Usiri wa Hayati Magufuli na kutokuwa muwazi matokeo yake ndiyo haya. Rais Samia songa mbele

Nilisema kuwa (kwa maana hii) hakuna mtu ambaye kwa utashi wake angeliweza kwenda bot na kupewa taarifa za deni/ mkopo wa nchi halafu akaandika na watu wakajadili kwa mitazamo guru, bali walisubiri ama Rais aongee kwanza au amtume mteule ndipo waandishi waliweza kudakia juu tena kwa tahadhari kubwa na si kama alivyofanya Mr Balile siku chache zilizopita. Hapo utakuwa umenielewa.
Wewe jamaa hivi kweli unaelewa unachoandika?
Unataka uende BOT kupewa taarifa ya deni ili iweje? Taarifa za BOT zinatolewa kila mwezi miaka yote kwenye website yao
Ni wewe kuamua kuingia na kusoma
Hadi hapa naona aibu ikiwa hata hili ulikua hujui
Nakusaidia chini hapa nimeweka sehemu ambapo report za kila mwezi za BOT zinapotolewa, kisha bonyeza hapo palipoandikwa pakua
Screenshot_20211230-154026_1.jpg
 
Wewe ndie unasema hivyo,hoja zangu nipeleke msiktin kwani kinachojadiliwa ni iman ya mtu au hoja??

Ingekuwa ni hivyo usingemchagua gwajima au rwakatare are mbunge,au msigwa kuwa mbunge eti kwa hoja kuwa ni mdini au askofu,sijaleta hoja ya dini hapa,iweje wewe uje kuiattack iman yangu na kunikimbizia hoja zangu niende zano msiktin,unaumia nin kwani umesjia JF ni kigango Cha kanisa
Wewe umekiri ni Mdini. Umeibuka hapa na hoja yako mufilisi sababu ni wazi umekerwa na Rais Muislamu kukosolewa na Ndugai, na umekuja kumtetea, kama mlivyokuwa wew na Wadini wenzako enzi za JK. Wote mlipotea Magu alipoingia.
 
N
Wewe jamaa hivi kweli unaelewa unachoandika?
Unataka uende BOT kupewa taarifa ya deni ili iweje? Taarifa za BOT zinatolewa kila mwezi miaka yote kwenye website yao
Ni wewe kuamua kuingia na kusoma
Hadi hapa naona aibu ikiwa hata hili ulikua hujui
Nakusaidia chini hapa nimeweka sehemu ambapo report za kila mwezi za BOT zinapotolewa, kisha bonyeza hapo palipoandikwa pakua
View attachment 2062789
Ndugu nami sikusomi, mwanzo kabisa nilikwambia ilitungwa sheria ya takwimu kudhibiti mijadala, usiloelewa hapa nini? Je Unao uhakika kwamba kipindi hicho cha jiwe hiyo web ya bot ilikuwa rahisi kama sasa, hata kama basi ungeweza kupata taarifa kwenye web ruhusa ya kuijadili ungeipata wapi?
 
N

Ndugu nami sikusomi, mwanzo kabisa nilikwambia ilitungwa sheria ya takwimu kudhibiti mijadala, usiloelewa hapa nini? Je Unao uhakika kwamba kipindi hicho cha jiwe hiyo web ya bot ilikuwa rahisi kama sasa, hata kama basi ungeweza kupata taarifa kwenye web ruhusa ya kuijadili ungeipata wapi?
Shida moja kubwa ulikua hujui taarifa za BOT kila mwezi zinatoka wapi
Narudia tena kukuweka sawa, report za BOT zinatolewa na zilitolewa miaka yote kila mwezi, hazijawahi kusimama
Pili kuhusu mijadala, ulikuwepo ndio maana unaona magazeti yaliandika na hadi ikapelekea waziri mpango kusema bado deni himilivu, Kama ambavyo wamejibu sasa.
Sasa ulitaka mjadala wapi? Mbona kina zitto Mara zote hiko twitter wamekua wakilijadili, au kwako mjadala unataka uwe wapi?
Mbona hata humu pia Hilo suala lilijadiliwa sana? Au mjadala kwako unapaswa kuwa wapi?
 
Shida moja kubwa ulikua hujui taarifa za BOT kila mwezi zinatoka wapi
Narudia tena kukuweka sawa, report za BOT zinatolewa na zilitolewa miaka yote kila mwezi, hazijawahi kusimama
Pili kuhusu mijadala, ulikuwepo ndio maana unaona magazeti yaliandika na hadi ikapelekea waziri mpango kusema bado deni himilivu, Kama ambavyo wamejibu sasa.
Sasa ulitaka mjadala wapi? Mbona kina zitto Mara zote hiko twitter wamekua wakilijadili, au kwako mjadala unataka uwe wapi?
Mbona hata humu pia Hilo suala lilijadiliwa sana? Au mjadala kwako unapaswa kuwa wapi?
Ni lini ama humu jf au hadharani Zitto au wengineo waliwahi kujadili juu ya deni la taifa kwa takwimu? Au unataka kusema kuwa waziri akishatoa taarifa ndo mjadala huo? Nikumbushe labda nimesahau.
 
Ni lini ama humu jf au hadharani Zitto au wengineo waliwahi kujadili juu ya deni la taifa kwa takwimu? Au unataka kusema kuwa waziri akishatoa taarifa ndo mjadala huo? Nikumbushe labda nimesahau.
Mijadala humu ipo mingi sana, na mbona hata humu unaweza kuitapa? We mwenzeru shida hujui matumizi ya simu?
Mmoja wa mjadala huo hapo,
 
Mijadala humu ipo mingi sana, na mbona hata humu unaweza kuitapa? We mwenzeru shida hujui matumizi ya simu?
Mmoja wa mjadala huo hapo,

Mijadala humu ipo mingi sana, na mbona hata humu unaweza kuitapa? We mwenzeru shida hujui matumizi ya simu?
Mmoja wa mjadala huo hapo,
Duu ama kweli huu ni ubishi na si kuelewa hoja, sasa kwenye mjadala ulioweka wapi mtoa madam kaonesha takwimu? Au ni ubishi hadi kufa?
 
Duu ama kweli huu ni ubishi na si kuelewa hoja, sasa kwenye mjadala ulioweka wapi mtoa madam kaonesha takwimu? Au ni ubishi hadi kufa?
Unataka aweke takwimu gani mbona kaeleza na wachangiaji wamezungunza linavyoongezeka? Pia huo ni mjadala mmoja Kati ya mijadala 100 humu inayohusu deni wakati wa Magufuli
Hayaa nakuwekea mjadala mwingine huyo kaweka hizo takwimu unazotaka
 
Mama Samia kutokana na uwazi (transparency) ndiyo inaonekana as if anakopa sana wakati siyo kweli. Kiasi alichokopa ni cha kawaida tu na bahati nzuri fedha inayokopwa inagawanywa ktk maeneo yote nchini.

Mama asisikilize matarumbeta; afanye anachokiamini ili mradi kiwe kwa maendeleo ya Taifa. Kama fedha inayokopwa ni kwa ajili ya maemdeleo ya nchi yetu SIONI TATIZO.
 
Unataka aweke takwimu gani mbona kaeleza na wachangiaji wamezungunza linavyoongezeka? Pia huo ni mjadala mmoja Kati ya mijadala 100 humu inayohusu deni wakati wa Magufuli
Hayaa nakuwekea mjadala mwingine huyo kaweka hizo takwimu unazotaka
Duu na hii nayo haujaielewa basi pamoja na kujiona mjuvi wa mambo jitathmini tena. Zionyeshe alizotoa hapo napo kuna shida. Kama hakuna mjadala uishie hapa.
 
Mama Samia kutokana na uwazi (transparency) ndiyo inaonekana as if anakopa sana wakati siyo kweli. Kiasi alichokopa ni cha kawaida tu na bahati nzuri fedha inayokopwa inagawanywa ktk maeneo yote nchini.

