Usiombee kukosa hela

Usiombee kukosa hela

Maisha haya jamani, enzi hizo kuna siku nimeamka nina buku 3 tu halafu naona kila kitu kimeisha ndani. Kichwa kinawaka moto kwamba hiyo buku 3 naibajeti vipi inisogeze sogeze. Natoka home nakutana na mama ananililia shida yuko na katoto kadogo hawajala kitu tangu jana yake. Ikabidi tu nimpe ile buku3 nipambane na hali yangu. Kama bahati jioni inaingia msg ya mpesa ndio ikawa afadhali yangu.
Mungu akubariki kwa upendo wa kweli
 
Hivi umewahi kukosa hela na huku unanuka madeni mpaka ukatamani hata mtu akosee kutuma mpesa, au tigo pesa, ili hela ije kwako? Au ukatembeatembea ukiamini unaweza hata okota hela mtu aliyedondosha? Kweli wanaume tumeumbwa matesooooo, matessooo kuhangaika.

Nina salio la buku (1000) kwenye wallet ndio kwanza jumatatu. Ee Mola ninusuru. Wangapi tunapitia haya? kama unaamini ni mapito tuu na sisi sikumoja tutakuwa na fedha za kutosheleza mahitaji yetu type Amen.
Acha kabisa kunikumbusha habari hizo. Nakumbuka 2017 nilitembea kwa mguu kutoka Kongowe hadi Feri na sikuokota hata sh.100. Lakini Mungu ni Mwema sana, disemba mwaka huo huo nilipata shavu kwenye kampuni moja ya kimataifa.
 
Kama sina pesa hata njaa inawahi kunikamata, sijui kwa nini hivi hua ni peke yangu tu maana njaa inauma hadi na kichwa kinauma
 
Ndio mkuu na Sasa nko nakunywa ka bia
Upside down Kama hzi zipo tu au nasema uongo?
Noma sana.. unakuywa bia unajichekesha sanaaa story mingi ukiwa na tumaini jamaa anaenunua atakutoa ata mi5 ya kuanzia kesho af hola..
 
Yani achatu Mzee nilikua nimebakiwa na buku nikaona Acha niibetie nikapanga na malengo kabisa sasa buku imeliwa nimebaki napiga miyayo tuu nawaza yanini nimebeti
Screenshot_2021-04-18-23-36-20-74_9df19362bfbb786386b51efa09b8e158.jpg
 
Halafu ukiwa hauna hela kichwa kinawasha bila sababu sijui inakua chawa zishaingia maana utajikuta unajikuna nusu ung’oe nywele yaani ilimradi tu usumbuke si unajua maskini lazima apate usumbufu
 
Usiombe kuishiwa..kunasiku nilitoka dar na gari private nakwenda bunda..hela niliokua nayo nikajua itanifikisha tu.. basi kufika igunga ile naitafuta nzega pale kulikua na mashimo mashimo basi tairi moja ika burst ikabidi niweke spear tairi..kufika ziba ile tairi ya spear ikapasuka nayo..hapo ni usiku..nikiangalia mfukon nina kilo tu..nikalala hapo asubuhi nikajangaikia tairi nikapata kwa 80k maana zile tair zilionekana hazifai..hapo mfukon nikawa nina buku 5 tu..jion ndo nimeondoka hapo ziba maana ilikua jpil so kupata tair ilikua mbinde so nilichelewa kuondoka..nafika magu usiku na taa imewaka kwa maana mafuta yanakata na sina hela na safar bado..nikasema ngoja nilale hapa magu..nikaingia kwa mama ntilie nikala..nikalala kweye gari kulipokucha hyo j3 ndo nawaza napata wap hela ya mafuta…?nikakumbuka kuna mshkaj anafanya kaz bank nmb..nikaenda bahat nikamkuta baada ya kumpa stori akasema yeye hana hela ila atanipa mafuta ya ofis kama lita 20 hv nikasema we nipe yatakapo ishia hapo hapo.. ashkuru nilifika bunda ila hakuna issue mbovu kama kuishiwa unaona kama dunia haipo upande wako hv
 
