positive is normal
JF-Expert Member
- Dec 25, 2017
- 520
- 978
- Thread starter
- #81
Ha ha ha sijawahiUshawahi kufanya tabia mbaya?
Ha ha ha sijawahiUshawahi kufanya tabia mbaya?
Hongera, plse endelea kua ivo ivo.Ha ha ha sijawahi
OK. Sawa bwana kijana. But all in all nakupongeza sana. Mwenyezi Mungu akupe miaka zaidi 70 aiseeYeah kuna hali flani ilianza kujitokeza so akaona bora nianze kutumia Arv,na nilivyoanza kutumia hali ile ilipotea
Hongera sana Mungu akubariki kupita upeo wa mawazo yako. Endelea na tabia hiyo hiyo utapata thawabu kubwa sana.Sijawahi kuzini na msichana yoyote yule ,nimewahi kutongozwa mara kadhaa ila niliamua kukataa si vyema kuusambaza ugonjwa huu naamini dawa ya ukimwi ipo siku itapatikana
Ahsante mkuuHongera, plse endelea kua ivo ivo.
Amen mkuu ila naamini siku za miaka yangu ni zaidi ya 80OK. Sawa bwana kijana. But all in all nakupongeza sana. Mwenyezi Mungu akupe miaka zaidi 70 aisee
Cha msingi ni kujikubali tu,kula mlo kamili maisha yanasongaUkimwi inaelekea siku hizi hauui. Zamani mtu akipata maambukizi anaishi nao kwa miaka tano tayari imemmaliza.... Lakini siku hizi watu wako vizuri tu na afya tele. Kuna jirani yangu tangu mi niko shule yeye alikuwa anahudhuriaga semina kwenye NGO yao fulani. Wakati huo yuko flat ila sahivi amejaa anakitambi anapiga kazi vizuri amejiendeleza sana.
Ni kweli mkuuYour scar not yet my scar!,,,,,tuko pamoja ndugu ktk kupigania afya zetu bila kuambukiza wengine!!
Ha ha ha ha usinichekeshe miewanaokutongoza tupia namba zao humu mkuu nihangaike nao
Mpaka sasa hakuna dawa ya kutibu ukimwi mkuu,Mbona watu wapona tu kwa tiba zetu za miti yetu hii hii ya asili.
Ahsante sana mkuuSafi sana! [HASHTAG]#Faith[/HASHTAG] is all that you need, mengine muachie Maulana!
Dawa ipo labda kama haujakutana na wanaojua siyo anachoshindwa mzungu basi sisi hatuwezi.Mpaka sasa hakuna dawa ya kutibu ukimwi mkuu,
Ha ha ha sijaamua tu mkuuSasa inabidi upate mwenza bhana kwani we hupendi ....au hupendi zile za kuunganishwa center
Sijawahi kusikia hiyo dawa,na kama ingekuwepo mgunduzi angekuwa millioneaDawa ipo labda kama haujakutana na wanaojua siyo anachoshindwa mzungu basi sisi hatuwezi.
ESijawahi kuzini na msichana yoyote yule ,nimewahi kutongozwa mara kadhaa ila niliamua kukataa si vyema kuusambaza ugonjwa huu naamini dawa ya ukimwi ipo siku itapatikana
Namini Mungu ni Mkubwa. Kwakweli ma Dr. nao wanapotoka. Kwa hakika wewe ungeendelea bila ARV na ungekuwa so smart kuliko hayo ma ARV's
Yeah kuna hali flani ilianza kujitokeza so akaona bora nianze kutumia Arv,na nilivyoanza kutumia hali ile ilipotea