Mama asisikilize matarumbeta; afanye anachokiamini ili mradi kiwe kwa maendeleo ya Taifa. Kama fedha inayokopwa ni kwa ajili ya maemdeleo ya nchi yetu SIONI TATIZO.
Swali langu moja kwako, hadi Sasa Mama Samia kakopa kiasi gani? Swali muhimu sana hili unijibu
 
Duu na hii nayo haujaielewa basi pamoja na kujiona mjuvi wa mambo jitathmini tena. Zionyeshe alizotoa hapo napo kuna shida. Kama hakuna mjadala uishie hapa.
Ushaanza kuchanganyikiwa
Kwanza ulisema kulikua hakuna mijadala humu, kitu ambacho sio kweli
Nikakuambia mijadala ilikuwepo mingi sana
Ukasema nilete ushahidi
Nimeleta moja ya thread, ukasema mtoa mjadala hajaweka takwimu
Nikakuletea thread nyingine ambayo mtoa mjadala kaweka takwimu kuwa hadi 2018 Tumekopa trillion 51
Baada ya hapo naona umeanza lugha gongana, pole Ila ukweli humuweka mtu huru
Jifunze kuchukia kiasi na kupenda kiasi
Mimi sichukiagi Wala kupenda kupitiliza
Lakini Kama hujaridhika sema unataka thread yenye takwimu gani, maana thread humu zilikua zaidi ya 100, mi nafukua tu nakuletea
 
Friends and Our Ugly Enemies,

People like Ndugai,hata wakitokea wakafanya jambo lenye tija,hawawez Tena kuaminika na mtanzania yyte mwenye akil timamu,it's unfortunate ndo hivyo ameshakuwa speaker wa bunge lakin hakika ni disgrace to our parliament na nchi kwa ujumla,

Just imagine speaker wa bunge anashikia Bango kabisa eti atake asitake tutamuongezea muda,sasa Kuna mtu hapo,ni jitu la kupuuza tuh,

President Magufuli siku zote kwenye hadhara zake alikua anasema nchi hii ipo vizur,nchi hii ni tajir,na kwamba asilimia kubwa ya miradi inayoendelea ni kwa kutumia fedha zetu za ndan,hizo ndege tunanunua kwa fedha za ndan Tena cash,na kwa maana hiyo watz tutembee kifua mbele...

Magufuli hakujua kuwa hakuna marefu yasiyo na ncha na kwamba uongo wote ule basi una mwisho wake,baada ya kifo chake ndipo tunakuja kuujua uhalisia kuwa hii miradi mingi fedha zake siyo kweli kuwa ni za ndan,Bali ni fedha za mikopo Tena Mikubwa yenye riba kubwa pia,

Mama Samia,hawez kuendelea kuzubaa na kutupa lawama kwa mtanguliz wake kuwa alisema uongo na kwamba fedha zilikua siyo za ndan,hawez kusema hivyo, yeye kama msaidiz wake alikua anajua ukweli,asingeweza kufanya chochote,

Kwa kauli yake kuhusu kukopa mama Samia anachosisitiza ni kwamba mirad hiyo inayoonekana imefanyika kwa fedha za mikopo na bado miradi haijakamilika,sasa which is which,miradi hii iachwe ijifie tufanye mambo mengine au tumalizie kukopa tuikamilishe??kwa sababu in the first place hiyo miradi ni ya mikopo,tukiidump ijifie tutalipa,na tukichukua fedha na kuikamilisha tutalipa vile vile,

Na masuala ya kuongopeana kuwa eti tunajenga kwa fedha za ndan Ili Hali ukweli haupo hivyo yeye hawez mambo hayo,

Shida hii tunaipata ni kutokana. Na sera za USIRI za mwendazake na kutokuwa MUWAZ katika vitu vya msingi kama hivi,

President Samia SONGA MBELE,kazi iendelee..
Nakubaliana na wewe hii miradi tuhakikishe inakamilika lakini tujizuie kuanzisha miradi mipya hadi tutakapoimaliza iliyopo vinginevyo wananchi tutatembea uchi!
 
