Kwa nini unasema hivyo mkuu.
Si naskia vijidudu vinaongezeka na ikifika muda vinakuwa vingi hata kuushambulia mwili na kukosa kabisa ulinzi ndani ya mwili...?
Hebu nipe darasa hapo kiongozi ipi bora kukaa bila ya kunywa hizo dawa au kukaa ukiwa unakunywa hizo dawa mkuu. Na pia, labda ni kipindi gani mtu anatakiwa kunywa hizo dawa coz mtoa mada ameishi kwa zaidi ya miaka 20 bila ya kunywa hizo dawa, it means hawezi kuacha right...?
Nipe darasa coz tunaishi na ndugu na jamaa huku mtaani hivyo tunaweza kuokoa maisha yao wakaendelea kuishi kwa njia moja au nyingine mkuu.
Thanks a lot kiongozi.