MIGUGO
JF-Expert Member
- Dec 3, 2011
- 2,137
- 3,942
Hela mbaya sana kuna mzee mmoja alimtia kibendi demu nilitaka kuoa. Ikabidi nibadili gia angani nikaoa mwingine chap.Yule mzee hamuhudumii kabisa yule demu na mwanae.Kuna mizee yenye hela ina waharibia vijana.Nilijua kabisa yule demu jinsi alivyo akija mjini sitaweza kumuoa maana unajua hata sisi wanaume tunajipima kwenu nyinyi mademu kwamba huyu nitawezana na huyu sitawezana. Yule nilitaka kumtaime kabla hajajanjaruka nimtafune ili akianza kupaka poda baadae niwaachie madoni.
Lakini kilichotokea hadi leo siamini.
Hela pumbavu sana