Vyooooote vinavyofanyika havijawahi kunisaidia mimi,zaidi zaidi kuniumiza tu.Afadhali Nkapa n'a Kikwete.

Utawala wa Ccm umekuwa wa ovyo Jiwe alipovamia FANI.
ccm iondoke tu n'a wasomi uchwara n'a Elimu mbovu.

Wasomi watanzania wakiingia siasani basi huwa wanastaafu utaalamu n'a kufuzu unyambisi.
 
Swali langu moja kwako, hadi Sasa Mama Samia kakopa kiasi gani? Swali muhimu sana hili unijibu
Fuatilia habari zote imeelezwa kila mkopo uliosainiwa kiasi gani na unaelekezwa wapi

Usinipe kazi kama hufuatilii..ni wajibu wako kufuatilia
 
Friends and Our Ugly Enemies,

People like Ndugai,hata wakitokea wakafanya jambo lenye tija,hawawez Tena kuaminika na mtanzania yyte mwenye akil timamu,it's unfortunate ndo hivyo ameshakuwa speaker wa bunge lakin hakika ni disgrace to our parliament na nchi kwa ujumla,

Just imagine speaker wa bunge anashikia Bango kabisa eti atake asitake tutamuongezea muda,sasa Kuna mtu hapo,ni jitu la kupuuza tuh,

President Magufuli siku zote kwenye hadhara zake alikua anasema nchi hii ipo vizur,nchi hii ni tajir,na kwamba asilimia kubwa ya miradi inayoendelea ni kwa kutumia fedha zetu za ndan,hizo ndege tunanunua kwa fedha za ndan Tena cash,na kwa maana hiyo watz tutembee kifua mbele...

Magufuli hakujua kuwa hakuna marefu yasiyo na ncha na kwamba uongo wote ule basi una mwisho wake,baada ya kifo chake ndipo tunakuja kuujua uhalisia kuwa hii miradi mingi fedha zake siyo kweli kuwa ni za ndan,Bali ni fedha za mikopo Tena Mikubwa yenye riba kubwa pia,

Mama Samia,hawez kuendelea kuzubaa na kutupa lawama kwa mtanguliz wake kuwa alisema uongo na kwamba fedha zilikua siyo za ndan,hawez kusema hivyo, yeye kama msaidiz wake alikua anajua ukweli,asingeweza kufanya chochote,

Kwa kauli yake kuhusu kukopa mama Samia anachosisitiza ni kwamba mirad hiyo inayoonekana imefanyika kwa fedha za mikopo na bado miradi haijakamilika,sasa which is which,miradi hii iachwe ijifie tufanye mambo mengine au tumalizie kukopa tuikamilishe??kwa sababu in the first place hiyo miradi ni ya mikopo,tukiidump ijifie tutalipa,na tukichukua fedha na kuikamilisha tutalipa vile vile,

Na masuala ya kuongopeana kuwa eti tunajenga kwa fedha za ndan Ili Hali ukweli haupo hivyo yeye hawez mambo hayo,

Shida hii tunaipata ni kutokana. Na sera za USIRI za mwendazake na kutokuwa MUWAZ katika vitu vya msingi kama hivi,

President Samia SONGA MBELE,kazi iendelee..

Wakati Hayati Rais magufuli Akiwa anakuja Samia Suluhu Hassan alikuwa wapi na Kwanini hakuweza kumshauri?​

Mchezo uliochezwa Ikulu ni ule wa kwenye kitabu kitakatifu cha bililia habari ya Samson na Delila.​

Magufuli anaumwa Maza yuko kwenye ziara Mkoa wa TangaJamani?
Marabyuko likizo Zanzibar Jamani?
Tutaonane 2025
 
Back
Top Bottom