usiombee utongozwe na mwalimu hapa jamii forums

usiombee utongozwe na mwalimu hapa jamii forums

Status
Not open for further replies.
Nawachukia sana watu mnaodharau kazi za watu....we ungejua kuandika na kusoma hapa JF kama sio mwalimu.?.then watu kama nyie ndo mnatufanya tudhalilike tu humu ndani....jifunze kuwaheshimu watu na kazi zao...

Kama kuna mwl yoyote aliyekwazika naomba msamaha kwa niaba ya huyu mwenzetu na ninatambua mchango wenu kwetu mpaka nimefikia haya mafanikio niliyonayo..

Mungu awabariki sana na msisikilize maneno ya kipuuzi..just ignore them.

rosita mi ni mwalimu kwa kejeli tunazokumbana nazo hapa (hasa kutoka kwa the so called WASOMI)
TUSHAJIONEA KAWAIDA,MAANA UALIM WA MTU WALA HAUHUSIANI NA UINJINIA WAKE AU MARKETING YAKE,,,,HUO NI ULIMBUKENI
 
Last edited by a moderator:
samahani kaka Mr Q.........huyo hapo kwenye avatar ni wewe.........?

Hapana dada Preta. Mimi nimesha kuwa mzee sasa. Watu hujikuta wakitarajia kukutana na watu wanao waona kwenye picha kitu kinacho kuja kuwa ghalimu kama mtoa mada. Ukiniona mimi utachoka kabisa mjukuu wangu.
 
Last edited by a moderator:
Mkikutana na wale wa KIWENGWA KIZIMKAZI huku ZNZ wanacharaza Kitaliano, Kifaransa na Kijeremani mbona utajua umelamba dume kumbe ni wapiga soga ufukweni na wazungu ili mkono wende kinywani, msithubutu mTaishia kuchunwa laivu
 
rosita mi ni mwalimu kwa kejeli tunazokumbana nazo hapa (hasa kutoka kwa the so called WASOMI)
TUSHAJIONEA KAWAIDA,MAANA UALIM WA MTU WALA HAUHUSIANI NA UINJINIA WAKE AU MARKETING YAKE,,,,HUO NI ULIMBUKENI

Hao kweli ni so called wasomi...siamini kama ana elimu na kama anayo ni ya makaratasi haijamkomboa...na ndo wale ambao huwa wanasindikiza wenzao madarasani....mimi sio mwl but hakuna mtu ninayemweshimu kama mwl...
 
Last edited by a moderator:
atakutongoza kwa kiingereza,simu ataongea kiingereza utafurai umepata bonge la bwana linafanya kazi emmbasy ,un,usaid au ni mdiplomat yoyote kumbe ni mwalimu wa civics na history shule ya kata huko kongowe hajalipwa hata mishahara miezi mitatu.!
nawasilisheni
kuweni wakweli ndo hilo tu

Hilo ndo tatizo la mtanzania.mtu akiongea lugha ya malkia ndo anakazi nzuri au pesa!...

Wapo mesheni town kibao wanaongea lugha hata tano za kimataifa lakini mjini wanaishi kwa magumashi so futa hiyo kauli yako kwa kuidharau fani yetu ya ualimu...

Kama uliingia mkenge imekula kwako...shenzi kabisa
 
burudani kweli; kwani ulipotongozwa wewe ulifikiria nn kwa mara ya kwanza unamkubalia huyo mtu; pesa ama yeye alivyo? kama ni pesa hapo ndo kweli inakula kwako!

watu wanatafuta hao walimu unaowaongelea kwa kuwaona wako chini, ni kazi tu hiyo kama zilivyo kazi nyingine
 
Mtoa mada utakuwa na akili fupi sana,inasikitisha na pole sana.
 
Hapana dada Preta. Mimi nimesha kuwa mzee sasa. Watu hujikuta wakitarajia kukutana na watu wanao waona kwenye picha kitu kinacho kuja kuwa ghalimu kama mtoa mada. Ukiniona mimi utachoka kabisa mjukuu wangu.

Hahahaha! Sasa babu si umuelekeze amupataje huyo jamaa!!
 
Last edited by a moderator:
Hao kweli ni so called wasomi...siamini kama ana elimu na kama anayo ni ya makaratasi haijamkomboa...na ndo wale ambao huwa wanasindikiza wenzao madarasani....mimi sio mwl but hakuna mtu ninayemweshimu kama mwl...

sure,kabla sijaenda soma ualim nilikua nawaheshim walim,na leo hii nna elim kupita walim walonifundisha ila bado nawahesim,maana walinipenda walinijali,walinisaidia sana,walipambana ili nifike mbele,watu wana mtazamo hasi sana juu ya walim,ila binafsi najivunia ualim wangu,nimewasaidia watanzania wenzangu,vijana wenzangu leo hii nao wanachekelea wanaenda kuhangaikia shahada zao huko vyuoni,
 
burudani kweli; kwani ulipotongozwa wewe ulifikiria nn kwa mara ya kwanza unamkubalia huyo mtu; pesa ama yeye alivyo? kama ni pesa hapo ndo kweli inakula kwako!

watu wanatafuta hao walimu unaowaongelea kwa kuwaona wako chini, ni kazi tu hiyo kama zilivyo kazi nyingine

Mkuu kuna uzi humu unaongelea asilimia 98 ya wanawake ni wauzaji wa mapenzi ingawaje wengi wanatumia njia ambazo ni legal, ila dhumuni lao halina tofauti na wanaojpanga buguruni!!
 
Hao kweli ni so called wasomi...siamini kama ana elimu na kama anayo ni ya makaratasi haijamkomboa...na ndo wale ambao huwa wanasindikiza wenzao madarasani....mimi sio mwl but hakuna mtu ninayemweshimu kama mwl...

sure,kabla sijaenda soma ualim nilikua nawaheshim walim,na leo hii nna elim kupita walim walonifundisha ila bado nawahesim,maana walinipenda walinijali,walinisaidia sana,walipambana ili nifike mbele,watu wana mtazamo hasi sana juu ya walim,ila binafsi najivunia ualim wangu,nimewasaidia watanzania wenzangu,vijana wenzangu leo hii nao wanachekelea wanaenda kuhangaikia shahada zao huko vyuoni,
 
Mkuu kuna uzi humu unaongelea asilimia 98 ya wanawake ni wauzaji wa mapenzi ingawaje wengi wanatumia njia ambazo ni legal, ila dhumuni lao halina tofauti na wanaojpanga buguruni!!

mostly girls wa kimjinimjini wanajiuza
 
Poleni walimu kwa mkasa huu wa kudhalilishwa
 
atakutongoza kwa kiingereza,simu ataongea kiingereza utafurai umepata bonge la bwana linafanya kazi emmbasy ,un,usaid au ni mdiplomat yoyote kumbe ni mwalimu wa civics na history shule ya kata huko kongowe hajalipwa hata mishahara miezi mitatu.!
nawasilisheni
kuweni wakweli ndo hilo tu

hili nalo ni angalizo?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom