Usiombee kukosa hela

Usiombee kukosa hela

Pole Sana mkuu ukanyang'anywa tonge mdomoni kudadeki
Mie shoga kuna mkaka aliwah nitongozwaga enzi za jk...jaman huyu kaka alikua analkuja chuoni kunisalimia ananichangamkia huyo! Mnyaki...bas alikua anakuja amevaa visuruali vimebanaaa.. then vifupi..bas tukawa tunamchekaaaa....hata hela ya kukaa canteen nadhan hakua nayo maskini....bas nimeolewa mwaka kama 2011 namskia Jk Anamtaja kama mkuu wa wilaya fulani🤣🤣!.bas ghafla sisy ananipgia ananiambia kuna jina limetajwa sio yule kaka alokua anakupenda? Uwiii🤣🤣🤣! Kifupi umaskini unawakosesha sana raha...tulikua tunamuenjoy had aibu naona mm!mpk leo ni mkuu wa wilaya fulani ..
 
Pambana wa kipekee usikate tamaa

Ila shuhuda nyingi kwenye huu uzi wanaume mmeokolewa sana na wanawake wenu kwenye nyakati ngumu,hapo ndipo wanasema palipo na mafanikio ya mwanaume nyuma yake kuna mwanamke hawakosei
Bt mostly hawana shukurani...achana shukrani...kale tu kashukran za kimya kimya hakuna...! Sijui hii tuuiteje
 
Afadhali yako huna familia

Mimi dogo amerudishwa school kisa nimeshidwa kulipa 8000 ya uji

Na mvua ndio zinanyesha hatari, dogo viatu vimechanika maji yanaingia mpaka ndani
,
Nikaenda kukopa vibuti vya kavaa dogo awe anavaa aende navyo shule, yule mama ananidai utazan amenikopesha moyo daily hodi haziishi
Mkuu umekosa hela ya kulipa uji Ila ya kununua bando unayo?
 
Mie shoga kuna mkaka aliwah nitongozwaga enzi za jk...jaman huyu kaka alikua analkuja chuoni kunisalimia ananichangamkia huyo! Mnyaki...bas alikua anakuja amevaa visuruali vimebanaaa.. then vifupi..bas tukawa tunamchekaaaa....hata hela ya kukaa canteen nadhan hakua nayo maskini....bas nimeolewa mwaka kama 2011 namskia Jk Anamtaja kama mkuu wa wilaya fulani🤣🤣!.bas ghafla sisy ananipgia ananiambia kuna jina limetajwa sio yule kaka alokua anakupenda? Uwiii🤣🤣🤣! Kifupi umaskini unawakosesha sana raha...tulikua tunamuenjoy had aibu naona mm!mpk leo ni mkuu wa wilaya fulani ..
Hahahaha kwahiyo ungemuelewa saiv ungekuwa muke yake dciiiiii😂😂😂 hatuwezi kuwakubalia wote isitoshe wanawake tunaangukiaga kwa watu wenye speed ya kufukuzia walio slow huwa tunahisi wanajaribu au wanna kambi nyingi
 
Hahahaha kwahiyo ungemuelewa saiv ungekuwa muke take dciiiiii😂😂😂 hatuwezi kuwakubalia wote isitoshe wanawake tunaangukiaga kwa watu wenye speed ya kufukuzia walio slow huwa tunahisi wanajaribu au wanna kambi nyingi
Ah ningekuwa natembelea vx nw..alafu alikua blak huyo had raha..umaskini mbaya sana
 
Ah ningekuwa natembelea vx nw..alafu alikua blak huyo had raha..umaskini mbaya sana
Ndo ungekuwa unaimba nyimbo za kusifu na kuabudu😂😂😂

Ishu Kama yako nahisi itatokea kwa mtu flani hivi maana alikuwaga very close na mama samia na kwa anavyojua kujipendekeza atalamba uteuzi muda si mrefu, nijiandae kukoma anahisi nimemkataa sababu ya shekeli kumbe Ni tofauti Ni mtaratibu mno yani ule upole hata bed nahisi hana uchakaramu Sasa mi mtu wa hivyo kumcheat ni asbh
 
Pambana wa kipekee usikate tamaa

Ila shuhuda nyingi kwenye huu uzi wanaume mmeokolewa sana na wanawake wenu kwenye nyakati ngumu,hapo ndipo wanasema palipo na mafanikio ya mwanaume nyuma yake kuna mwanamke hawakosei
ukipata mwanamke yuko na kichwa kizuri na amelelewa vizuri ana mitaa ya ajabu hakika lazima ushukuru Mungu sana, kinyume chake ni majuto..... Either uenjoy sana au upunguze ukali wa maisha au uteseke sana
 
Ndo ungekuwa unaimba nyimbo za kusifu na kuabudu😂😂😂

Ishu Kama yako nahisi itatokea kwa mtu flani hivi maana alikuwaga very close na mama samia na kwa anavyojua kujipendekeza atalamba uteuzi muda si mrefu, nijiandae kukoma anahisi nimemkataa sababu ya shekeli kumbe Ni tofauti Ni mtaratibu mno yani ule upole hata bed nahisi hana uchakaramu Sasa mi mtu wa hivyo kumcheat ni asbh
🤣🤣🤣🤣🤣 mtu aliyekuwa karibu na SSH nadhan ni bashite...! Dont judge a book by its cover..ila we nawe unanipa moto mwanamke mwenzio🤭
 
Binafsi naishukru sana JF, kuna miezi nilikuwa nimeishiwa kabsa mda huo biashara ilikuwa imekwama at the same time nadaiwa pesa ya Pango la frame sh 210,000 afu kule ninapoishi napo nadaiwa hela ya pango ya miezi 4

Sehemu zote hizo wamecharuka hawataki tena excuses, asbh nilipoamka tu nakutana na sms inasema " habari yako John kama itafika jioni hujalipa kodi yangu uje kuhamisha vitu vyako"

Mda huo nilikuwa nimejifungia ndani sioni pa kwenda, ghafla likaja wazo la kuandika uzi humu JF, nikaandika nikiwa na uchungu sanaaa, wakatokea watu watatu wa kunifariji ( DM) kwa kunitia moyo Ila mmoja wao akanitumia pesa sh 420,000 aiseee machozi yalinitoka maana sikuamini kabsa


Hii ilikuwa ni mwaka Jana tu mwezi wa 10, 2020 nilienda kwa wakala na kuitoa baada ya hapo nilakipia kodi na nikaagiza mzigo, to cut the story namshukuru sana yule ndugu japo simjui hata kwa sura mpaka sasa


Nipo naendelea na biashara yangu, na huwa namsalimia Mara kwa Mara sana kupitia DM, afu leo ngoja nimtumie hela ya soda aiseee
 
Binafsi naishukru sana JF, kuna miezi nilikuwa nimeishiwa kabsa mda huo biashara ilikuwa imekwama at the same time nadaiwa pesa ya Pango la frame sh 210,000 afu kule ninapoishi napo nadaiwa hela ya pango ya miezi 4

Sehemu zote hizo wamecharuka hawataki tena excuses, asbh nilipoamka tu nakutana na sms inasema " habari yako John kama itafika jioni hujalipa kodi yangu uje kuhamisha vitu vyako"

Mda huo nilikuwa nimejifungia ndani sioni pa kwenda, ghafla likaja wazo la kuandika uzi humu JF, nikaandika nikiwa na uchungu sanaaa, wakatokea watu watatu wa kunifariji ( DM) kwa kunitia moyo Ila mmoja wao akanitumia pesa sh 420,000 aiseee machozi yalinitoka maana sikuamini kabsa


Hii ilikuwa ni mwaka Jana tu mwezi wa 10, 2020 nilienda kwa wakala na kuitoa baada ya hapo nilakipia kodi na nikaagiza mzigo, to cut the story namshukuru sana yule ndugu japo simjui hata kwa sura mpaka sasa


Nipo naendelea na biashara yangu, na huwa namsalimia Mara kwa Mara sana kupitia DM, afu leo ngoja nimtumie hela ya soda aiseee
Jf ukiizingatia itakukutanisha na watu ambao wanaweza kuwa njia ya mafanikio yako, wengi wao wakimya sana ila ni wasomaji wazuri na wenye moyo mkubwa, mimi nikifanikiwa nitakuja kuanzisha progam ya kuinuana humu haswa vijana tunaopitia changamoto kubwa za maisha, maisha haya ni heri mshikane mkono tena hata hamjuani, inshu kubwa ni uaminifu tu...
 
Hahahaa huko shule mzee mtoto ata digest sunlight au lazima apige food tena liuji la dona wanasagia huko na magunzi kidogo ili washibe haraka
We jamaa umeifanya nicheke kwa sauti kabisa. Wanasagia na magunzi ili uwe na shibe nzito
 
🤣🤣🤣🤣🤣 mtu aliyekuwa karibu na SSH nadhan ni bashite...! Dont judge a book by its cover..ila we nawe unanipa moto mwanamke mwenzio🤭
Sio bashite hebu nitake radhi, ni mtumishi serikalini pia ni kada mtiifu wa chama cha kijani, nafsi inanambia huyu mama atampa nafasi, hata yeye huwa anajisemea kuwa ipo siku atakuwa kiongozi mkubwa serikalini, jamaa Ni msabato namuona km mtakatifu saaana African man kutokea kwa kina mura, ila nafsi iligoma kuwa nae, na sijawahi kutana na mwanaume mvumilivu mtaratibu km yule ila ndo nilichomoa tena nyakati ambayo nilikuwa juu ya mawe haswa, 😤😤😤 maisha ni safari

Muhimu tupambane na tulio nao, maana ndio tuliowachagua kutokea kwenye nafsi zetu incase labda iwe umesokomezwa tu😂😂😂😂
 
Sio bashite hebu nitake radhi, ni mtumishi serikalini pia ni kada mtiifu wa chama cha kijani, nafsi inanambia huyu mama atampa nafasi, hata yeye huwa anajisemea kuwa ipo siku atakuwa kiongozi mkubwa serikalini, jamaa Ni msabato namuona km mtakatifu saaana African man kutokea kwa kina mura, ila nafsi iligoma kuwa nae, na sijawahi kutana na mwanaume mvumilivu mtaratibu km yule ila ndo nilichomoa tena nyakati ambayo nilikuwa juu ya mawe haswa, 😤😤😤 maisha ni safari

Muhimu tupambane na tulio nao, maana ndio tuliowachagua kutokea kwenye nafsi zetu incase labda iwe umesokomezwa tu😂😂😂😂
Wasabato nawaelewa saana jamani sijawah bahatika kutongozwa na msabato ..uahahaa pambana nayo tu aisee!
 
Mkuu nimesoma huo Uzi wako ulio share hakika ww ni mtu mmoja wa kipekee sana, upo real sana hau fake maisha, haugopi kujaribu na hauogopi kusema kama umekwama.. Watu wa hivi huwa hawaishi na umaskini kwa mda mrefu, naamini haya ni mapito ya mda mfupi sana, na Mungu hawezi kukuacha.
Nimehamasika sana
Aiseeee nilidhani nateseka peke yangu katika maisha kumbe tuko wengi, mimi kuna kipindi nilipitia wakati mgumu sana tena sana yaani kila nachokifanya kinagoma, sio shambani sio mtaani hadi nikahisi mwezi wa 3 mwaka huu sitatoboa, maana kila unaemuambia shida zako nae anakupa matatizo yake hali ni mbaya, unakataa tamaa nakumbuka last time nikawaza niuze hii simu, godoro na vitu vya gheto nirudi home ila nikawaza home nitaenda kufanya nini na nilishakacha tangu 2016, kuna manzi yangu alikuwa anafanya kazi Tanga alikuwa ananipiga company maana anajua hali yangu yeye kasoma afya so alivyoua chuo tu akapata pa kushika, mimi nikawa kitaaa naganga njaa mwaka jana nikachoma hela kama milioni 2 hivi katika biashara bado kidogo nijiue huyu manzi akashtuka nimi sijui nikashangaa kanitumia 50k kaniambia njoo Ta upumzike kwanza ujipange upya, to cut the story mwaka huu mwezi wa tatu ndio nilichoka nadaiwa kodi, mara shamba nililomaga limenishinda n.k nakumbuka siku hiyo nimebaki na mb 200 nikaandika uzi nikautupia kule kwenye Jukwaa la tenda na ajira baada ya hapo bundle likakata wadau wakaanza kunicheki nikapata msaada japo bado napambana maana sina kazi ila haya maisha ukiwa lele mama unaweza ukakimbia dunia hii au unaweza ufanye mambo ya ajabu ili usurvive hali inatisha, ila nimegiundua kwamba Mungu anatupa mitihani kutupima imani yetu juu yake na anatupa mitihani ambayo tunaweza kuikabili.. pia tuishi na watu vizuri haswa watu baki maana wao ndio wanaweza kukusaidia kuliko ndugu zako talking from the experience..


Marufuku kukataa tamaa


uzi ulinisave huu hapa

 
Kama mimi hapa ndo napitia
Afadhali hata najifariji JF
Hata elf 10 sina nataman hata msamaria anitumie yani
 
Back
Top Bottom