nyani mkindu
JF-Expert Member
- Aug 30, 2017
- 537
- 976
Ngoja wataalam wa usingizi waje
Nusu kufa? Kwani ushawahi kufa ukajua kukoje ili tulinganishe na usingizi??Usingizi ni nusu kufa mkuu, watch it
Previous kweli umeamua kulaza akili kabsaHuwa sipendi kuumiza kichwa kwa maswali ya kipuuzi kama haya ambayo hayana majibu
GudgalHuwa sipendi kuumiza kichwa kwa maswali ya kipuuzi kama haya ambayo hayana majibu
Habarini za asubuhi wana jamvi.
Nimeamka asubuhi ya leo mapema tu, sasa wakati nashughulika na mambo flani best yangu akaniambia " leo nimelala usingizi mzito kweli". Nikamuuliza kilo ngap? Akakodoa macho tu bila jibu. Akaruka hio na kubadili akasema bas nimelala usingizi mnene, nikamuuliza unene wake ni zaidi ya mbuyu??
Naona jamaa katoa macho tena imebidi nimuache nije kuuliza huku.
Usingizi nini na unapimwaje nini kinanifanya nilale??
Karbuni.
Hahaaaa mkuu tujadili tu maana wabongo ndo sisi watu wasiojulikanahaya sasa ndo maswali yasiyojulikana
Mkuu umeweka maneno ya kiswahili kweli na mimi nilitamani utumie fasihi yenyewe nielewe nini hii kitu usingiziKuhusu mtu kusema usingizi mzito ama mnene ni maneno tu yanayoashiria kuwa umelala sana ama fofofo zaidi kulinganisha na siku nyingine ambapo inaweza ikapimwa kwa kutoshtuka kirahisi ulipoguswa ama kuitwa au kuchelewa kuamka.
Ni kama tu anavyosema "mpunga mnene" kwa kumaanisha hela nyingi ama kiburungutu kikubwa cha pesa na si lazima upime kwa kulinganisha na unene wa mbuyu 🙄, pia ni sawa na mtu anavyosema "hela ndefu" .... kwani huwa tunapima kwa futi????
Yupo hapa nadhani atoe majibu kamilihili swali tungempata wasira angelijibu vizuri maana alikuwa anasinzia sana bungeni.
Kuhusu mtu kusema usingizi mzito ama mnene ni maneno tu yanayoashiria kuwa umelala sana ama fofofo zaidi kulinganisha na siku nyingine ambapo inaweza ikapimwa kwa kutoshtuka kirahisi ulipoguswa ama kuitwa au kuchelewa kuamka.
Ni kama tu anavyosema "mpunga mnene" kwa kumaanisha hela nyingi ama kiburungutu kikubwa cha pesa na si lazima upime kwa kulinganisha na unene wa mbuyu 🙄, pia ni sawa na mtu anavyosema "hela ndefu" .... kwani huwa tunapima kwa futi????
mkuu huu ndo ukweliNimepata hasira sana kuona hii picha nilichodhamiria kuandika nahisi mods wangenifuta uanachamaUna sababishwa na chama cha ccm
Kiandike tu mkuu maana hakuna namnaNimepata hasira sana kuona hii picha nilichodhamiria kuandika nahisi mods wangenifuta uanachama
Let's the pain rains and wait for sunshineKiandike tu mkuu maana hakuna namna