Usicheze na Mwanamke akiamua ameamua

Usicheze na Mwanamke akiamua ameamua

Habari wakuu

Twende kwenye mada.

Kama ww ni me uko na mpenzi wako na anaonyesha mapenzi yote kwako, anakujali, anakupenda yaani ile kwelikweli..., nakusisitiza rudisha upendo kwake na muoneshe kumjali kama anavyokujali.

Mwanamke anaweza akawa anakutumia text hauzijibu, anakupigia unapuuzia kupokea na pengine huoneshi upendo kwake, unajali kazi tu na kutafuta pesa, my dear huyo mwanamke siku akija kubadilika akaamua kutazama pembeni ndugu yangu huwa ni ngumu sana kumfanya arejee... it is very hard thing.

Mwanamke akiamua kupenda anawekeza kila kitu, hisia, maisha yake na cha muhimu kingine anachowekeza ni muda wake pia..., ni vizuri kama una malengo nae ukamuonesha upendo pia.

Daah inauma..

Yaani nilikuwa najifanya niko bize na kazi, simu zako sipokei si asubuhi, sio mchana usiku ndo kabisaa nakuwa nimechoka balaa nikifika home naishia kulala hoiiiii... ila sijilaumu ni nature ya kazi yangu. asubuhi nakuta ulinitafuta jana yake daah naishia kukupigia tunaongea dk 2 then napotea daaaah siamini kumbe ndo nilikuwa nakupoteza.

Nilijiamini kwamba hutoweza kuniacha kwa jinsi nilivyokuwa nakujali, niliamini vile vizawadi nilivyokuwa nakuletea siku mojamoja visingekufanya ubadili mawazo...

Ilianza kama utani inapita siku mbili mara tatu mara wiki bila kunitafuta mmh nafsi ikaguna maana nilizoea kuona missed calls zako. Yaani siamini leo hii mm ndo nakutafuta hata simu yangu hupokei daah hata text hujibu duuh.

Sasa ndo nimeelewa communication ni kiungo muhimu sana kwenye relationship.

Leo yapata miezi miwili ndo nimeamini rasmi umeniacha duh.

Wakuu mapenzi sio pesa namaanisha mapenzi ya kweli sio pesa, ukiwa na mwanamke anaekupenda kweli pesa inakuwa haina thamani yoyote.
pole kwa yaliyokukutahili jiji umelikimbilia kwa pupa
 
Ule useni wa wazungu unaosema no one is busy is just the matter of priorty

Inaonyesha hukumpenda...bora amemove kutafuta furaha yake
 
Habari wakuu

Twende kwenye mada.

Kama ww ni me uko na mpenzi wako na anaonyesha mapenzi yote kwako, anakujali, anakupenda yaani ile kwelikweli..., nakusisitiza rudisha upendo kwake na muoneshe kumjali kama anavyokujali.

Mwanamke anaweza akawa anakutumia text hauzijibu, anakupigia unapuuzia kupokea na pengine huoneshi upendo kwake, unajali kazi tu na kutafuta pesa, my dear huyo mwanamke siku akija kubadilika akaamua kutazama pembeni ndugu yangu huwa ni ngumu sana kumfanya arejee... it is very hard thing.

Mwanamke akiamua kupenda anawekeza kila kitu, hisia, maisha yake na cha muhimu kingine anachowekeza ni muda wake pia..., ni vizuri kama una malengo nae ukamuonesha upendo pia.

Daah inauma..

Yaani nilikuwa najifanya niko bize na kazi, simu zako sipokei si asubuhi, sio mchana usiku ndo kabisaa nakuwa nimechoka balaa nikifika home naishia kulala hoiiiii... ila sijilaumu ni nature ya kazi yangu. asubuhi nakuta ulinitafuta jana yake daah naishia kukupigia tunaongea dk 2 then napotea daaaah siamini kumbe ndo nilikuwa nakupoteza.

Nilijiamini kwamba hutoweza kuniacha kwa jinsi nilivyokuwa nakujali, niliamini vile vizawadi nilivyokuwa nakuletea siku mojamoja visingekufanya ubadili mawazo...

Ilianza kama utani inapita siku mbili mara tatu mara wiki bila kunitafuta mmh nafsi ikaguna maana nilizoea kuona missed calls zako. Yaani siamini leo hii mm ndo nakutafuta hata simu yangu hupokei daah hata text hujibu duuh.

Sasa ndo nimeelewa communication ni kiungo muhimu sana kwenye relationship.

Leo yapata miezi miwili ndo nimeamini rasmi umeniacha duh.

Wakuu mapenzi sio pesa namaanisha mapenzi ya kweli sio pesa, ukiwa na mwanamke anaekupenda kweli pesa inakuwa haina thamani yoyote.
Nyoka aliongea mambo mengi sana na mwanamke, wengi tunajua habari ya tunda tu!!!
Hata wewe pia huna taarifa za kutosha kumhusu mwanamke.

Kumbuka kuwa Upendo ni kitu kisichoshikika.
 
Nyoka aliongea mambo mengi sana na mwanamke, wengi tunajua habari ya tunda tu!!!
Hata wewe pia huna taarifa za kutosha kumhusu mwanamke.

Kumbuka kuwa Upendo ni kitu kisichoshikika.
Duh mkuu, unakauli fikirishi sana.
 
Ule useni wa wazungu unaosema no one is busy is just the matter of priorty

Inaonyesha hukumpenda...bora amemove kutafuta furaha yake
Hapana sio kweli, isinge niuma kiasi hiki
 
Kama kweli sikumpenda nisingeonyesha kumjali...
Mahitaji yake nilikuwa nampa pale nilipoweza... inakuwaje useme sikumpenda
Tatizo mmekariri kumpenda mtu ni mpk umpe pesa tu na mahitaji ...mapenzi ni zaid ya hayo,,mtu atahitaji attention yako na mda wako
 
Nahisi leo kibuti day, hadi sasa nimeshatuma text kumi ila hata moja haijajibiwa huyu mtoto warombo ataniuwa wallah kwapresha nimeamini kuna mademu wengine hawajaribiwi
 
Dah we acha tu mwanangu,kuna demu alikuwa ananikubali kichiz, ana itwa johari,sasa me baada ya kujua kwangu kafa kaoza nikawa hata sms zake sijibu akinitumia picha naziangalia tu sijibu chochote,akawa analalamika why namfanyia hvo mara simu sipokei,Licha ya hayo yote nikiomba mzgo na kumhitaj anakuja lkn nikawa namdharau,Licha ya kuwa alikua dem mkali yan,Akawa ananitumia text za kulalamika kuwa namtesa,Me najibu tu kwa kifup "Okay",Dah alikuja aka choka hayo matendo mpaka leo huu ni mwaka sas nalia na kusaga meno,mitandao yote kanblock,nimetuma mpaka ndugu zake lakin wapii,Kanambia nisahau kuhusu yeye.
 
Vijana narudia tena kusema.
Katika maisha usiendekeze hisia .

Narudia usiendekeze hisia.

Wengi wanaanguka kwa kuendekeza hisia .

Binafsi even mke wangu akiamua kuniacha/kumuacha hakika sijawahi kuendekeza hisia.

Usually nipo na focus Tu.
 
Mwenzako huyu app mwambie

 
Vijana narudia tena kusema.
Katika maisha usiendekeze hisia .

Narudia usiendekeze hisia.

Wengi wanaanguka kwa kuendekeza hisia .

Binafsi even mke wangu akiamua kuniacha/kumuacha hakika sijawahi kuendekeza hisia.

Usually nipo na focus Tu.
Hampendani nyie bila shaka,

Ndoa yenu haina furaha hata kidogo.

Raha ya mapenzi wote muoneshane hisia zenu kwa kila mmoja.
 
Mkipendwa mkiheshimiwa mnajiona keki sana nyie wanaume..tulia dawa ikuingie.you are not the only fish in the sea...too late to apologise...spend time with your money..if money is everything to you..
 
Back
Top Bottom