usiombee utongozwe na mwalimu hapa jamii forums

usiombee utongozwe na mwalimu hapa jamii forums

Status
Not open for further replies.
NIMERUDI!
-hiv ulishawahi kufikiria kwenda popote kwenye hizo embassy na diplomats ofice ukaweka tangazo la kutaka kutongozwa?
-kwa akili zako zilivyo juu ya karatasi inayoitwa hela ungefanya hiv hebu jaribu kuweka mic kwenye hiyo noti af iambie ikutongoze
-lakini pia unaweza kufanya hili,unaonaje ukianza kusimama kwenye kiooo nafkir ukifanya ukiwa huna nguo ndo itakuwa poa zaidi,fanya kusimama mbele ya kioo cha chumbani kwako!jipige maksi aseee!halafu utaamua mwenywe unaweza kutongozwa na watu wa aina gani!
NTARUDI TENA!
 
Mtoa mada umenikumbusha ngoja na mimi nitongoze kidogo hapa JF yaaani miaka yote hii sijawahi hata tongoza. Wadada mkae tayari sintakuwa mwongo nitasema ukweli mtupu sasa ole wako we unidanganye.
 
its better , mimi huwa najua nawasiliana na watanzania wenzangu wa kawaida kama wale ninao waona makazini , jirani na kwangu ,ndugu zangu , barabarani , masokoni n.k.................

sasa ninapokutana na mtu wa humu hata sishangai sana au sitarajii zaidi ya ninavyokutana navyo kwenye maisha yangu ya kawaida...........

yeah...wengi wanamix Avatar na uhalisia wa mtu.....ukiona hako ka pic unahua HOE ndo niko

hivyo sa ukikuta tofauti unaanzisha na thread kabisaa....haya mambo haya....
 
Wewe na mihemko yako ndio ulikufanya usikilize hzo swaga za mwalimu,then unatuonesha wazi kwamba wewe ni m.al.aya usiejiheshimu mbele za watu..kama shida pesa mi ninazo ebu ni pm picha yako
 
ahahhahahhahahhahahha
-kwani uliwahi kuamini kuwa walimu hawajui kiingereza?
-ulishawahi kufikiri mtihani wako wa kidato cha nne bila somo la civics na history ungekuwa na alama gani?
-ulipokuwa unatonginzwa na kukubali uliamini upo kwenye interview panel so ulikuwa unaangalia amefanyaazi gani kabla ya kukutongoza wewe?
-una hadhi gana saaaaaana mnoooooooo ya kufanya usitongozwe?kwa kiiiiipi?
NTARUDI!

vuta pumzi uedit kidogo post yako hii bibie..............

hata mimi nimechefukwa ila tunajitahidi kupunguza mhemko.............
 
aisee una bif na walimu wa kata kiac hicho? wanalipwa mshahara mdogo ila cwezi dharau walimu, bila hiyo civics na history mkuu nadhani wewe hata vocha ya jamii forums sasa hivi ungekua huna.. Afu dont speak as if u r a millionaire, mwenye mshiko hua haongelei waliochini kwa design hii, hua wanawaminya kidizaini... u r probably a student ambaye hajagraduate so u never know what comes next...
 
yeah...wengi wanamix Avatar na uhalisia wa mtu.....ukiona hako ka pic unahua HOE ndo niko

hivyo sa ukikuta tofauti unaanzisha na thread kabisaa....haya mambo haya....

ha ha ha ha ha ha!!!!!!!!!!

mtu akiangalia hiyo ngozi , pua , lips na nyusi zilivyo hapa
avatar132738_9.gif
anajua Heaven on earth halijui jua la bongo...........
 
Last edited by a moderator:
vuta pumzi uedit kidogo post yako hii bibie..............

hata mimi nimechefukwa ila tunajitahidi kupunguza mhemko.............
si wanijua lakini huwa siandiki hv bila sababu?
nisamehe kwa leo!
ehhehehhe tena unswameh' sana maana nilichoandika baada ya kurudi..... pole bana
 
You can be in a wealth couple but totally unhappy bse you may miss other factors to make you happy, one day you may realise this.
atakutongoza kwa kiingereza,simu ataongea kiingereza utafurai umepata bonge la bwana linafanya kazi emmbasy ,un,usaid au ni mdiplomat yoyote kumbe ni mwalimu wa civics na history shule ya kata huko kongowe hajalipwa hata mishahara miezi mitatu.!
nawasilisheni
kuweni wakweli ndo hilo tu
 
NIMERUDI!
-hiv ulishawahi kufikiria kwenda popote kwenye hizo embassy na diplomats
ofice ukaweka tangazo la kutaka kutongozwa?
-kwa akili zako zilivyo juu ya karatasi inayoitwa hela ungefanya hiv
hebu jaribu kuweka mic kwenye hiyo noti af iambie ikutongoze
-lakini pia unaweza kufanya hili,unaonaje ukianza kusimama kwenye kiooo
nafkir ukifanya ukiwa huna nguo ndo itakuwa poa zaidi,fanya kusimama
mbele ya kioo cha chumbani kwako!jipige maksi aseee!halafu utaamua
mwenywe unaweza kutongozwa na watu wa aina gani!
NTARUDI TENA!

Uko vizuri! Nakupenda bure!!
 
Uko vizuri! Nakupenda bure!!

AHHAHHHAHAHHAH!
nna hamu sana na mtoa mada!
yani raha ya uzuri huu ungeuona angekuwa hapa jukwaaani mida hii!
mxiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiu zake!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom