Usitoe vyote.... atacheat tu! Jifunze uchoyo

Usitoe vyote.... atacheat tu! Jifunze uchoyo

Sio malaya…. Sema ni ubinafsi…. Watu wabinafsi TUNAendeshwa na logic. Na ili iwe mbinafsi ni lazima uwe inajipenda sana, na ili ujipende ni lazima uwe umelelewa na watu wenye upendo.

Malaya wanatoa vyote, kila kitu mezani.
Samahani
Ni vitu gani hutakiwi kutoa vyote? Maana nimekwama hapo.. Kumbe kuna vitu tunanyimwa vyote...mm nadhani au basi
 
Vyote!! Au yote na kama ukishampa umempa au kuna namna kipimo cha kumpea, nusu robo au nusu na robo, hiyo vyote ni mlango wa uani!! Ego yangu iko level za juu sana imenisaidia kuishi ktk mahusiano na ndoa, mwanaume anaishi vile navyotaka mimi, fambastick
Naomba chabo basi ya hiyo ego, shida angu mwepesi kusahau 😭
 
Hayo ni mawazo yako lakini huwa sihangahili na kutetemekea mwanaume eti ili asiende kwingine, hii namba nyingine babu we tomba kila tundu ila na mimi nikianza kucheat hata serikali haiwezi kunizuia, maana code zote za cheating nazimanya, mpaka utatoa kamasi
Mwanaume atishiwi nyau😆
 
Sio malaya…. Sema ni ubinafsi…. Watu wabinafsi TUNAendeshwa na logic. Na ili iwe mbinafsi ni lazima uwe inajipenda sana, na ili ujipende ni lazima uwe umelelewa na watu wenye upendo.

Malaya wanatoa vyote, kila kitu mezani.
Wabinafsi hoyeeee!! 😹😹
Mate mimi na wewe tuna vitabia vya kufanana sana..!!

Hiyo para ya mwisho na wote tuseme Igweeeeeeeeeeee
 
Hayo ni mawazo yako lakini huwa sihangahili na kutetemekea mwanaume eti ili asiende kwingine, hii namba nyingine babu we tomba kila tundu ila na mimi nikianza kucheat hata serikali haiwezi kunizuia, maana code zote za cheating nazimanya, mpaka utatoa kamasi
Igweeeeeeeee 😹
 
Wabinafsi hoyeeee!! 😹😹
Mate mimi na wewe tuna vitabia vya kufanana sana..!!

Hiyo para ya mwisho na wote tuseme Igweeeeeeeeeeee
Igweeee! Watoto wa Fore tunakosaje tabia za kufanana? 😂

Halafu ubinafsi sio kitu kibaya, ni ulinzi dhidi ya maharamia, huwezi kuta mwanamke mbinafsi analalamika amechezewa 😂😂
 
Igweeee! Watoto wa Fore tunakosaje tabia za kufanana? 😂

Halafu ubinafsi sio kitu kibaya, ni ulinzi dhidi ya maharamia, huwezi kuta mwanamke mbinafsi analalamika amechezewa 😂😂
Ukiwa mbinafsi hata mapenzi hayawezi kukuendesha..!!

Wabinafsi siku zote tuko upande wa “I love you too” ukiaga tunasafisha room tunapulizia na rungu kuua chawa ulizoacha..!! 😹😹

Sema kuna kitu Patel alipandikiza Fore mbona wadada tumekuwa majeuri sana..!! 😹
 
Back
Top Bottom