usiombee utongozwe na mwalimu hapa jamii forums

usiombee utongozwe na mwalimu hapa jamii forums

Status
Not open for further replies.
AHHAHHHAHAHHAH!
nna hamu sana na mtoa mada!
yani raha ya uzuri huu ungeuona angekuwa hapa jukwaaani mida hii!
mxiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiu zake!

Mi kanitibua sitamani hata kumjibu,asije akanisababishia ban bure!
Watu tunaishi mjini kwa TGTS halafu analeta dharau!
 
ha ha ha......shosti pole......jamii forum kuna senema za kutosha wallah...........ila kuna watu kizunguzungu jamani........full mashauzi.....njoo muone sasa.......mweeeee........

shida mmezitaka wenyewe. mnataka matawi hivyo nao wanawapandia kwa staili hizo. shida watu hawataki waume wanataka wanaume!
 
atakutongoza kwa kiingereza,simu ataongea kiingereza utafurai umepata bonge la bwana linafanya kazi emmbasy ,un,usaid au ni mdiplomat yoyote kumbe ni mwalimu wa civics na history shule ya kata huko kongowe hajalipwa hata mishahara miezi mitatu.!
nawasilisheni
kuweni wakweli ndo hilo tu

...haa ha ha ha, kumbe ulikuwa serious kutafuta mme mwenye sifa hizi na Mwalimu akapitia hapohapo kukuingiza king, big up Mwalimu....

https://www.jamiiforums.com/love-connect/342701-naitaji-mume-wa-kuoa-asp-4.html
sifa zake
umri wowote
awe na hela za kutosha na maisha mazuri.gari ,nyumba.familia bora nk
ndoa tutafunga ndani ya wiki moja
awe HIV NEGATIVE NAOGOPA UKIMWI KULIKO CHOCHOTE
dini yoyote

sifa zangu
age.26
christian
engineer telecom company
tall ,white
partially virgin sex less than 10 times
 
Blaaaaah blaaaaa blaaaaaah!!

Ukomeee kwa sababu mnapenda sana ready made.
Na bado ungekuta ni ''MNG'OA KUCHA" ndio ungejua saasa!!!......
 
atakutongoza kwa kiingereza,simu ataongea kiingereza utafurai umepata bonge la bwana linafanya kazi emmbasy ,un,usaid au ni mdiplomat yoyote kumbe ni mwalimu wa civics na history shule ya kata huko kongowe hajalipwa hata mishahara miezi mitatu.!
nawasilisheni
kuweni wakweli ndo hilo tu
Pole Shosti, yalishakupata?
 
Unaendekeza sana kutongozana humu jf acha tabia hiyo, mwisho wa siku utatongozwa na jini.
atakutongoza kwa kiingereza,simu ataongea kiingereza utafurai umepata bonge la bwana linafanya kazi emmbasy ,un,usaid au ni mdiplomat yoyote kumbe ni mwalimu wa civics na history shule ya kata huko kongowe hajalipwa hata mishahara miezi mitatu.!
nawasilisheni
kuweni wakweli ndo hilo tu
 
Kuna jamaa yuko UN hajui english lakini mipesa anayo,kabila yake msambaa,ana bunduki na kule ni Eng.shida yake ni moja tu-akikuchumbia hataki,ugawe gawe la sivyo,wewe na uzao wako inaweza kuwa shida.Shida yako ya mishahara ataimaliza kabisa,hamna kusubiri -analipwa kila tarehe 15 ya mwezi na kwa mwezi analipwa millioni 19 -ni PM nikupe contacts zake:rip😡
atakutongoza kwa kiingereza,simu ataongea kiingereza utafurai umepata bonge la bwana linafanya kazi emmbasy ,un,usaid au ni mdiplomat yoyote kumbe ni mwalimu wa civics na history shule ya kata huko kongowe hajalipwa hata mishahara miezi mitatu.!
nawasilisheni
kuweni wakweli ndo hilo tu
 
atakutongoza kwa kiingereza,simu ataongea kiingereza utafurai umepata bonge la bwana linafanya kazi emmbasy ,un,usaid au ni mdiplomat yoyote kumbe ni mwalimu wa civics na history shule ya kata huko kongowe hajalipwa hata mishahara miezi mitatu.!
nawasilisheni
kuweni wakweli ndo hilo tu

Ujinga mtupu.
Hivi mwanaume akiwa mwalimu uanaume wake una kwisha?

Tatizo lako unataka utoke kimaisha kupitia wanaume, hivi kwanini na wewe hukusoma ukawa injinia?

daa we ni mwanamke wa pekee sana tena ni vulnerable kabisa, yani wewe mtu akiongea kingereza kidogo baaas we huna pingamizi? daaaaa....

daa we ni vulnerable sana.....
Utoto mtupu.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom