usiombee utongozwe na mwalimu hapa jamii forums

usiombee utongozwe na mwalimu hapa jamii forums

Status
Not open for further replies.
Hata RVP alionekana garasa lakini unachek anavyong'aa kule old......
 
Vmark,nitakutafuta mnama,kwa kuwa sherehe ni watu na watu ndio wanaokamilisha mpango mzima.Mchango wako utakuwa muhimu sana kukamilisha ndoa yangu na mwalimu mwenzangu wa humu humu jf.Hao wanaotaka higher levels,waendelee kusubiri miracles.Kwa kuwa wanafikiri mapenzi ni sandakalawe mwenye kupata apate,hata kama ni kipapatio tena cha "kuku" asiyekuwa na mwenyewe,WADUMU WALIMU DAIMA DUMU,AMINA!
 
Ahahaha. Yaani umenifurahisha. Kumbe ukitongozwa unahisi unatongozwa na atm? Afu ukimegwa kisela ukaachwa unakuja kulia lia hapa. Tongozeka banaa acha uduwanzi
atakutongoza kwa kiingereza,simu ataongea kiingereza utafurai umepata bonge la bwana linafanya kazi emmbasy ,un,usaid au ni mdiplomat yoyote kumbe ni mwalimu wa civics na history shule ya kata huko kongowe hajalipwa hata mishahara miezi mitatu.!
nawasilisheni
kuweni wakweli ndo hilo tu
 
Hahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!! Mleta mada yamekukuta Loh!! Pole sana kwa kweli, ila tambua kuwa humu JF kuna mchanganyiko wa kila aina ya watu kuna mpk fundi baiskeli kwa hiyo usishangae walimu maana humu hawajaweka mipaka ya watu wanaotakiwa kutumia hapa ni akina nani, na ukikutana na mwanaume humu akakutongoza na hukuridhika naye basi nyamaza usije mtangaza humu .ngojea unayemtaka.Gfsonwin na kongosho nasema hivi mwanangu akifeli jiografia na historia mtanieleza pesa zangu za soda nilizokuwa nawapa mlikuwa mnamfundisha nani. Ila mleta mada anatafuta ugomvi na walimu.
 
Wale wale wanaojiuza. Mlivyowekewa uzi humu mlifoka sana. Mnapenda mno pesa ambazo wenzenu wamezitolea jasho kuliko utu! Kwani ualimu sio kazi? Kwani yeye haruhusiwi kuongea kizungu? Hana ze dudu la kukupa utamu? Mbona nyie tukiwaambia uwe na kazi mnauliza, kwani tunaoa kazi? Usikute mtu mwenyewe hata kazi huna!

hehehehe watu na UALIM WETU tunasakamwa humu,ila mwisho wa siku maisha yanaenda,tuna TSD NAMBA,TUNA CHEKI NAMBA,TUNA BIMA YA AFYA,NA MSHAHARA UNA FLOW,,,,,,,
 
Kuna demu alimaliza degree ya community development SAUT,akaniambia kwa kuwa nina certificate nitaambulia papuchi na wala si ndoa.Mwaka huu nimemaliza diploma yangu,yeye ni mwaka wa 3 anamaliza soli.Na sasa nipo na Mwalimu mwenye degree niliyempata humu humu JF.Wala hashoboki na pesa zangu zaidi ya mapenzi tu.Juzi huyo ex ananiambia maisha magumu,nikamwambia subiri nipate degree kwanza.Nyambaf!

hahahahhaa, mwalim kp hawa viumbe wa kike nadhan kuna bolt zimewalegea vichwani
 
Last edited by a moderator:
umeonaa eeh kitu cha ukweli inaweza ujihonge mzima mzima ..ila ndo hivo utakuta ni nanihii kongowe eti ...ze wallet is ziro balance

Teh ! teh ! teh ! Eti ujihonge mazima!
 
Bila Mwalimu huko UN utafikaje? Ningekua Raisi wa nchi hii mishahara ya wabunge ningewapa waalimu na ile ya waalimu ningewapa wabunge.
 
Bila Mwalimu huko UN utafikaje? Ningekua Raisi wa nchi hii mishahara ya wabunge ningewapa waalimu na ile ya waalimu ningewapa wabunge.

hehehehe BRO. B usinichekeshe,waalim tunaambiwa hatuna matumizi MAKUBWA
 
Last edited by a moderator:
mie sipendi uongo..bora mtu aniumize kwa kunambia ukweli kuliko kunifariji kwa mauongoungo
n..ivi kuna tatizo mwanaume kua ticha?...sikujua hili

eti mwallu, kuwa ticha imekuwa balaa, toba yailai siye walimu! daaamn
 
Last edited by a moderator:
atakutongoza kwa kiingereza,simu ataongea kiingereza utafurai umepata bonge la bwana linafanya kazi emmbasy ,un,usaid au ni mdiplomat yoyote kumbe ni mwalimu wa civics na history shule ya kata huko kongowe hajalipwa hata mishahara miezi mitatu.!
nawasilisheni
kuweni wakweli ndo hilo tu

Kwa kupenda vya dezo ndo maana wazungu ''wanawapiganisha'' na wale jamaa wa miguu minne, nya.mba.f
 
Nawachukia sana watu mnaodharau kazi za watu....we ungejua kuandika na kusoma hapa JF kama sio mwalimu.?.then watu kama nyie ndo mnatufanya tudhalilike tu humu ndani....jifunze kuwaheshimu watu na kazi zao...

Kama kuna mwl yoyote aliyekwazika naomba msamaha kwa niaba ya huyu mwenzetu na ninatambua mchango wenu kwetu mpaka nimefikia haya mafanikio niliyonayo..

Mungu awabariki sana na msisikilize maneno ya kipuuzi..just ignore them.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom