gbefa
JF-Expert Member
- Jun 1, 2016
- 3,807
- 15,846
KabisaaaaUkiwa na hela mtu akisema hajala unamuona mzembe anakosaje hela ya kula ndio huyo jamaa
KabisaaaaUkiwa na hela mtu akisema hajala unamuona mzembe anakosaje hela ya kula ndio huyo jamaa
Mungu akubariki kwa upendo wa kweliMaisha haya jamani, enzi hizo kuna siku nimeamka nina buku 3 tu halafu naona kila kitu kimeisha ndani. Kichwa kinawaka moto kwamba hiyo buku 3 naibajeti vipi inisogeze sogeze. Natoka home nakutana na mama ananililia shida yuko na katoto kadogo hawajala kitu tangu jana yake. Ikabidi tu nimpe ile buku3 nipambane na hali yangu. Kama bahati jioni inaingia msg ya mpesa ndio ikawa afadhali yangu.
Acha kabisa kunikumbusha habari hizo. Nakumbuka 2017 nilitembea kwa mguu kutoka Kongowe hadi Feri na sikuokota hata sh.100. Lakini Mungu ni Mwema sana, disemba mwaka huo huo nilipata shavu kwenye kampuni moja ya kimataifa.Hivi umewahi kukosa hela na huku unanuka madeni mpaka ukatamani hata mtu akosee kutuma mpesa, au tigo pesa, ili hela ije kwako? Au ukatembeatembea ukiamini unaweza hata okota hela mtu aliyedondosha? Kweli wanaume tumeumbwa matesooooo, matessooo kuhangaika.
Nina salio la buku (1000) kwenye wallet ndio kwanza jumatatu. Ee Mola ninusuru. Wangapi tunapitia haya? kama unaamini ni mapito tuu na sisi sikumoja tutakuwa na fedha za kutosheleza mahitaji yetu type Amen.
Yasikie tu mkuu maishA tu unashangaa siku nneAcha uongo bhna siku 4 unazijua ww au unafurahisha kijiwe?
Mwamba ukaona dogo asikuletee utani....true definition ya masikini jeuri![]()
Kaka usiombe ikukute... inafkia wakati kuna watu wanishi kwa glucose... asbh kijiko mchana na jioni uku unashushia na majiSiku nne hujala chochote mkuu..i mean yaani hata punje moja ya karanga?..
Noma sana.. unakuywa bia unajichekesha sanaaa story mingi ukiwa na tumaini jamaa anaenunua atakutoa ata mi5 ya kuanzia keshoNdio mkuu na Sasa nko nakunywa ka bia
Upside down Kama hzi zipo tu au nasema uongo?


af hola..Tuko wengi ila tutafutane siku moja moja nakuwa mungu anasaidia 2000 naweza kukupaKwakweli haya maisha mungu atusaideie napitia wakati mgumu sana sasa hivi baada ya kusimama kazi kipindi cha korona mwaka jana, kupata kazi nyingine imekuwa ni inshu sana mwenye nuymba wangu nilimweleza tangu mwaka jana mwezi wa 6 hajanidai mpaka leo.. kulala na kushinda bila kula imekuwa ni kawaida nimepungua kilo 15 kutoka nilivyokuwa.... Mungu nisaidie tu
....Done That??Been there![]()

yeah hapo nimeelewaNamueleww jamaa,Kuna muda ktk kumbukumbu zako ushawakopa na kuwaomba watu wote,na wengi washakuterm Kama msumbufu maana washakusaidia Sana na ww unaona noma kuomba zaidi!
Sent from my CPH1909 using JamiiForums mobile app
Mm nimeshawah saidiwa mtaji na mtu anayeitwa Silicon Valley kifup jf inawatu wema bado wapo humuJf ukiizingatia itakukutanisha na watu ambao wanaweza kuwa njia ya mafanikio yako, wengi wao wakimya sana ila ni wasomaji wazuri na wenye moyo mkubwa, mimi nikifanikiwa nitakuja kuanzisha progam ya kuinuana humu haswa vijana tunaopitia changamoto kubwa za maisha, maisha haya ni heri mshikane mkono tena hata hamjuani, inshu kubwa ni uaminifu tu...
safi mkuu hongera sanaaa.. pambanaMm nimeshawah saidiwa mtaji na mtu anayeitwa Silicon Valley kifup jf inawatu wema bado wapo humu
Barikiwa mkuu bado napambana na mtaj ulionipa
Very risk..yaan unasafiri huna hela? Kwann ulienda sasa na gari? Si ungepanda najimunisa tuUsiombe kuishiwa..kunasiku nilitoka dar na gari private nakwenda bunda..hela niliokua nayo nikajua itanifikisha tu.. basi kufika igunga ile naitafuta nzega pale kulikua na mashimo mashimo basi tairi moja ika burst ikabidi niweke spear tairi..kufika ziba ile tairi ya spear ikapasuka nayo..hapo ni usiku..nikiangalia mfukon nina kilo tu..nikalala hapo asubuhi nikajangaikia tairi nikapata kwa 80k maana zile tair zilionekana hazifai..hapo mfukon nikawa nina buku 5 tu..jion ndo nimeondoka hapo ziba maana ilikua jpil so kupata tair ilikua mbinde so nilichelewa kuondoka..nafika magu usiku na taa imewaka kwa maana mafuta yanakata na sina hela na safar bado..nikasema ngoja nilale hapa magu..nikaingia kwa mama ntilie nikala..nikalala kweye gari kulipokucha hyo j3 ndo nawaza napata wap hela ya mafuta…?nikakumbuka kuna mshkaj anafanya kaz bank nmb..nikaenda bahat nikamkuta baada ya kumpa stori akasema yeye hana hela ila atanipa mafuta ya ofis kama lita 20 hv nikasema we nipe yatakapo ishia hapo hapo.. ashkuru nilifika bunda ila hakuna issue mbovu kama kuishiwa unaona kama dunia haipo upande wako hv
Sijui kwanini maranyingi unakuta mtu anakulilia shida wakati ambao wewe mwenyewe hauko poa.Kuna kitu umekiongea ndo knanitokeaga everytime....kuna jirani yangu ni mhitaji...mhitaji kweli...akija kulia shida mm nakua sina kitu..mayb nakua na 20k ...bas last tym kaja mida kama hii anasema mdg wangu ww nichoke tu .sijala na wadogo zako toka jana .nikamwambia mama why unakuja late .akanihadithia magumu anayopitia😭😭😭..mwanaye wa kiume kampa mimba binti wa jiran so amepata mjukuu hana hata nguo za kumvik mjukuuu uwiiianadai hata mama mtoto anamchemshia tembele..mhh maisha haya...nikampa hela niliyokua nayo ila nashangaa kila akija mie nakua sinaga hela ya maana...naishiabkumpa misosi na mkaa akapike