Usiri wa Hayati Magufuli na kutokuwa muwazi matokeo yake ndiyo haya. Rais Samia songa mbele

Wakati Hayati Rais magufuli Akiwa anakuja Samia Suluhu Hassan alikuwa wapi na Kwanini hakuweza kumshauri?​

Mchezo uliochezwa Ikulu ni ule wa kwenye kitabu kitakatifu cha bililia habari ya Samson na Delila.​

Magufuli anaumwa Maza yuko kwenye ziara Mkoa wa TangaJamani?
Marabyuko likizo Zanzibar Jamani?
Tutaonane 2025
Mtu alishasema yeye hajaribiwi yaani yeye ni MUNGU,akasema yeye hashauriki na asitokee mtu kujaribu kumshauri,sasa ukitaka SSH afanye nini

Au wewe msukuma mwenzie ulikua wapi kumshauri?
 
Ndungai ni MFUKUNYUKU alichofanya amefukua alichofukia paka wake aliyek...unya kwenye unga
 
Mtu alishasema yeye hajaribiwi yaani yeye ni MUNGU,akasema yeye hashauriki na asitokee mtu kujaribu kumshauri,sasa ukitaka SSH afanye nini

Au wewe msukuma mwenzie ulikua wapi kumshauri?

Hapo sasa,inashangaza
 
Wewe umekiri ni Mdini. Umeibuka hapa na hoja yako mufilisi sababu ni wazi umekerwa na Rais Muislamu kukosolewa na Ndugai, na umekuja kumtetea, kama mlivyokuwa wew na Wadini wenzako enzi za JK. Wote mlipotea Magu alipoingia.

Low profile,hebu tafuta wa level zako uongee nao,

Nishakupuuza
 
Aliwaambia nchi ni tajiri, kulipa madeni kwake ni rahisi , ndio maana alipambana na mafisadi na wapiga dili, mkamchukua. Pumzika kwa amani Baba.
 
Low profile,hebu tafuta wa level zako uongee nao,

Nishakupuuza
Wewe zaidi ya kurudia maudhui ya hoja aliyosema SSH kama kasuku, tena bila ya kuongeza lolote la maana sababu ni Muislamu mwenzako, unajiona una weledi sana? Nini kipya ulichoongeza zaidi ya kupeleka lawama kwa Rais aliyefariki ili kukamilisha hoja ya "mama" yako? Pumbaaf!
 
Cdm
IMG_20211219_185744.jpg


Sent from my ANE-LX2 using JamiiForums mobile app
 
Wewe zaidi ya kurudia maudhui ya hoja aliyosema SSH kama kasuku, tena bila ya kuongeza lolote la maana sababu ni Muislamu mwenzako, unajiona una weledi sana? Nini kipya ulichoongeza zaidi ya kupeleka lawama kwa Rais aliyefariki ili kukamilisha hoja ya "mama" yako? Pumbaaf!

Hata ukiumia kwa Samia kuwa president haikusaidii,na huyo RAIS aliefarik unaemsema tunampa lawama ni kweli anastahiki kupewa hizo lawama na lazima zisemwe tuh,kama umeumia jitie kitanzi umfuate,.mpumba.vu ni ww..!!!
 
Wacha waandamane eee waandamane ccm mbele kwa mbele,,,hatinywi sumu hatujinyongi ccm mbele kwa mbeleeeeeee,,,,,,,bi tozo mwenyewe ana habari sasa??
 
Kumfanya Magufuli aonekane Muongo hakumpi nafuu yeyote ile anayetakiwa kufanya maamuzi kuhusiana na jambo fulani,

Itafikia mahali baada ya propaganda watu watakupima kwa ulichokifanya wewe mwenyewe na sio yule unayemnanga.
 
Friends and Our Ugly Enemies,

People like Ndugai,hata wakitokea wakafanya jambo lenye tija,hawawez Tena kuaminika na mtanzania yyte mwenye akil timamu,it's unfortunate ndo hivyo ameshakuwa speaker wa bunge lakin hakika ni disgrace to our parliament na nchi kwa ujumla,

Just imagine speaker wa bunge anashikia Bango kabisa eti atake asitake tutamuongezea muda,sasa Kuna mtu hapo,ni jitu la kupuuza tuh,

President Magufuli siku zote kwenye hadhara zake alikua anasema nchi hii ipo vizur,nchi hii ni tajir,na kwamba asilimia kubwa ya miradi inayoendelea ni kwa kutumia fedha zetu za ndan,hizo ndege tunanunua kwa fedha za ndan Tena cash,na kwa maana hiyo watz tutembee kifua mbele...

Magufuli hakujua kuwa hakuna marefu yasiyo na ncha na kwamba uongo wote ule basi una mwisho wake,baada ya kifo chake ndipo tunakuja kuujua uhalisia kuwa hii miradi mingi fedha zake siyo kweli kuwa ni za ndan,Bali ni fedha za mikopo Tena Mikubwa yenye riba kubwa pia,

Mama Samia,hawez kuendelea kuzubaa na kutupa lawama kwa mtanguliz wake kuwa alisema uongo na kwamba fedha zilikua siyo za ndan,hawez kusema hivyo, yeye kama msaidiz wake alikua anajua ukweli,asingeweza kufanya chochote,

Kwa kauli yake kuhusu kukopa mama Samia anachosisitiza ni kwamba mirad hiyo inayoonekana imefanyika kwa fedha za mikopo na bado miradi haijakamilika,sasa which is which,miradi hii iachwe ijifie tufanye mambo mengine au tumalizie kukopa tuikamilishe??kwa sababu in the first place hiyo miradi ni ya mikopo,tukiidump ijifie tutalipa,na tukichukua fedha na kuikamilisha tutalipa vile vile,

Na masuala ya kuongopeana kuwa eti tunajenga kwa fedha za ndan Ili Hali ukweli haupo hivyo yeye hawez mambo hayo,

Shida hii tunaipata ni kutokana. Na sera za USIRI za mwendazake na kutokuwa MUWAZ katika vitu vya msingi kama hivi,

President Samia SONGA MBELE,kazi iendelee..

