Yeah natumiaUnatumia dawa.
Ameen ubarikiwe sana mkuuDuuu siwezi kupita hivhivi,Mungu akutangulie katika mipango yako yote mkuu
Pamoja comradeAhsante mkuu
Sina chochote cha kukujibu ila kama nilivyoeleza ARV nimeanza kutumia mwaka jana sikuwahi kutumia kitu chochote kabla ya hapoUliwezaje kukaa muda mrefu bila dawa.
NdioUlishaanza dozi tayari?
Ameeen,ubarikiwe sanaNasoma huku nasisimkwa kwa sbb una ujasiri wa hali ya juu. Hongera sana mdogo wangu Mungu akupe amani na faraja ya moyo wako. Na aje akujalie familia
Unawezaje wezaje kusavaivu kama mwanaume rijali??Sijaoa na wala sina girlfriend
Ukishajitambua hali yako,ukijikubali ukiacha zinaa,pia sijawahi kutumia kilevi chochote kile unachokijua wewe sio bangi mirungi wala pombe na kupata milo kamili ndio maana nimesurvive muda mrefu na ninaamini siku za miaka yangu ni zaidi ya 80Unawezaje wezaje kusavaivu kama mwanaume rijali??
Pole na hongera kwa kuwa muwazi,,napenda tu kufahamu sababu za huyo Dr.kukulazimisha uanze kutumia ARV ilhali mwenyewe unasema afya yako iko poa.?Usijali mkuu,sikuwahi kutumia Arv miaka ya nyuma,Arv nimeanza kutumia mwaka jana tena baada ya kulazimishwa sana na Daktari wangu ambaye ni rafiki yangu so kuanzia mwaka jana mwezi wa tisa ndio nimeanza kutumia ARV
kwani kangaroo nao wanaambukizwa HIV??Mungu azidi kukupa nguvu.Lakini "nyama ya kangaroo" unakula mara moja moja?Kuwa makini nayo,ukijisikia kuwa na hamu nayo hakikisha inapimwa TFDA kwani wanasema mtu aliyeathirika anaweza kupata virus vingine kwenye hiyo nyama(ikitokea nayo ikawa na virus) na kumletea madhara zaidi
Nimeshaeleza sababu katika kurasa za nyuma mkuuPole na hongera kwa kuwa muwazi,,napenda tu kufahamu sababu za huyo Dr.kukulazimisha uanze kutumia ARV ilhali mwenyewe unasema afya yako iko poa.?
Kabla ya kuanza kutumia arv na baada ya kuanza kutumia arv, kuna badiliko lolote kwako?? Kiafya?? Kimwili?? Jinsi unavyojisikia??Usijali mkuu,sikuwahi kutumia Arv miaka ya nyuma,Arv nimeanza kutumia mwaka jana tena baada ya kulazimishwa sana na Daktari wangu ambaye ni rafiki yangu so kuanzia mwaka jana mwezi wa tisa ndio nimeanza kutumia ARV
Daaah rest in peace to her, cha msingi ni kujikubali tu,harakati zimeanzia jamii forum ila nina mpango wa kuanza kuposti Facebook kisha Instagram na ikitokea sponsor wa kwenye Tv station pia nitafanya hadi kwenye tv piaNakupa hongera sana kujikubali natamani marehemu dada angekuwepo na kusoma hapa.. Yeye alikufa kwa kukata tamaa kutokana na huu ugonjwa!
Yeah hapo kabla nikikuwa na uwezo wa kukaa mchana bila kula au hata usiku kama kwa maamuzi yangu ila sasa siwezi kukaa bila kula mkuuKabla ya kuanza kutumia arv na baada ya kuanza kutumia arv, kuna badiliko lolote kwako?? Kiafya?? Kimwili?? Jinsi unavyojisikia??