Abdulhayy
Senior Member
- Oct 11, 2021
- 178
- 139
Sasa lini wewe kafili ulianza kuwapenda waislamuHili njemba shabiki la kidini kweli.....
likiona utawala wa christian linakuwaga pinga pinga
Acha udini wewe Paulo
Sasa lini wewe kafili ulianza kuwapenda waislamuHili njemba shabiki la kidini kweli.....
likiona utawala wa christian linakuwaga pinga pinga
Mtu alishasema yeye hajaribiwi yaani yeye ni MUNGU,akasema yeye hashauriki na asitokee mtu kujaribu kumshauri,sasa ukitaka SSH afanye niniWakati Hayati Rais magufuli Akiwa anakuja Samia Suluhu Hassan alikuwa wapi na Kwanini hakuweza kumshauri?
Mchezo uliochezwa Ikulu ni ule wa kwenye kitabu kitakatifu cha bililia habari ya Samson na Delila.
Magufuli anaumwa Maza yuko kwenye ziara Mkoa wa TangaJamani?
Marabyuko likizo Zanzibar Jamani?
Tutaonane 2025
SSH alimuuzaMtu alishasema yeye hajaribiwi yaani yeye ni MUNGU,akasema yeye hashauriki na asitokee mtu kujaribu kumshauri,sasa ukitaka SSH afanye nini
Au wewe msukuma mwenzie ulikua wapi kumshauri?
Mtu alishasema yeye hajaribiwi yaani yeye ni MUNGU,akasema yeye hashauriki na asitokee mtu kujaribu kumshauri,sasa ukitaka SSH afanye nini
Au wewe msukuma mwenzie ulikua wapi kumshauri?
Wewe umekiri ni Mdini. Umeibuka hapa na hoja yako mufilisi sababu ni wazi umekerwa na Rais Muislamu kukosolewa na Ndugai, na umekuja kumtetea, kama mlivyokuwa wew na Wadini wenzako enzi za JK. Wote mlipotea Magu alipoingia.
Wewe zaidi ya kurudia maudhui ya hoja aliyosema SSH kama kasuku, tena bila ya kuongeza lolote la maana sababu ni Muislamu mwenzako, unajiona una weledi sana? Nini kipya ulichoongeza zaidi ya kupeleka lawama kwa Rais aliyefariki ili kukamilisha hoja ya "mama" yako? Pumbaaf!Low profile,hebu tafuta wa level zako uongee nao,
Nishakupuuza
Umefafanua yale "mama" yako aliyosema kwenye hotuba yake, kama vile unafundisha watoto wa madrassa. Siku zote Wabaya ni Wakristo. Hapo Wadini kama wewe ndiyo mnaona opportunity.Low profile,hebu tafuta wa level zako uongee nao,
Nishakupuuza
Wewe zaidi ya kurudia maudhui ya hoja aliyosema SSH kama kasuku, tena bila ya kuongeza lolote la maana sababu ni Muislamu mwenzako, unajiona una weledi sana? Nini kipya ulichoongeza zaidi ya kupeleka lawama kwa Rais aliyefariki ili kukamilisha hoja ya "mama" yako? Pumbaaf!
Friends and Our Ugly Enemies,
People like Ndugai,hata wakitokea wakafanya jambo lenye tija,hawawez Tena kuaminika na mtanzania yyte mwenye akil timamu,it's unfortunate ndo hivyo ameshakuwa speaker wa bunge lakin hakika ni disgrace to our parliament na nchi kwa ujumla,
Just imagine speaker wa bunge anashikia Bango kabisa eti atake asitake tutamuongezea muda,sasa Kuna mtu hapo,ni jitu la kupuuza tuh,
President Magufuli siku zote kwenye hadhara zake alikua anasema nchi hii ipo vizur,nchi hii ni tajir,na kwamba asilimia kubwa ya miradi inayoendelea ni kwa kutumia fedha zetu za ndan,hizo ndege tunanunua kwa fedha za ndan Tena cash,na kwa maana hiyo watz tutembee kifua mbele...