HAKUNA USIRI WOWOTE, MIKATABA NA MIKOPO ILIKUWA INATAJWA VYEMA KABISA. UMETENGENEZA KITU AMBACHO HAIKIPO, KISHA UNAKIJENGEA HOJA??????

PUMBAVU
 
Friends and Our Ugly Enemies,

People like Ndugai,hata wakitokea wakafanya jambo lenye tija,hawawez Tena kuaminika na mtanzania yyte mwenye akil timamu,it's unfortunate ndo hivyo ameshakuwa speaker wa bunge lakin hakika ni disgrace to our parliament na nchi kwa ujumla,

Just imagine speaker wa bunge anashikia Bango kabisa eti atake asitake tutamuongezea muda,sasa Kuna mtu hapo,ni jitu la kupuuza tuh,

President Magufuli siku zote kwenye hadhara zake alikua anasema nchi hii ipo vizur,nchi hii ni tajir,na kwamba asilimia kubwa ya miradi inayoendelea ni kwa kutumia fedha zetu za ndan,hizo ndege tunanunua kwa fedha za ndan Tena cash,na kwa maana hiyo watz tutembee kifua mbele...

Magufuli hakujua kuwa hakuna marefu yasiyo na ncha na kwamba uongo wote ule basi una mwisho wake,baada ya kifo chake ndipo tunakuja kuujua uhalisia kuwa hii miradi mingi fedha zake siyo kweli kuwa ni za ndan,Bali ni fedha za mikopo Tena Mikubwa yenye riba kubwa pia,

Mama Samia,hawez kuendelea kuzubaa na kutupa lawama kwa mtanguliz wake kuwa alisema uongo na kwamba fedha zilikua siyo za ndan,hawez kusema hivyo, yeye kama msaidiz wake alikua anajua ukweli,asingeweza kufanya chochote,

Kwa kauli yake kuhusu kukopa mama Samia anachosisitiza ni kwamba mirad hiyo inayoonekana imefanyika kwa fedha za mikopo na bado miradi haijakamilika,sasa which is which,miradi hii iachwe ijifie tufanye mambo mengine au tumalizie kukopa tuikamilishe??kwa sababu in the first place hiyo miradi ni ya mikopo,tukiidump ijifie tutalipa,na tukichukua fedha na kuikamilisha tutalipa vile vile,

Na masuala ya kuongopeana kuwa eti tunajenga kwa fedha za ndan Ili Hali ukweli haupo hivyo yeye hawez mambo hayo,

Shida hii tunaipata ni kutokana. Na sera za USIRI za mwendazake na kutokuwa MUWAZ katika vitu vya msingi kama hivi,

President Samia SONGA MBELE,kazi iendelee..
wewe unauhakika gani kama hii miradi magufuli alikopa kuitekeleza? tupe evidence hats ya document moja hapa. kipi kunachojufanya kuwaamini hawa wa sasa na si magufuli?
 
Udini unatoka wapi kwenye Post yangu,

Kumbe Mimi sijui,mnampinga Samia kwa sababu ya dini yake,au kwa kuwa ni mwanamke au kwa kuendesha nchi kinyume na matarajio yenu??

So,kwa kuwa Mimi muislam sitakiw kumpongeza Samia eti kisa nitaitwa mdini??

Potelea mbali,if it's so then be it..
Iipo hili njemba na Faiza Foxy wakiona mtawala amekaa kiparokia parokia wana tabia ya kununa ama kuponda the vice versa is true
 
Japo umeandika ukweli mtupu.. lakini wana JF wa muda mrefu tunakujua wewe Ni mdini..wewe kazi yako kubwa Ni kutetea kiongozi yeyote wa dini yako kwa gharama yoyote na kuponda kiongozi mwenye dini tofauti na yako..
Bado Bibi Faiza..na yeye siku si nyingi ataibuka..
 

Wakati Hayati Rais magufuli Akiwa anakuja Samia Suluhu Hassan alikuwa wapi na Kwanini hakuweza kumshauri?​

Mchezo uliochezwa Ikulu ni ule wa kwenye kitabu kitakatifu cha bililia habari ya Samson na Delila.​

Magufuli anaumwa Maza yuko kwenye ziara Mkoa wa TangaJamani?
Marabyuko likizo Zanzibar Jamani?
Tutaonane 2025

Waamuzi 14:4

Wazazi wa Samson walimkataza sana kuhusu Delilah lakini hawakujua kwamba huo ulikuwa mpango wa Mwenyezi-Mungu ambaye alikuwa anatafuta kisa cha kuchukua hatua dhidi ya Wafilisti.


Aendelee kupumzika kwa amani John Pombe Joseph Magufuli 🙏
 
“Pedagogic at heart” kapotea sana atakuwa Oman kapata her dream job kama dada wa nyumbani kwa Mwarabu.
 
Back
Top Bottom