atakutongoza kwa kiingereza,simu ataongea kiingereza utafurai umepata bonge la bwana linafanya kazi emmbasy ,un,usaid au ni mdiplomat yoyote kumbe ni mwalimu wa civics na history shule ya kata huko kongowe hajalipwa hata mishahara miezi mitatu.!
nawasilisheni
kuweni wakweli ndo hilo tu
Daa itabidi nibadili fun
Wale wale wanaojiuza. Mlivyowekewa uzi humu mlifoka sana. Mnapenda mno pesa ambazo wenzenu wamezitolea jasho kuliko utu! Kwani ualimu sio kazi? Kwani yeye haruhusiwi kuongea kizungu? Hana ze dudu la kukupa utamu? Mbona nyie tukiwaambia uwe na kazi mnauliza, kwani tunaoa kazi? Usikute mtu mwenyewe hata kazi huna!
Kuna demu alimaliza degree ya community development SAUT,akaniambia kwa kuwa nina certificate nitaambulia papuchi na wala si ndoa.Mwaka huu nimemaliza diploma yangu,yeye ni mwaka wa 3 anamaliza soli.Na sasa nipo na Mwalimu mwenye degree niliyempata humu humu JF.Wala hashoboki na pesa zangu zaidi ya mapenzi tu.Juzi huyo ex ananiambia maisha magumu,nikamwambia subiri nipate degree kwanza.Nyambaf!
umeonaa eeh kitu cha ukweli inaweza ujihonge mzima mzima ..ila ndo hivo utakuta ni nanihii kongowe eti ...ze wallet is ziro balance
Bila Mwalimu huko UN utafikaje? Ningekua Raisi wa nchi hii mishahara ya wabunge ningewapa waalimu na ile ya waalimu ningewapa wabunge.
eti mwallu, kuwa ticha imekuwa balaa, toba yailai siye walimu! daaamn
bora umemuombea msamaha ningempa cha uso mimi!lol!
atakutongoza kwa kiingereza,simu ataongea kiingereza utafurai umepata bonge la bwana linafanya kazi emmbasy ,un,usaid au ni mdiplomat yoyote kumbe ni mwalimu wa civics na history shule ya kata huko kongowe hajalipwa hata mishahara miezi mitatu.!
nawasilisheni
kuweni wakweli ndo hilo tu
Pia ni Mwalimu.... Uthinipe cha uso!