usiombee utongozwe na mwalimu hapa jamii forums

usiombee utongozwe na mwalimu hapa jamii forums

Status
Not open for further replies.
Aliyeweka huu uzi akili zake zipo nyayoni...kuna haja kupima akili za watu kabla hawajiunga na JF.
 
atakutongoza kwa kiingereza,simu ataongea kiingereza utafurai umepata bonge la bwana linafanya kazi emmbasy ,un,usaid au ni mdiplomat yoyote kumbe ni mwalimu wa civics na history shule ya kata huko kongowe hajalipwa hata mishahara miezi mitatu.!
nawasilisheni
kuweni wakweli ndo hilo tu

Pole sana naona umekumbwa na hilo
 
umenunua mbuzi kwenye gunia! Ndo mkome nyie ma gold digger!! Iwe fundisho kwa wote mnatanguliza jicho na hisia kwenye pochi!
 
Kuna demu alimaliza degree ya community development SAUT,akaniambia kwa kuwa nina certificate nitaambulia papuchi na wala si ndoa.Mwaka huu nimemaliza diploma yangu,yeye ni mwaka wa 3 anamaliza soli.Na sasa nipo na Mwalimu mwenye degree niliyempata humu humu JF.Wala hashoboki na pesa zangu zaidi ya mapenzi tu.Juzi huyo ex ananiambia maisha magumu,nikamwambia subiri nipate degree kwanza.Nyambaf!
 
ha ha ha......shosti pole......jamii forum kuna senema za kutosha wallah...........ila kuna watu kizunguzungu jamani........full mashauzi.....njoo muone sasa.......mweeeee........

Hahahaha Pretaaaaaa
 
Last edited by a moderator:
Kuna demu alimaliza degree ya community development SAUT,akaniambia kwa kuwa nina certificate nitaambulia papuchi na wala si ndoa.Mwaka huu nimemaliza diploma yangu,yeye ni mwaka wa 3 anamaliza soli.Na sasa nipo na Mwalimu mwenye degree niliyempata humu humu JF.Wala hashoboki na pesa zangu zaidi ya mapenzi tu.Juzi huyo ex ananiambia maisha magumu,nikamwambia subiri nipate degree kwanza.Nyambaf!

Unajua kuna baadhi ya wanawake wanachukulia mahusiano kama ajira.
 
Huyu Mwl. kaka ana haiba,anaogopa kufukuzwa kazi na utumishi ndio maana kaka unaruhusiwa kumsindikiza dada akienda tution.
Cc. OLESAIDIMU


Ingawa mimi kaka yako naupinga huu uzi
lakini kwa wewe ili usipate tabu ya kimaisha sishauri uwatazame walimu
wewe mwenyewe kuwa mwalimu inatosha...tunahitaji shemeji a banker hivi lol
 
Ingawa mimi kaka yako naupinga huu uzi
lakini kwa wewe ili usipate tabu ya kimaisha sishauri uwatazame walimu
wewe mwenyewe kuwa mwalimu inatosha...tunahitaji shemeji a banker hivi lol

Sawa kaka,ila hilo li advice ungeninong'oneza kinyamwezi!
Unaona sasa snowhite kasikia?
Ngoja nikakuombee msamaha
 
Last edited by a moderator:
atakutongoza kwa kiingereza,simu ataongea kiingereza utafurai umepata bonge la bwana linafanya kazi emmbasy ,un,usaid au ni mdiplomat yoyote kumbe ni mwalimu wa civics na history shule ya kata huko kongowe hajalipwa hata mishahara miezi mitatu.!
nawasilisheni
kuweni wakweli ndo hilo tu

Shoga usidharau walimu,,,,,,,,
Me nilidate na mwalimu kipind fulani kanibadilisha sana na nimemtumia kama daraja kunivusha plus kumkamua sana .........na idea zake nimeiba na kuanzisha mradi unaonisaidia mpaka sasa na sija ajiriwa!!!!!!!!!!!!!!!!! Na sitaki kwa sasa maana natengeneza pesa ya kutosha.................................
Ingawa nimempiga chini sababu ya vitu vingi tunayofautiana lakini kanibadilisha sana!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Siku nyingine mtoto wa kike tumia kidogo ulichopata ili kufungua fursa ya makubwa unayo penda!!!!!!!!!""""""""
 
atakutongoza kwa kiingereza,simu ataongea kiingereza utafurai umepata bonge la bwana linafanya kazi emmbasy ,un,usaid au ni mdiplomat yoyote kumbe ni mwalimu wa civics na history shule ya kata huko kongowe hajalipwa hata mishahara miezi mitatu.!
nawasilisheni
kuweni wakweli ndo hilo tu

Hizi stress mbaya sana umetiw ukatolewa empty na hizi tarehe ulizani utamchuna kamshahara kote ha ha hachunwi mtu hapa....sio kila mwalimu ni maskini njoo kwangu uone mabalaa yangu pesa za kumimina tu...acha dharau kwa walimu mama.
 
Mlimshambulia sana jamaa aliyesema wanawake wengi wanajiuza,kumbe jamaa alikuwa right na evidence moja ilikuwa ni post za humu ndani nimeamini alikuwa sahihi.
 
atakutongoza kwa kiingereza,simu ataongea kiingereza utafurai umepata bonge la bwana linafanya kazi emmbasy ,un,usaid au ni mdiplomat yoyote kumbe ni mwalimu wa civics na history shule ya kata huko kongowe hajalipwa hata mishahara miezi mitatu.!
nawasilisheni
kuweni wakweli ndo hilo tu

Kwani we ni wale wanawake wanaojiuza ambao mdau mmoja alipost mada juu yao
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom