Nizhneserginsky
JF-Expert Member
- Mar 9, 2017
- 269
- 575
nakumbuka kipindi nipo shule niliishiwa na pesa mfukon ilibaki 5000 tu na inatakiwa niifikishe 2weeks,basi nikawa natmia 1000 per day msos wangu ukawa katikatj ya mchana&jion(saa11) ilikuwa ni wali mbegu tu wenzangu niliokuwa nakula nao walikuwa vizuri wali samaki,nyama,kuku,chips ilifika kipindi nikawa naambiwa niache ubahili.sikufata mkumbo wa kutaka vitu vizur nikiwa sina mali mfukon.baada ya siku mzaz aliniwezesha maisha yakaendelea..
nyingine...kipindi tofaut na hicho nikiwa chuoni,ilifika mahala nikawa nakosa pesa ya chakula basi ikifika mida ya chakula(huwa tuna desturi ya kwenda wote cafeteria kula) basi nabeba PC yangu naelekea library kusoma/najifanya bize/kulala asikuambie mtu ukiwa na njaa huwez fanya chochote kikaenda,bas muda mwingine nikawa nashinda njaa ,natolewa ofa na wana kupata menu moja moja maisha yakawa yanaenda..
ilifikia kipindi nikawa naweka bill ya ukoko cafeteria ya sh 3000 basi napewa ukoko kila siku kwa mwezi mzima,ndio ikawa chakula changu asubuh,mchana&jion ,nilichekwa sana ,kusemwa mi sikujali
mpaka namaliza masomo nilikuwa nimeisoma namba,namshukuru mungu nilimaliza salama
nyingine...kipindi tofaut na hicho nikiwa chuoni,ilifika mahala nikawa nakosa pesa ya chakula basi ikifika mida ya chakula(huwa tuna desturi ya kwenda wote cafeteria kula) basi nabeba PC yangu naelekea library kusoma/najifanya bize/kulala asikuambie mtu ukiwa na njaa huwez fanya chochote kikaenda,bas muda mwingine nikawa nashinda njaa ,natolewa ofa na wana kupata menu moja moja maisha yakawa yanaenda..
ilifikia kipindi nikawa naweka bill ya ukoko cafeteria ya sh 3000 basi napewa ukoko kila siku kwa mwezi mzima,ndio ikawa chakula changu asubuh,mchana&jion ,nilichekwa sana ,kusemwa mi sikujali
mpaka namaliza masomo nilikuwa nimeisoma namba,namshukuru mungu nilimaliza salama

