafsi”

I hope this helps x, kama unabinti mfundishe hili litamsaidia sana katika hii dunia ya mzungu 😂
 
Uzi mzima huu ukiusoma vizuri ni wa kujitia moyo.
Mnaringishiana eti mnavyowashikisha adabu wanaume. Eti mnafanya kwa ajili yenu wenyewe. Poleni sana.

Mimi siwezi kupitia comment zote aisee ni mvivu wa kusoma magazeti

But kila maoni ya mtu ya heshimiwe simple like that

Ila nikiwa kwa bed issue za kujibana bana siwezi lengo hua ni michezo so lazima tucheze 🔥
 
hahah huo ni utani, mwanamke kitu kikubwa anachoni~offer ni K tu.

so unamaanisha asinipe yote, yaani niwe naingiza ikifika nusu ananirudisha juu😁😁😁

me i will go to the other woman who will enter my all tree to her mbususu

#job truetrue
 
Mapenzi ni sayari nyingine kabisaa .
Ni rahisi kusema hivi lakini when it comes mtu amependa Huwa Yuko Tayari kufanya unthinkable things

Labda awe Malaya , Maana mtu akisha kuwa Malaya Huwa haendeshwi sana na hisia za mahusiano, Malaya Huwaga wanatumia logic zaidi kwenye mahusiano kuliko kuwa emotional
Hata malaya wanapendaga na kuwa na hisia kwa mtu specific. Anakuwa malaya tu kwa mtu ambaye hampendi.
 
Hayo ni mawazo yako lakini huwa sihangahili na kutetemekea mwanaume eti ili asiende kwingine, hii namba nyingine babu we tomba kila tundu ila na mimi nikianza kucheat hata serikali haiwezi kunizuia, maana code zote za cheating nazimanya, mpaka utatoa kamasi
Safi sana mwanangu , nimeipenda hii😁
 
Original post ya mleta mada inasema, usitoe vyote, maana hata ukitoa vyote atacheat….

Fikiria hilo, halafu fikiria nilichojibu utagundua niko sahihi 💯

Men math: Kila anachofanya analenga yeye kuenjoy wa kwanza, sisi wanawake “wabinafsi “ tumeadapt hii “crucial “ character ya kiume…… We good!

Hili wazo la mleta mada halijatokea from no where… limetokea kwenye mafundisho “tunayofundishwa wanawake “ juu ya mahusiano na ndoa kuwa we have to give our all ili tumbakishe kiumbe wa kiume asiende… Watu wamevunja viuno huko wakaja kugundua yote ni ubatili na kujilisha upepo huyu kiumbe wa kiume ataenda tu….. Hence wakaja na hili “usimpe vyote sababu hata ukimpa bado atacheat”

Sasa sisi wengine tuliokua tukiobserve jinsi jamii ilivyo na inavyotoa rewards …. tukaamua kuwa Rebellious people “wabinafsi”

I hope this helps x, kama unabinti mfundishe hili litamsaidia sana katika hii dunia ya mzungu 😂
Na usipotoa vyote huwezi kuenjoy maana utajihisi tu kuna kitu hakiko sawa😁😁. Ila yote kwa yote wote tusitoe vyote, wengine husema usitoe siraha zote ingawa usipotoa kwa huyu utaenda kutoa siraha zote kwa mwingine. Huwezi kuchomoka huu mtego wakutoa vyote, nikiwa na maana vyote halali.
 
Kinachotufanya tutoke nje, ni kwasababu ndani hatupewi kila siku.
 
Na usipotoa vyote huwezi kuenjoy maana utajihisi tu kuna kitu hakiko sawa😁😁. Ila yote kwa yote wote tusitoe vyote, wengine husema usitoe siraha zote ingawa usipotoa kwa huyu utaenda kutoa siraha zote kwa mwingine. Huwezi kuchomoka huu mtego wakutoa vyote, nikiwa na maana vyote halali.
Mwanafalsafa wewe……..

😂
 
Mwanafalsafa wewe……..

😂
Ndo mambo yalivyo. Shida ili upate raha/Furaha basi lazima ukunjue nafsi otherwise huwezi kuipata furaha ya kweli. Utakunjua wapi moyo/nafsi basi itategemea ntu na ntu. Huwezi kuwakwepa watu wote duniani, yaan usipate hata mmoja wakumpa vyote?! Haiwezekan, labda utakuwa na shida sehemu. Ukimpimia huyu nusu basi yupo ambae utampimia kilo moja tu.
 
Hayo ni mawazo yako lakini huwa sihangahili na kutetemekea mwanaume eti ili asiende kwingine, hii namba nyingine babu we tomba kila tundu ila na mimi nikianza kucheat hata serikali haiwezi kunizuia, maana code zote za cheating nazimanya, mpaka utatoa kamasi
Kapeace kipenzi kwa sasa nimeghairi kukucheat, itabidi nikuloge kwanza.😁
 
Ndo mambo yalivyo. Shida ili upate raha/Furaha basi lazima ukunjue nafsi otherwise huwezi kuipata furaha ya kweli. Utakunjua wapi moyo/nafsi basi itategemea ntu na ntu. Huwezi kuwakwepa watu wote duniani, yaan usipate hata mmoja wakumpa vyote?! Haiwezekan, labda utakuwa na shida sehemu. Ukimpimia huyu nusu basi yupo ambae utampimia kilo moja tu.
Nakumbuka niliulizwa swali moja tu nikatuliza ubongo
 
Hayo ni mawazo yako lakini huwa sihangahili na kutetemekea mwanaume eti ili asiende kwingine, hii namba nyingine babu we tomba kila tundu ila na mimi nikianza kucheat hata serikali haiwezi kunizuia, maana code zote za cheating nazimanya, mpaka utatoa kamasi
Nooma sana
 
Ndo mambo yalivyo. Shida ili upate raha/Furaha basi lazima ukunjue nafsi otherwise huwezi kuipata furaha ya kweli. Utakunjua wapi moyo/nafsi basi itategemea ntu na ntu. Huwezi kuwakwepa watu wote duniani, yaan usipate hata mmoja wakumpa vyote?! Haiwezekan, labda utakuwa na shida sehemu. Ukimpimia huyu nusu basi yupo ambae utampimia kilo moja tu.
Na inawezekana pia kutokutoa yote popote… sisi wabinafsi namna tulivyoumbwa kuenjoy kwetu hakuhusiani na kukunjua nafsi.

If you know you know.

Na hata mtu akienda we good… we didn’t give it all anyways 😂

Imagine mtu anatoa yote halafu anashuhudia mtu wake yuleeeee anapepea, ndio maana people are bitter out here…. Ungeweza kupima tu kukakuepusha na jakamoyo.
 
Back
Top Bottom