Kwakweli haya maisha mungu atusaideie napitia wakati mgumu sana sasa hivi baada ya kusimama kazi kipindi cha korona mwaka jana, kupata kazi nyingine imekuwa ni inshu sana mwenye nuymba wangu nilimweleza tangu mwaka jana mwezi wa 6 hajanidai mpaka leo.. kulala na kushinda bila kula imekuwa ni kawaida nimepungua kilo 15 kutoka nilivyokuwa.... Mungu nisaidie tu
Tuko wengi ila tutafutane siku moja moja nakuwa mungu anasaidia 2000 naweza kukupa
 
Jf ukiizingatia itakukutanisha na watu ambao wanaweza kuwa njia ya mafanikio yako, wengi wao wakimya sana ila ni wasomaji wazuri na wenye moyo mkubwa, mimi nikifanikiwa nitakuja kuanzisha progam ya kuinuana humu haswa vijana tunaopitia changamoto kubwa za maisha, maisha haya ni heri mshikane mkono tena hata hamjuani, inshu kubwa ni uaminifu tu...
Mm nimeshawah saidiwa mtaji na mtu anayeitwa Silicon Valley kifup jf inawatu wema bado wapo humu

Barikiwa mkuu bado napambana na mtaj ulionipa
 
Usiombe kuishiwa..kunasiku nilitoka dar na gari private nakwenda bunda..hela niliokua nayo nikajua itanifikisha tu.. basi kufika igunga ile naitafuta nzega pale kulikua na mashimo mashimo basi tairi moja ika burst ikabidi niweke spear tairi..kufika ziba ile tairi ya spear ikapasuka nayo..hapo ni usiku..nikiangalia mfukon nina kilo tu..nikalala hapo asubuhi nikajangaikia tairi nikapata kwa 80k maana zile tair zilionekana hazifai..hapo mfukon nikawa nina buku 5 tu..jion ndo nimeondoka hapo ziba maana ilikua jpil so kupata tair ilikua mbinde so nilichelewa kuondoka..nafika magu usiku na taa imewaka kwa maana mafuta yanakata na sina hela na safar bado..nikasema ngoja nilale hapa magu..nikaingia kwa mama ntilie nikala..nikalala kweye gari kulipokucha hyo j3 ndo nawaza napata wap hela ya mafuta…?nikakumbuka kuna mshkaj anafanya kaz bank nmb..nikaenda bahat nikamkuta baada ya kumpa stori akasema yeye hana hela ila atanipa mafuta ya ofis kama lita 20 hv nikasema we nipe yatakapo ishia hapo hapo.. ashkuru nilifika bunda ila hakuna issue mbovu kama kuishiwa unaona kama dunia haipo upande wako hv
Very risk..yaan unasafiri huna hela? Kwann ulienda sasa na gari? Si ungepanda najimunisa tu
 
Kuna kitu umekiongea ndo knanitokeaga everytime....kuna jirani yangu ni mhitaji...mhitaji kweli...akija kulia shida mm nakua sina kitu..mayb nakua na 20k ...bas last tym kaja mida kama hii anasema mdg wangu ww nichoke tu .sijala na wadogo zako toka jana .nikamwambia mama why unakuja late .akanihadithia magumu anayopitia😭😭😭..mwanaye wa kiume kampa mimba binti wa jiran so amepata mjukuu hana hata nguo za kumvik mjukuuu uwiiianadai hata mama mtoto anamchemshia tembele..mhh maisha haya...nikampa hela niliyokua nayo ila nashangaa kila akija mie nakua sinaga hela ya maana...naishiabkumpa misosi na mkaa akapike
Sijui kwanini maranyingi unakuta mtu anakulilia shida wakati ambao wewe mwenyewe hauko poa.
 
Back
Top Bottom