yaani we acha tu......kuna magarasha humu.....usiombe........
Duh! Kumbe wengi huwaga mnatongozwa humu! Mbona wengine wake za watu? Inakuwaje unakubali majaribu mpaka kukutana na hilo garasha?
yaani we acha tu......kuna magarasha humu.....usiombe........
Unajua kuna baadhi ya wanawake wanachukulia mahusiano kama ajira.
Mi kanitibua sitamani hata kumjibu,asije akanisababishia ban bure!
Watu tunaishi mjini kwa TGTS halafu analeta dharau!
atakutongoza kwa kiingereza,simu ataongea kiingereza utafurai umepata bonge la bwana linafanya kazi emmbasy ,un,usaid au ni mdiplomat yoyote kumbe ni mwalimu wa civics na history shule ya kata huko kongowe hajalipwa hata mishahara miezi mitatu.!
nawasilisheni
kuweni wakweli ndo hilo tu
Umeona eeeh, bora kidogo cha TGTS kuliko kikubwa cha kurisk maisha na kudanganyika na vingereza
Haswaaaa!!! Kimfaacho mtu chake bwana.
Acha tuendelee kusubiri malimbikizo sie na yeye asubiri wa diplomasia halafu tuone nani atacheka mwisho
Nafikiri sijaelewa kauli yako hapo juu.
Mimi mwenyewe nina mchumba tena nimempata humu humu jf.Na wote ni walimu,tunapendana kupita maelezo,december atakuja kuwasalimu wazazi Moshi.Na siku taratibu zitakapokamilika nitaweka tangazo humu la mualiko wa harusi yetu.Mtaishia kugawa papuchi zenu kwa mikopo,wenzenu tunaoa na kula tamu za ndoa.LAITI MNGEFAHAMU KUNA WALIMU WANA MAISHA SAFI KULIKO HAO MABWANA ZENU WANAOWAKOPA.JIPANGENI SANA!
Hao mbona atawapata wa kutosha tu? Awe tu na guts za kuja kufungua thread hapa atupe list.Haswaaaaa.....watakuja wana diplomasia wakula mzigo watasepa.
Anataka hela, hatafuti za kwake. Bure ghali
Hao mbona atawapata wa kutosha tu? Awe tu na guts za kuja kufungua thread hapa atupe list.
Type hizi ndio wanasababisha thread za kudhalilisha wanawake zinaongezeka kila uchao hapa MMU,watu wanatoka povu kuzikemea kumbe kuna wanaozistahili hasa!
Shkamoo kaka
ukweli mtupu....na asikie huko aliko
Huyu Mwl. kaka ana haiba,anaogopa kufukuzwa kazi na utumishi ndio maana kaka unaruhusiwa kumsindikiza dada akienda tution.
Cc. OLESAIDIMU