corasco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2016
- 3,664
- 3,385
Kwa kweli liwe funzo kwako na wanaume wengine ambao wako mbioni to do the same mistakeKwakweli hili ni funzo kwangu
Kwa kweli liwe funzo kwako na wanaume wengine ambao wako mbioni to do the same mistakeKwakweli hili ni funzo kwangu
That's called coexistence hahahahaaa.....endelea kutafuta utapata kilichobora zaidi.Wanawake waliokubuhu dizaini hiyoo mi siwawezagi kabisaaa...
Hapo hata kumjibu nimejikaza tu, mm huwa sipotezagi muda nao.
Sali mkuu utapata tu..Ishu hapa sasa ni kumpata mwanamke mpole mtulivu na mkarimu kama yeye....
Daah nikiwaza hili nafsi inaniuma sanaa.
Sali mkuu utapata tu..Ishu hapa sasa ni kumpata mwanamke mpole mtulivu na mkarimu kama yeye....
Daah nikiwaza hili nafsi inaniuma sanaa.
Daah nilimzoea sana Teddy wanguu daaah.Sali mkuu utapata tu..
Leo ndo nimeamini rasmiWakiamua huwa hawarudi nyuma tena
Moyo wangu umekua mgumu mpaka siwaelewi hawa viumbe code zaoWewe unaelekea kuna kitu haukifahamu kwenye mapenzi.
Mapenzi yana siri nzito sana
Leo ndo nimeamini rasmi
Tunapenda na nampenda na kumheshimu sana.Hampendani nyie bila shaka,
Ndoa yenu haina furaha hata kidogo.
Raha ya mapenzi wote muoneshane hisia zenu kwa kila mmoja.
Acha uboya wewe.. sasa unatuambia sisi tukusaidieje? Demu ajakuacha kwasababu humtafuti. Amekuacha kwasababu huna pesa..! Na hujui kum.tomba! Hapo tu ndo ulipokosea.Habari wakuu
Twende kwenye mada.
Kama ww ni me uko na mpenzi wako na anaonyesha mapenzi yote kwako, anakujali, anakupenda yaani ile kwelikweli..., nakusisitiza rudisha upendo kwake na muoneshe kumjali kama anavyokujali.
Mwanamke anaweza akawa anakutumia text hauzijibu, anakupigia unapuuzia kupokea na pengine huoneshi upendo kwake, unajali kazi tu na kutafuta pesa, my dear huyo mwanamke siku akija kubadilika akaamua kutazama pembeni ndugu yangu huwa ni ngumu sana kumfanya arejee... it is very hard thing.
Mwanamke akiamua kupenda anawekeza kila kitu, hisia, maisha yake na cha muhimu kingine anachowekeza ni muda wake pia..., ni vizuri kama una malengo nae ukamuonesha upendo pia.
Daah inauma..
Yaani nilikuwa najifanya niko bize na kazi, simu zako sipokei si asubuhi, sio mchana usiku ndo kabisaa nakuwa nimechoka balaa nikifika home naishia kulala hoiiiii... ila sijilaumu ni nature ya kazi yangu. asubuhi nakuta ulinitafuta jana yake daah naishia kukupigia tunaongea dk 2 then napotea daaaah siamini kumbe ndo nilikuwa nakupoteza.
Nilijiamini kwamba hutoweza kuniacha kwa jinsi nilivyokuwa nakujali, niliamini vile vizawadi nilivyokuwa nakuletea siku mojamoja visingekufanya ubadili mawazo...
Ilianza kama utani inapita siku mbili mara tatu mara wiki bila kunitafuta mmh nafsi ikaguna maana nilizoea kuona missed calls zako. Yaani siamini leo hii mm ndo nakutafuta hata simu yangu hupokei daah hata text hujibu duuh.
Sasa ndo nimeelewa communication ni kiungo muhimu sana kwenye relationship.
Leo yapata miezi miwili ndo nimeamini rasmi umeniacha duh.
Wakuu mapenzi sio pesa namaanisha mapenzi ya kweli sio pesa, ukiwa na mwanamke anaekupenda kweli pesa inakuwa haina thamani yoyote.
Zarau zilizidi, huwez kushuindwa kupokea sim toka Asubuhi aiseee... Ngoja aende kwa wenye muda japo kidogoMh.. mkuu unanifanya nianze kufikiri upyaaa
Mmmh... We mdanganye kuwa atarudi, lakin pia akirudi ujue anaigizait is matter of time, na wewe jikaushe, trust me , atakutafuta tena
Asante kwa maneno yako mazuriMawasiliano ni muhimu katika mahusiano. Pole mwaya, kila kitu kinapangwa na Mungu, huyo hakuwa wako, kuna watu wanawekwa kwenye maisha yetu ili kutufunza vitu mbali mbali. Naamini utakayempata utampenda kupitia mafunzo ulopata katika haya yalopita. Cha msingi muombee kheir, niamini utapata mtu ambaye ni sahihi kwako mda Ukifika.
Hahah daah nilikuwa nikiamka asubuhi nikikuta kanitafuta nachukulia poa ila saivi natamani hata nione missed calk yake..., natamani walau akosee anitafuteMen be like "wanawake wasumbufu sana, kila muda call, kila muda sms, wanafikiri muda wote tunawaza mapenzi tu"
Ukimute pia tatizo linakuja "una kiburi siku hizi, kuna anekutia kiburi, na blah blah......."
Ila ukweli ni kwamba huwa mnajichetua tu ila hizo missed call zetu mnazipenda sana.