Magufuli hakujua kuwa hakuna marefu yasiyo na ncha na kwamba uongo wote ule basi una mwisho wake,baada ya kifo chake ndipo tunakuja kuujua uhalisia kuwa hii miradi mingi fedha zake siyo kweli kuwa ni za ndan,Bali ni fedha za mikopo Tena Mikubwa yenye riba kubwa pia,
Mama Samia,hawez kuendelea kuzubaa na kutupa lawama kwa mtanguliz wake kuwa alisema uongo na kwamba fedha zilikua siyo za ndan,hawez kusema hivyo, yeye kama msaidiz wake alikua anajua ukweli,asingeweza kufanya chochote,
Kwa kauli yake kuhusu kukopa mama Samia anachosisitiza ni kwamba mirad hiyo inayoonekana imefanyika kwa fedha za mikopo na bado miradi haijakamilika,sasa which is which,miradi hii iachwe ijifie tufanye mambo mengine au tumalizie kukopa tuikamilishe??kwa sababu in the first place hiyo miradi ni ya mikopo,tukiidump ijifie tutalipa,na tukichukua fedha na kuikamilisha tutalipa vile vile,
Na masuala ya kuongopeana kuwa eti tunajenga kwa fedha za ndan Ili Hali ukweli haupo hivyo yeye hawez mambo hayo,
Shida hii tunaipata ni kutokana. Na sera za USIRI za mwendazake na kutokuwa MUWAZ katika vitu vya msingi kama hivi,
President Samia SONGA MBELE,kazi iendelee..
wewe unauhakika gani kama hii miradi magufuli alikopa kuitekeleza? tupe evidence hats ya document moja hapa. kipi kunachojufanya kuwaamini hawa wa sasa na si magufuli?Friends and Our Ugly Enemies,
People like Ndugai,hata wakitokea wakafanya jambo lenye tija,hawawez Tena kuaminika na mtanzania yyte mwenye akil timamu,it's unfortunate ndo hivyo ameshakuwa speaker wa bunge lakin hakika ni disgrace to our parliament na nchi kwa ujumla,
Just imagine speaker wa bunge anashikia Bango kabisa eti atake asitake tutamuongezea muda,sasa Kuna mtu hapo,ni jitu la kupuuza tuh,
President Magufuli siku zote kwenye hadhara zake alikua anasema nchi hii ipo vizur,nchi hii ni tajir,na kwamba asilimia kubwa ya miradi inayoendelea ni kwa kutumia fedha zetu za ndan,hizo ndege tunanunua kwa fedha za ndan Tena cash,na kwa maana hiyo watz tutembee kifua mbele...
Magufuli hakujua kuwa hakuna marefu yasiyo na ncha na kwamba uongo wote ule basi una mwisho wake,baada ya kifo chake ndipo tunakuja kuujua uhalisia kuwa hii miradi mingi fedha zake siyo kweli kuwa ni za ndan,Bali ni fedha za mikopo Tena Mikubwa yenye riba kubwa pia,
Mama Samia,hawez kuendelea kuzubaa na kutupa lawama kwa mtanguliz wake kuwa alisema uongo na kwamba fedha zilikua siyo za ndan,hawez kusema hivyo, yeye kama msaidiz wake alikua anajua ukweli,asingeweza kufanya chochote,
Kwa kauli yake kuhusu kukopa mama Samia anachosisitiza ni kwamba mirad hiyo inayoonekana imefanyika kwa fedha za mikopo na bado miradi haijakamilika,sasa which is which,miradi hii iachwe ijifie tufanye mambo mengine au tumalizie kukopa tuikamilishe??kwa sababu in the first place hiyo miradi ni ya mikopo,tukiidump ijifie tutalipa,na tukichukua fedha na kuikamilisha tutalipa vile vile,
Na masuala ya kuongopeana kuwa eti tunajenga kwa fedha za ndan Ili Hali ukweli haupo hivyo yeye hawez mambo hayo,
Shida hii tunaipata ni kutokana. Na sera za USIRI za mwendazake na kutokuwa MUWAZ katika vitu vya msingi kama hivi,
President Samia SONGA MBELE,kazi iendelee..
Iipo hili njemba na Faiza Foxy wakiona mtawala amekaa kiparokia parokia wana tabia ya kununa ama kuponda the vice versa is trueUdini unatoka wapi kwenye Post yangu,
Kumbe Mimi sijui,mnampinga Samia kwa sababu ya dini yake,au kwa kuwa ni mwanamke au kwa kuendesha nchi kinyume na matarajio yenu??
So,kwa kuwa Mimi muislam sitakiw kumpongeza Samia eti kisa nitaitwa mdini??
Potelea mbali,if it's so then be it..
Wakati Hayati Rais magufuli Akiwa anakuja Samia Suluhu Hassan alikuwa wapi na Kwanini hakuweza kumshauri?
Mchezo uliochezwa Ikulu ni ule wa kwenye kitabu kitakatifu cha bililia habari ya Samson na Delila.
Magufuli anaumwa Maza yuko kwenye ziara Mkoa wa TangaJamani?
Marabyuko likizo Zanzibar Jamani?
Tutaonane 2025