J C
JF-Expert Member
- Dec 12, 2013
- 3,139
- 2,635
Usikute ulikuwa na hangover baada ya kunywa pombe bila kula. Jokinhaya maisha haya, kuna wakati mate yalinidondoka kwa kutamani chakula alichokuwa anakula mtoto wa jirani yangu, baada ya kushinda njaa takribani siku nne,yaani sikuwa na hata mia mbovu.
namwomba Mungu nisirudi nilipotoka.


