OMOYOGWANE
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 5,139
- 12,912
Unamatatizo ya moyo ?wakuu wamambo naomba mnijuze zaidi kuhusu tahajudi ya kulala, vipi pale unapofikia hatua ya mwili wote kufa gansi , pale kuanzia miguuni mpaka maeneo yatumbo kutohisi chochote kama vile uko chini hakupo ?
asanten.View attachment 1128802