safuher
JF-Expert Member
- Feb 11, 2019
- 12,312
- 18,177
Ndio nini sasa..
Ndio nini sasa..
Unasema habari ya VIUMBE HAI kusinzia: kwa hiyo miti pia husinzia eti???? Unachekesha lakini!!?!!?Hivi usingizi maana yake ni nini hasa?
Je, ni kupoteza fahamu kwa muda au ni nusu kifo?
Je, ili tusinzie ni lazima kufumba macho au tunaweza kusinzia bila kufumba macho kama Sungura?
Kuna viumbe hai wasiosinzia? Kwanini?
Kwanini watu huota wasinziapo?
Mi najua usingizi ni njia ya kupumzisha ubongo ili uweze kutunz kumbukumbu ya vitu alivyovifanya mtu kwa masaa kadhaa yaliyopita.
Kuna magazine nilisoma last wiki ilielezea kuhusu faida za usingizi. I think ni Time magazine au the Economist. Wanasema mtu aliyelala ana uwezo mkubwa zaidi wa kukumbuka vitu vya juzi kuliko yule aliyekesha tangu juzi.